Sehemu gani nzuri ya starehe Mwanza?

Sehemu gani nzuri ya starehe Mwanza?

Moto wako uta kuwa was kipekee😀🤣
🥴🥴🥴 mtoto akilikia wembe unampa tu.. mtu akienda kwa boda boda ( waendesha piki piki za abiria ), kuna mambo atapata.. kuna mahala nilikuwa na urafiki na boda boda..akaanza niambia wake wa watu wanao jiuza.. wame wapa na namba zao
 
Uzi tayari...mikoa yote mjini Kuna starehe inategemea wewe utanogewa na Nini we ingia mjini ukiona mataa taa ya rangi tofauti jua ni sehemu ya Bata nenda kajibebee mnduku ukarombe.KILA MJA NI SHAHID WA NAFSI YAKE MWENYEWE
Hahaha
 
Mmh mtu humjui akushike vile nilivyoona? Hiyo sikuipenda.
Ila wakiweka miziki ya kubanjuka basi watu wanaruka haswa.

Sasa wakati nataka kuanza kutoka hoteli za maana najua nikitoka na 50000 siwezi imaliza yaana kila ijumaa lazima nitaanza kutoka.nimechoka kukaa ndani, ni mimi kazini home, no nataka kuanza kujipa raha kubaki ndani kama kufuri hapana.

Tena sasa hivi ndo wakati mwafaka ila sio club ni sehemu tulivu za starehe. Naenda saa mbili saa5 narudi.
Bado upo pande za jiji la miamba?
 
Back
Top Bottom