mwita burure
Senior Member
- Jul 8, 2016
- 192
- 39
Una mawazo kama yangu eeeSubirini ipite 8.8
Una mawazo kama yangu eeeSubirini ipite 8.8
Kalime tuuu maana huku bado sanaaaaaaaaMi narud kijijin matokeo yakitoka mtanijuza via sms....https://jamii.app/JFUserGuide
hiyo sahau kabisa kutoa hadi mwezi tisaSubirini ipite 8.8
yan hapo mtakoma ninacho jua ngoma hii hadi mwezi wa nane mwishoni.Nacte hongereni kwa kutewekea vizunguzungu kichwani...naona elimu imekuwa kama siasa ahad hazitimizwi wala hakuna taarifa ya ziada..
Hahaha iyoo tamu ila kweli wengine mna tamaa mmechaguliwa kwenda five bado mnawaulizia nacte jindanganyeni msiende five then mkute kule nacte mmekatwaNacte inawataka muende form 5 kwa hiyo mpaka deadline ya kupokea form 5 ipite ndio watatoa selection zao.

Imekugusa Nn... Naona Avatar yako tuWhat did you mean?
Unamaanisha NACTE haina mamlaka ya kutangaza au?Nacte hawana tatizo tatizo lipo wizaran wameshamaliza mchakato wa kuchagua ila wanasubir ruhusa ya kutangaza kutoka wizara ya elimu
Tulia kwanza matokeo ya form six yatokeHawana mpka wizara ipitie
siasa inalipaSiku hiz kila kitu kinaendeshwa kwa siasa tu. Uongo umekuwa mwingi sana kila sector.
wafanye tuuu October maana naona wanatafuta Kikihiyo sahau kabisa kutoa hadi mwezi tisa