mwita burure
Senior Member
- Jul 8, 2016
- 192
- 39
Sio hivyo kinacho wapa watu pressure ni kwamba wao wenyewe walipromise mchakato unachukua wiki Tatu mbaka, nne rejea tangazo La tr 09/05/2016 wasinge promise watu wangekaa kimya mbaka siku ambayo wangetoa inapaswa waambie umma tatizo ni nini ili wakae kwa Amanimpka matokeo ya a level yatoke wafanye tena usajili,so matokeo kutoka mpka mwezi 9 na masomo yanaanza mwezi 10.
halafu acheni kulalamika kama watoto wa kike,hivi vitu vinaenda kwa mipango sio kama mnavyotaka nyie