Sehemu za kutembelea hapa Dar

Sehemu za kutembelea hapa Dar

Okay itategemea na interests zako. Ila me naweza kukushauri kama unapenda nature, tembelea sehemu hizi:

1. Pugu Natural Forest (Ushoroba) Hii ipo opposite na Minaki Secondary, kwahiyo daladala ni kama 2000/= jumla kutokea Ubungo.
Hapo utaweza kufanya hiking, camping, kuendesha boat, etc.
Gharama jiandae kuanzia 20k hadi 80k kutegemea na huduma.
View attachment 2390959

2. Vikindu forest reserve. Hii ipo opposite na kiwanda cha juice cha Bakhresa kipo Mbagala kwa mbele nimepasahau jina.
Activities ni sawa kabisa na Pugu hapo namba 1 ila ni cheaper na kasoro hiking hawana milima.

View attachment 2390964

Me kwa hizo mbili ndio recommend kama mtu wa kurelax mfano na bebe au friends.

Beaches, Malls, na sehemu zingine watakupa wadau.
Umesahau msitu mwengine, unaitwa Pande, upo huku mabwepande, maeneo ya jirani na huko ni, madale mbopo, bunju, mpiji magoe na mbezi msumi
Tena nayo ina kabwawa katikati kama hizo mbili
 
Pamoja sana. Unaweza kwenda day trip. Itakua chini ya elfu 20 kwa mtu ila mkiwa wengi inakua cheap. Bei zipo hivi:
  • Kiingilio 2500 (kwa mtu),
  • Hela ya guide 20,000 (guide mmoja anahudumia watu 10 so mkienda 10 kila mtu anachangia elfu 2 so better mkiwa crew)
  • Boat elfu 10 (sio lazima)
  • Ukitaka camp tent zipo za 15,000 (maximum watu 4) na zipo kubwa za 40,000 izo ata watu 10.
  • Ukienda na camera kubwa unailipia elfu 5, drone 50,000 ila nadhani hautaenda nazo.
  • Ndani hamna vyakula (ila wameanza kutengeza mahala pa kula) so nunua bites na vinywaji nje.
  • Gari kuingia elfu 5 ila ukipaki nje free.
Washkaji wakarimu sana pale yaani wako peace knm. Utaenjoy sana boss.

Hapa Hiking on top kabisa unakua unaiona Dar kwa chini. Wamejenga ngazi sahivi kupanda rahisi.

View attachment 2391100

Hapa chini camping pembeni mwa bwawa.
View attachment 2391103


PS: Gharama naweza kua nimekosea kidogo sana. Ila zinaenda humo humo.
Je usalama hupo?
 
Je usalama hupo?
Usalama upo bro. Sio mchana wala usiku. Usalama mkubwa sana. Ni misitu iliochini ya TFS (Tanzania Forest Service) Agency.

Diamond Platnumz ndio ameupa umaarufu zaidi baada ya kupigia baadhi ya vipande kwenye video ya Mtasubiri alioimba na Zuchu.

Screenshot_20221018-184639.png


Lakini pia wakati Jokate ni Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe alikua na campaigns nyingi sana kule kama Ushoroba Marathon na pia aliwahi mtumia Diamond kama balozi kutangaza utalii wa pale Ushoroba.

340ad4bc8e08b75f02f0e56807f9dd70.jpg


Baadhi ya picha (Sio zangu hizi)

images (7).jpeg


images (6).jpeg
 
Okay itategemea na interests zako. Ila me naweza kukushauri kama unapenda nature, tembelea sehemu hizi:

1. Pugu Natural Forest (Ushoroba) Hii ipo opposite na Minaki Secondary, kwahiyo daladala ni kama 2000/= jumla kutokea Ubungo.
Hapo utaweza kufanya hiking, camping, kuendesha boat, etc.
Gharama jiandae kuanzia 20k hadi 80k kutegemea na huduma.
View attachment 2390959

2. Vikindu forest reserve. Hii ipo opposite na kiwanda cha juice cha Bakhresa kipo Mbagala kwa mbele nimepasahau jina.
Activities ni sawa kabisa na Pugu hapo namba 1 ila ni cheaper na kasoro hiking hawana milima.

View attachment 2390964

Me kwa hizo mbili ndio recommend kama mtu wa kurelax mfano na bebe au friends.

Beaches, Malls, na sehemu zingine watakupa wadau.
Pako vizuri sana
 
Hayo maeneo unaweza kwenda hata na familia yako mkaspend masaa 12 mkarudi nyumbani usiku, relaxation ya kichwa lakini pia ubongo uliozoea kelele unapokua kwenye nature huko unaongeza vitu vipya unaweza kwenda hata kutulia na kujisomea tu kitabu au makala mbalimbali na sio lazima unywe muda wote vikali, NATURE REFORMS THE BRAIN.
 
Back
Top Bottom