May Day
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 6,367
- 9,111
Alafu nikija najitambulishaje, kwa jina halisi au la JF?.Wooh asante mkuu
Anaetaka twende aje pm
All bills on me
Ila uwe unajitambua
Usiwe mnywa pombe
Silipii pombe mie
Alafu nikija najitambulishaje, kwa jina halisi au la JF?.Wooh asante mkuu
Anaetaka twende aje pm
All bills on me
Ila uwe unajitambua
Usiwe mnywa pombe
Silipii pombe mie
Hebu anaetaka camping aje PM twende sio lazima awe KE hata mkiwa ME fresh tuKama unaweza jaribu camping siku 1 utaenjoy. Fanya na marafiki cost sharing, haizidi elfu 80 hapo hadi kula, hiking, camping, boat, yaani alot utaenjoy madam.
Mimi ni Taekwondo Master lady mkuu...hakuna wa kunigusa!Maporini uko mzee utakuja upukutishwe![]()
Ila akipita mende au panya tu ,utanirukia kama mmeo😅😅😅🤣🤣Mimi ni Taekwondo Master lady mkuu...hakuna wa kunigusa!
So naenda with free mind
Hivi pale hamna wezi wa vifaa vya magari? Sikuona walinzi aseeYes bebe. Ukuje wk end hii... Nikupe ofa...
Bei zao nzuri sana and very fair.Pamoja sana. Unaweza kwenda day trip. Itakua chini ya elfu 20 kwa mtu ila mkiwa wengi inakua cheap. Bei zipo hivi:
Washkaji wakarimu sana pale yaani wako peace knm. Utaenjoy sana boss.
- Kiingilio 2500 (kwa mtu),
- Hela ya guide 20,000 (guide mmoja anahudumia watu 10 so mkienda 10 kila mtu anachangia elfu 2 so better mkiwa crew)
- Boat elfu 10 (sio lazima)
- Ukitaka camp tent zipo za 15,000 (maximum watu 4) na zipo kubwa za 40,000 izo ata watu 10.
- Ukienda na camera kubwa unailipia elfu 5, drone 50,000 ila nadhani hautaenda nazo.
- Ndani hamna vyakula (ila wameanza kutengeza mahala pa kula) so nunua bites na vinywaji nje.
- Gari kuingia elfu 5 ila ukipaki nje free.
Hapa Hiking on top kabisa unakua unaiona Dar kwa chini. Wamejenga ngazi sahivi kupanda rahisi.
View attachment 2391100
Hapa chini camping pembeni mwa bwawa.
View attachment 2391103
PS: Gharama naweza kua nimekosea kidogo sana. Ila zinaenda humo humo.
huu ugonjwa wangu, wakiweka cateringNdani hamna vyakula (ila wameanza kutengeza mahala pa kula
KiruuuuHivi si mwaka jana zilisambaa videos za simba wakitembea vikindu na inasemekana wakitokea humo forest
Papo safe kweli


Gusa unase! Shauri yakoIla akipita mende au panya tu ,utanirukia kama mmeo![]()
Usihofu wala usifadhaike, bwana yu pamoja nawe 😁Kiruuuu![]()
Walinzi wapo kama wotee! Kuhusu usalama pako poa. Ni eneo zuri kwa kujichanganya na kujumuika na binadamu wenzako.Hivi pale hamna wezi wa vifaa vya magari? Sikuona walinzi asee
Labd uwe pisi kali , otherwise atanasa mandonga😅Gusa unase! Shauri yako
Hapana madam. Yale maji ni ya bwawa la Minaki hayatembei kwahiyo tuliambiwa wanaogopa magonjwa ya mlipuko. Ila niliambiwa pool is on the way.Kuna kuogelea
Mnh naona unatupia ndoa ki dizian flani hiviiii.... Ila nimekueMmh uku ndo walishoot MOVIE YA BWAWA LA SHETANI kila la kheri wakuu
Mnnnh naona unatupia ndoano ki dizian flan hivi ii tusiku shtukie.. Ila nimekuelewaHebu anaetaka camping aje PM twende sio lazima awe KE hata mkiwa ME fresh tu
tuwe mtu 4 twendeni hii coming weekend Jumapili, Mad Max hebu nielekeze
mgeni ninaetokea Hapa Mbezi Mwisho,nielekeze napita njia ipi hadi nifike nipe idea idea
halafu ntajazia jazia nyama na Google Map,Last sunday niliboeka kinoma ikabd nifanye tour ya kuzunguka Dar nzima kuhakikisha tu ule mshale wa mafuta unatoka kwenye full unainama kidogo,ndio ikawa mwisho wa tour yangu.
Jumapili ijayo nataka nijaribu tena huko...
Ahaaa unataka kelele?Natumaini wewe unaesoma uzi huu ni mzima wa afya.
Nimekuwa nikikaa hapa Dar kwa muda mrefu kidogo na kumakinika na kazi tu. Hii imekuwa ni 'one way go and return home'. Kwa sasa naona kuna umuhimu wa kutembea sehemu mbalimbali za kutulia na hata kuona jinsi watu wanavyokula maisha hapa Dar.
Kwa hiyo kama kuna anayejua sehemu mbalimbali nzuri iwe ni bichi, klabu, migahawa au mahali mtu anaweza kwenda kutuliza akili kidogo kwa muda na kurudi ambazo zipo hapa Dar. Na hizo sehemu nikienda kutulia hata vinywaji na chakula gharama ya chini iwe 20k.
Kuwe na watu wengi ambao wanakuja sehemu hiyo, muingiliano uwepo kidogo wa watu, hata kukiwa na 'vibe' kidogo sawa kabisa. Eneo na jina la mahali ndicho nachohitaji ili nianze kwenda kupoa siku za wikiendi na siyo kuzubaa tu nyumbani.
Kwa msaada wa google maps yote yanawezekana!
Naona hatuelewani we uko kushoto mi nko kulia..bye felaaLabd uwe pisi kali , otherwise atanasa mandonga![]()