Sehemu gani nzuri ya starehe Mwanza?

Moto wako uta kuwa was kipekee😀🤣
🥴🥴🥴 mtoto akilikia wembe unampa tu.. mtu akienda kwa boda boda ( waendesha piki piki za abiria ), kuna mambo atapata.. kuna mahala nilikuwa na urafiki na boda boda..akaanza niambia wake wa watu wanao jiuza.. wame wapa na namba zao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom