Execute
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 3,005
- 7,375
Kila nikifika haya maeneo nashangaa kwanini huwa watu wanajazana vile. Huwa sipendi crowded places.Juliana
Tipsy
Kidimbwi.
Kila nikifika haya maeneo nashangaa kwanini huwa watu wanajazana vile. Huwa sipendi crowded places.Juliana
Tipsy
Kidimbwi.
😁😁😁 inawezekana walipotea njia, si unajua hata tembo huwa wanafika UDOM mara kwa mara. Kwa hiyo usihofu😂😂😂Dah ,umenipa mawazo tayari,
napenda hizo camping ili nikiwaza Simba na snake naishiwa nguvu kabisa
Hivi bado ipogo?Mbuga ya selou ndio wana nyamapori ya kutosha huko utakula choma ya swala fresh safi sana ukikaa wiki unakua mpya,
Hivi bado ipogo?
Sijaisikia kitambo wakiipromote, nilienda huko wakati niko primary tulikula nyama pori tamu sana.
Gharama zao zipoje
inawezekana walipotea njia, si unajua hata tembo huwa wanafika UDOM mara kwa mara. Kwa hiyo usihofu
Kibamba mnada ni Jumatano kwa Jumapili, kituo kibamba shule. Ukishuka hapo unapanda bajaji 500 ni karibu sana au boda ya buku. Mida mizuri nyaka kuiva ni kuanzia saa 7mchana hadi saa2 usiku.Nilikuuliza ratiba hata hausemi
Tugawane machimbo hayo mkuu
Mwenyewe swala la chakula nazingatia sana, hasa vyakula ambavyo mtaani havipatikani kirahisi.Ipo bado cost zao ni affordable kabisa tena ukitaka nyama pori ule na ufaidi mimi hua najichimbia mbuga kama selou au ile ya katavi, halafu ukitaka picha ndio unaenda serengeti, ruaha, kitulo kwenye maua hasa wakati wa mvua, huko kwingine ni nyama tu, Rubondo nafataga samaki choma maana utalii wangu najali sana vyakula, najibebea na boksi kadhaa za vinywaji laini basi.
True mambo ya tembo kudidimia kwa tope "idodomya", sisi ndo tunavamia makazi yao 👏🙏Tembo hua hawapotei sema wanakua wanapita kwenye njia zao ambapo wanakuta tayari binadamu keshajenga na kuingilia mapito yao, hata iishe miaka mia mbili bado vizazi vya wanyama hao hupita kwenye njia zake hizo hizo,
😂😂😂Mungu anipe ujasiri😁😁😁 inawezekana walipotea njia, si unajua hata tembo huwa wanafika UDOM mara kwa mara. Kwa hiyo usihofu
Ila wewe inaonyesha mtoto wa kishua Sana,Mimi mwenzio primary nilienda makumbusho village nikala chipsi mayai...nilienjoy Sana😁Hivi bado ipogo?
Sijaisikia kitambo wakiipromote, nilienda huko wakati niko primary tulikula nyama pori tamu sana.
Gharama zao zipoje
🤣🤣🤣🤣Ila wewe inaonyesha mtoto wa kishua Sana,Mimi mwenzio primary nilienda makumbusho village nikala chipsi mayai...nilienjoy Sana😁
IPO wapi?Nenda Wavuvi camp, ukajionee “Hello Jua”![]()
Nimeshakufata inboxWooh asante mkuu
Anaetaka twende aje pm
All bills on me
Ila uwe unajitambua
Usiwe mnywa pombe
Silipii pombe mie
Aisee napita hapa mara nyingi... Hawana promo tu kumbe ndani ndio pako hiviOkay itategemea na interests zako. Ila me naweza kukushauri kama unapenda nature, tembelea sehemu hizi:
1. Pugu Natural Forest (Ushoroba) Hii ipo opposite na Minaki Secondary, kwahiyo daladala ni kama 2000/= jumla kutokea Ubungo.
Hapo utaweza kufanya hiking, camping, kuendesha boat, etc.
Gharama jiandae kuanzia 20k hadi 80k kutegemea na huduma.
View attachment 2390959
2. Vikindu forest reserve. Hii ipo opposite na kiwanda cha juice cha Bakhresa kipo Mbagala kwa mbele nimepasahau jina.
Activities ni sawa kabisa na Pugu hapo namba 1 ila ni cheaper na kasoro hiking hawana milima.
View attachment 2390964
Me kwa hizo mbili ndio recommend kama mtu wa kurelax mfano na bebe au friends.
Beaches, Malls, na sehemu zingine watakupa wadau.
Tenga mkuchu, tour guide wa jiji wapo... Nina vijana wapiga kazi safi, dar ipo kiganjani...Hebu anaetaka camping aje PM twende sio lazima awe KE hata mkiwa ME fresh tu
tuwe mtu 4 twendeni hii coming weekend Jumapili, Mad Max hebu nielekeze
mgeni ninaetokea Hapa Mbezi Mwisho,nielekeze napita njia ipi hadi nifike nipe idea idea
halafu ntajazia jazia nyama na Google Map,Last sunday niliboeka kinoma ikabd nifanye tour ya kuzunguka Dar nzima kuhakikisha tu ule mshale wa mafuta unatoka kwenye full unainama kidogo,ndio ikawa mwisho wa tour yangu.
Jumapili ijayo nataka nijaribu tena huko...
Amina sana 😁😁😂😂😂Mungu anipe ujasiri
Ila sasa ndio habari ya mjini 😎, bucket ya sultani 46kYani mm chochote kinachoanzishwaga Coco beach hapana![]()
CocoIPO wapi?
Kinyerezi?Tenga mkuchu, tour guide wa jiji wapo... Nina vijana wapiga kazi safi, dar ipo kiganjani...
Njia kuu nne ni morogoro road kibaha, kilwa road ni mkuranga,obama drive ni bagamoyo, upande mwingine hadi chanika.... Na kigambon ni buyuni.
Beach ni 7.
Kigamboni.
Mikocheni.
Jangwani.
Mbweni.
Buyuni.
Zinga.
Coco.
Makazi ya kishua.
Mbweni
Kinyerezi.
Kijichi.
Mgeni nani.
Mikochen.
Jangwan.
Masaki.
Tuwangoma.
N.k
Bar zooote......
Aah aaah dar ni nyoko aiseee