Sehemu za kutembelea hapa Dar

Sehemu za kutembelea hapa Dar

Usalama upo bro. Sio mchana wala usiku. Usalama mkubwa sana. Ni misitu iliochini ya TFS (Tanzania Forest Service) Agency.

Diamond Platnumz ndio ameupa umaarufu zaidi baada ya kupigia baadhi ya vipande kwenye video ya Mtasubiri alioimba na Zuchu.

View attachment 2391237

Lakini pia wakati Jokate ni Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe alikua na campaigns nyingi sana kule kama Ushoroba Marathon na pia aliwahi mtumia Diamond kama balozi kutangaza utalii wa pale Ushoroba.

View attachment 2391238

Baadhi ya picha (Sio zangu hizi)

View attachment 2391239

View attachment 2391240
Tatizo watu wakishapafahamu tu tayari pashaharibika.

Kuna baadhi ya watu wanatabia zisizo za kistaarabu huwa wanaharibu mahali kabisa.
 
Hapa nimeona Uzi huu nimetamani kwenda kibamba kula mbuzi. Nasubiri details zaidi Ili Leo niende. Nimepumzika bia kwahiyo weekend yangu hua naspend kutembea tu Ili nisipate arosto
Mwenyewe nataka update, usafiri ndio kipengele kwangu.
 
😂😂😂Dah ,umenipa mawazo tayari,
napenda hizo camping ili nikiwaza Simba na snake naishiwa nguvu kabisa
Huko ni mambo ya Wrong Turn 😂😂😂, ngoja kile ki monster chenye mshale kiwaibukie mtajua hamjui!
images.jpeg
 
Kibamba mnada ni Jumatano kwa Jumapili, kituo kibamba shule. Ukishuka hapo unapanda bajaji 500 ni karibu sana au boda ya buku. Mida mizuri nyaka kuiva ni kuanzia saa 7mchana hadi saa2 usiku.

Loliondo ni Jumamosi mida ni kuanzia sa5

Goba ni Ijumaa na jumapili.
Umesomeka arif, panafaa kwenda hapo leo.
 
Okay itategemea na interests zako. Ila me naweza kukushauri kama unapenda nature, tembelea sehemu hizi:

1. Pugu Natural Forest (Ushoroba) Hii ipo opposite na Minaki Secondary, kwahiyo daladala ni kama 2000/= jumla kutokea Ubungo.
Hapo utaweza kufanya hiking, camping, kuendesha boat, etc.
Gharama jiandae kuanzia 20k hadi 80k kutegemea na huduma.
View attachment 2390959

2. Vikindu forest reserve. Hii ipo opposite na kiwanda cha juice cha Bakhresa kipo Mbagala kwa mbele nimepasahau jina.
Activities ni sawa kabisa na Pugu hapo namba 1 ila ni cheaper na kasoro hiking hawana milima.

View attachment 2390964

Me kwa hizo mbili ndio recommend kama mtu wa kurelax mfano na bebe au friends.

Beaches, Malls, na sehemu zingine watakupa wadau.
Vikindu napatamani sana hapa nikipata muda nitaenda
 
14,000Tsh mpaka 15k. Vp bei zao nzuri au kama bar tu? Sema Pako local sana Wala hapavutii. It's not worth it and I don't recommend labda uwe mkazi wa maeneo haya.
Sema ndio minada inavyokuwaga, mtu shazi lakini au watu sio wengi?
 
Back
Top Bottom