Sehemu za kutembelea hapa Dar

Daaa.
Hayo mafuta ungeyanyonya ukayahamishia kwangu 🤣🤣🤣🤣
 
Asante kwa kushare je unaweza kwenda mwenyewe kama ni msichana usalama wake upoje?
 
Kama Una kampan nenda pachkonjo kigamboni stress-free zone
 
Hakyanan najuaga haya maeneo yapo lushoto huko sijui. My goodness kwanini sijawahi kujua aisee... Naanza ziara rasmi. Kumbe Dar ni balaa sana nilikua naboreka bure..siku nimeenda bagamoyo hadi snake park kaole, na Dar zoo nikajua nimemaliza maeneo ya asili. Damn damn damn, I love nature..pindi nipo Iringa nilikuaga naenda hadi tosamaganga kwenye maporomoko afu man alone bila demu
 
Tupange twende namimi, then tukifika kila mtu anaweza jipa mda flani alone kutafakari yalompeleka. Tunanunua vyuku kienyeji tinaweka kwenye ice tunaenda kuchoma hh

Tupange twende namimi, then tukifika kila mtu anaweza jipa mda flani alone kutafakari yalompeleka. Tunanunua vyuku kienyeji tinaweka kwenye ice tunaenda kuchoma hh

Tupange twende namimi, then tukifika kila mtu anaweza jipa mda flani alone kutafakari yalompeleka. Tunanunua vyuku kienyeji tinaweka kwenye ice tunaenda kuchoma huko
Wewe umewahi kwenda
 
Hizi za kibabe sana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…