Sehemu za kutembelea hapa Dar

Sehemu za kutembelea hapa Dar

Hivi bado ipogo?
Sijaisikia kitambo wakiipromote, nilienda huko wakati niko primary tulikula nyama pori tamu sana.
Gharama zao zipoje

Ipo bado cost zao ni affordable kabisa tena ukitaka nyama pori ule na ufaidi mimi hua najichimbia mbuga kama selou au ile ya katavi, halafu ukitaka picha ndio unaenda serengeti, ruaha, kitulo kwenye maua hasa wakati wa mvua, huko kwingine ni nyama tu, Rubondo nafataga samaki choma maana utalii wangu najali sana vyakula, najibebea na boksi kadhaa za vinywaji laini basi.
 
inawezekana walipotea njia, si unajua hata tembo huwa wanafika UDOM mara kwa mara. Kwa hiyo usihofu

Tembo hua hawapotei sema wanakua wanapita kwenye njia zao ambapo wanakuta tayari binadamu keshajenga na kuingilia mapito yao, hata iishe miaka mia mbili bado vizazi vya wanyama hao hupita kwenye njia zake hizo hizo,
 
Nilikuuliza ratiba hata hausemi

Tugawane machimbo hayo mkuu
Kibamba mnada ni Jumatano kwa Jumapili, kituo kibamba shule. Ukishuka hapo unapanda bajaji 500 ni karibu sana au boda ya buku. Mida mizuri nyaka kuiva ni kuanzia saa 7mchana hadi saa2 usiku.

Loliondo ni Jumamosi mida ni kuanzia sa5

Goba ni Ijumaa na jumapili.
 
Ipo bado cost zao ni affordable kabisa tena ukitaka nyama pori ule na ufaidi mimi hua najichimbia mbuga kama selou au ile ya katavi, halafu ukitaka picha ndio unaenda serengeti, ruaha, kitulo kwenye maua hasa wakati wa mvua, huko kwingine ni nyama tu, Rubondo nafataga samaki choma maana utalii wangu najali sana vyakula, najibebea na boksi kadhaa za vinywaji laini basi.
Mwenyewe swala la chakula nazingatia sana, hasa vyakula ambavyo mtaani havipatikani kirahisi.
Asante kwa mwongozo
 
Tembo hua hawapotei sema wanakua wanapita kwenye njia zao ambapo wanakuta tayari binadamu keshajenga na kuingilia mapito yao, hata iishe miaka mia mbili bado vizazi vya wanyama hao hupita kwenye njia zake hizo hizo,
True mambo ya tembo kudidimia kwa tope "idodomya", sisi ndo tunavamia makazi yao 👏🙏
 
Ila wewe inaonyesha mtoto wa kishua Sana,Mimi mwenzio primary nilienda makumbusho village nikala chipsi mayai...nilienjoy Sana😁
🤣🤣🤣🤣
Nimechekaaa, ushua wapi mwenzangu.

Kwa mara ya kwanza nilipanda treni, ila nchi yetu kweli tumetoka mbali Dar hadi hapo tu Moro mnapanda treni masaa kibao njiani but it was fun.
Poket money nilipewa elf moja, mia mbili za noti 5 na zilitosha week nzima tuliyokaa kule
 
Okay itategemea na interests zako. Ila me naweza kukushauri kama unapenda nature, tembelea sehemu hizi:

1. Pugu Natural Forest (Ushoroba) Hii ipo opposite na Minaki Secondary, kwahiyo daladala ni kama 2000/= jumla kutokea Ubungo.
Hapo utaweza kufanya hiking, camping, kuendesha boat, etc.
Gharama jiandae kuanzia 20k hadi 80k kutegemea na huduma.
View attachment 2390959

2. Vikindu forest reserve. Hii ipo opposite na kiwanda cha juice cha Bakhresa kipo Mbagala kwa mbele nimepasahau jina.
Activities ni sawa kabisa na Pugu hapo namba 1 ila ni cheaper na kasoro hiking hawana milima.

View attachment 2390964

Me kwa hizo mbili ndio recommend kama mtu wa kurelax mfano na bebe au friends.

Beaches, Malls, na sehemu zingine watakupa wadau.
Aisee napita hapa mara nyingi... Hawana promo tu kumbe ndani ndio pako hivi
 
Hebu anaetaka camping aje PM twende sio lazima awe KE hata mkiwa ME fresh tu

tuwe mtu 4 twendeni hii coming weekend Jumapili, Mad Max hebu nielekeze

mgeni ninaetokea Hapa Mbezi Mwisho,nielekeze napita njia ipi hadi nifike nipe idea idea

halafu ntajazia jazia nyama na Google Map,Last sunday niliboeka kinoma ikabd nifanye tour ya kuzunguka Dar nzima kuhakikisha tu ule mshale wa mafuta unatoka kwenye full unainama kidogo,ndio ikawa mwisho wa tour yangu.

Jumapili ijayo nataka nijaribu tena huko...
Tenga mkuchu, tour guide wa jiji wapo... Nina vijana wapiga kazi safi, dar ipo kiganjani...


Njia kuu nne ni morogoro road kibaha, kilwa road ni mkuranga,obama drive ni bagamoyo, upande mwingine hadi chanika.... Na kigambon ni buyuni.

Beach ni 7.
Kigamboni.
Mikocheni.
Jangwani.
Mbweni.
Buyuni.
Zinga.
Coco.

Makazi ya kishua.
Mbweni
Kinyerezi.
Kijichi.
Mgeni nani.
Mikochen.
Jangwan.
Masaki.
Tuwangoma.
N.k


Bar zooote......
Aah aaah dar ni nyoko aiseee
 
Tenga mkuchu, tour guide wa jiji wapo... Nina vijana wapiga kazi safi, dar ipo kiganjani...


Njia kuu nne ni morogoro road kibaha, kilwa road ni mkuranga,obama drive ni bagamoyo, upande mwingine hadi chanika.... Na kigambon ni buyuni.

Beach ni 7.
Kigamboni.
Mikocheni.
Jangwani.
Mbweni.
Buyuni.
Zinga.
Coco.

Makazi ya kishua.
Mbweni
Kinyerezi.
Kijichi.
Mgeni nani.
Mikochen.
Jangwan.
Masaki.
Tuwangoma.
N.k


Bar zooote......
Aah aaah dar ni nyoko aiseee
Kinyerezi?
 
Back
Top Bottom