Selection za NACTE 2016 zitatoka lini?

Selection za NACTE 2016 zitatoka lini?

OK,, asante Stephano,,kwa sababu nilishalipia NACTE toka mwezi wa NNE bado vyuo vilikuwa havifunguki,,sasa kuna habari nimezipata eti NACTE hawahusiki na vyo vikuu tena nikashtuka sana
 
Jamaa wameshtushwa na mkanganyiko katika teuzi za Ma DC,DAS na DED hivyo wameamua kuwa makini sana ili isitokee mwanafunzi mmoja akapangwa vyuo viwili, tatu,nne tofauti hivyo tuvute subira kidogo waungwana muda si mrefu nadhani wataruka hwani.
 
Jamaa wameshtushwa na mkanganyiko katika teuzi za Ma DC,DAS na DED hivyo wameamua kuwa makini sana ili isitokee mwanafunzi mmoja akapangwa vyuo viwili, tatu,nne tofauti hivyo tuvute subira kidogo waungwana muda si mrefu nadhani wataruka hwani.
Braking news nacte selected candidate 2016 /2017 mbaka mwishoni mwa mwezi huu
 
Majina yanakuja hivi punde fungueni profile zenu
Kupitia anuani ipi ndugu ,maana ile NOAS haitaki kabisa funguka ila nyingine zinafunguka.
Sasa sijui wakiwa wanachakata maombi ndio wanafunga mpaka profile access za watu....!!??
 
Kupitia anuani ipi ndugu ,maana ile NOAS haitaki kabisa funguka ila nyingine zinafunguka.
Sasa sijui wakiwa wanachakata maombi ndio wanafunga mpaka profile access za watu....!!??
Unamsikiliza mpuuzi huyo, bado just be patient!
 
Mm nawambia kwa mwendo huu Tz kupata maendeleo itakuwa ngumu kidogo kwa sababu watz hatuendi na muda na tuna dharau sana.Haingii akilini nacte kugomaa kabisa hata kutoa taarifa ya nini kinaendelea ili mtu awe anajua kuliko kuwapa watu presha kiasi hiki.Narudia tena kwa mwendo huu tz maendeleo baadaye sanaaaaaa......
 
Ubabaishaji mwingi sana nimeamua kuomba open university.
Haka kachuo nilisomaga kana ubabaishaji usipojaziwa marks za unit ulizosoma utajikuta unarudia huo mtihani labda kama siku hizi wamebadilika
 
Walioomba ualimu kwa kigezo cha chet na pass nne ndo wanao tuchelwesha ndalichako kaikataa hiyo so wanapangiwa vyuo vingine tofaut na ualim
 
Back
Top Bottom