amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,143
- 31,275
Daaa.Hebu anaetaka camping aje PM twende sio lazima awe KE hata mkiwa ME fresh tu
tuwe mtu 4 twendeni hii coming weekend Jumapili, Mad Max hebu nielekeze
mgeni ninaetokea Hapa Mbezi Mwisho,nielekeze napita njia ipi hadi nifike nipe idea idea
halafu ntajazia jazia nyama na Google Map,Last sunday niliboeka kinoma ikabd nifanye tour ya kuzunguka Dar nzima kuhakikisha tu ule mshale wa mafuta unatoka kwenye full unainama kidogo,ndio ikawa mwisho wa tour yangu.
Jumapili ijayo nataka nijaribu tena huko...
Hayo mafuta ungeyanyonya ukayahamishia kwangu 🤣🤣🤣🤣