Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,305
- 8,655
- Thread starter
- #21
Ahaa! Nimeanza kuelewa points zenu. Dom kwa construction industry huenda pako poa sana, ila ndo kwa mambo mengine inaweza kuzidiwa na Babati.Kutokana na career yako ya ujenzi, nakushauri nenda Dodoma maana mji ndio unaanza kujengeka watu wanajenga kwa kasi hivyo kwa fani yako fursa zitakuwa nje nje. Babati ni pazuri lakini bado ni mji ambao haukui kwa haraka ingawa kama wadau walivyo shauri kuna fursa za kilimo.
Kilimo unaweza piga hata Dom