Sehemu gani nzuri ya kula bata Singida

Attachments

  • Screenshot_20260915_200023_Gallery.jpg
    156.6 KB · Views: 2
Kwanini waliita nyokaaa πŸ˜‚
Nina miaka mi4 sasa toka nianze kukaa Singida kwa story za mtaan pale kulikuwa na UHUNI wakila aina

Kwa sasa wanapaita 24 ila pamepooza sana kuelekea kufa kabis ani sawa na sky way kule stand Mpya nako sifa zilikuwa nyingi sana siku nimefika pahovyo snaa


Singida mkoa mdogo sana kama unapemea amsha amsha utapachukia tu ila sie tusie na mambo mengi tunaenjoy sana weekend unashinda Mbalamwezi hadi saa3 hivi unaingia Ubungo unavunja kuku afu unaoogea Neq Narina Empire hapo ni uwezo wako tu kuna Wanyaturu/Wanyiramba/wambulu Grade A huwezo waona popote Pale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…