Selection za NACTE 2016 zitatoka lini?

Selection za NACTE 2016 zitatoka lini?

Nani kawaloga nacte 2016 jamani hadi wameshindwa kutoa majina ya diploma na certificate hadi muda huu kama walivyo ahid ....Nani mchawi wa nacte tumjuee
 
Hawakurogwa ila insonyesha hao ni wanasiasa tu hao wanatoa ahadi ambazo wanashindwa kutekeleza au ahadi zisizotekelezeka.
 
Huwez amin jins walivyo set namb zao unapokea ujumbe unaosema numb busy thank u nilishangaa sana nkasema hawa jamaa wamechemka kias kwamba hawa tak communication yeyote
 
KILA KITU SIASA HII NCHI IKO VIPI NACTE MPAKA SASA HIVI KIMYA NA WALISHAKULA ELFU 30000 ZETU MIMI NARUDI VILLAGE MWABASEBU KULIMA PILIPILI WAKITOA MTANISITUA HATA KWA SANDUKU LA POSTA ,S.L.P 0000.567 MWABASEBU,CHATO.
 
Tusiwalahummu bure wakati mwingine labda haya mambo ya dijitali labda yamewalogea, esi unajua tena wataalamu wa IT wa tz afadhali wa Rwanda.
 
Naomba Msaada wa Mawasiliano ya Ikungi Sekondari, au mwenye Joining instruction ya Ikungi sekondari form five 2016
 
Tatizo Mna wenge Sana. Masomo yataanza mwezi wa 8 mwishoni. Kwani wao wanayabania selection bila sababu?

Wakiyatoa mkakuta yamekosewa,mtaanza kusema tena kuwa wamekurupuka.

Tuweni na subira.
 
KILA KITU SIASA HII NCHI IKO VIPI NACTE MPAKA SASA HIVI KIMYA NA WALISHAKULA ELFU 30000 ZETU MIMI NARUDI VILLAGE MWABASEBU KULIMA PILIPILI WAKITOA MTANISITUA HATA KWA SANDUKU LA POSTA ,S.L.P 0000.567 MWABASEBU,CHATO.
hata za kwangu walizila wakati namshughulikia mwanangu!
 
mpka matokeo ya a level yatoke wafanye tena usajili,so matokeo kutoka mpka mwezi 9 na masomo yanaanza mwezi 10.
halafu acheni kulalamika kama watoto wa kike,hivi vitu vinaenda kwa mipango sio kama mnavyotaka nyie
 
Back
Top Bottom