Sehemu gani niende kwa ajili ya kusherehekea kumbukumbu ya kuzaliwa kwangu?

Deleted01

JF-Expert Member
Sep 28, 2018
1,411
3,457
Natumaini wote nyie ni wazima,
Well, naombeni mawazo yenu kwenye changamoto yangu hii ndogo, next week natarajia kuwa na kumbukizi yangu ya siku ya kuzaliwa

Nilipanga niende Zanzibar ila hii weekend nimewaza nikaona hakuna sababu ya kurudi kule na nilienda tu December hapo. Sasa basi, naombeni mawazo ni wapi unadhani ungeweza suggest mtu aende akatulize akili na kufurahia kumbukizi ya siku yake ya kuzaliwa.

Mimi niko Morogoro saivi ila i am ready to travel na mzigo upo, ni kwamba tu i am stacked, sijui where to go.?

Ruhusa nishapata kazini na pengine ningekuwa i am decided on where to be, ningekuwa nishafika huko ila nipo nipo tu hapa and i fear naweza nisiende kokote, nikabaki tu kwangu all week.

Karibuni wadau, mnipe mawazo.
 
Natumaini wote nyie ni wazima,
Well, naombeni mawazo yenu kwenye changamoto yangu hii ndogo, next week natarajia kuwa na kumbukizi yangu ya siku ya kuzaliwa, nilipanga niende zanzibar ila hii weekend nimewaza nikaona hakuna sababu ya kurudi kule na nilienda tu December hapo. Sasa basi, naombeni mawazo ni wapi unadhani ungeweza suggest mtu aende akatulize akili na kufurahia kumbukizi ya siku yake ya kuzaliwa. Mimi niko Morogoro saivi ila i am ready to travel na mzigo upo, ni kwamba tu i am stacked, sijui where to go.?
Ruhusa nishapata kazini na pengine ningekuwa i am decided on where to be, ningekuwa nishafika huko ila nipo nipo tu hapa and i fear naweza nisiende kokote, nikabaki tu kwangu all week. Karibuni wadau, mnipe mawazo.


Unaweza kwenda sehemu yoyote ili kupata Exposure ya maeneo mfano ukaja DSM kigamboni zipk sehemu za kutuliza Akili zenye mpangilio mzuri Sana.


Ila kikubwa siku yako ya kuzaliwa igawe Mara mbili Ahsubui tembelea kituo chochote cha watoto yatima utoe sadaka au chochote ,

Then jioni fanya kufurahia kwa kushukuru Mungu na kula na kunywa


Make a difference and God will reward to you more success .
 
Natumaini wote nyie ni wazima,
Well, naombeni mawazo yenu kwenye changamoto yangu hii ndogo, next week natarajia kuwa na kumbukizi yangu ya siku ya kuzaliwa, nilipanga niende zanzibar ila hii weekend nimewaza nikaona hakuna sababu ya kurudi kule na nilienda tu December hapo. Sasa basi, naombeni mawazo ni wapi unadhani ungeweza suggest mtu aende akatulize akili na kufurahia kumbukizi ya siku yake ya kuzaliwa. Mimi niko Morogoro saivi ila i am ready to travel na mzigo upo, ni kwamba tu i am stacked, sijui where to go.?
Ruhusa nishapata kazini na pengine ningekuwa i am decided on where to be, ningekuwa nishafika huko ila nipo nipo tu hapa and i fear naweza nisiende kokote, nikabaki tu kwangu all week. Karibuni wadau, mnipe mawazo.
Bagan, Myanmar: Eneo hili lina mandhari ya ajabu ya mahekalu na pagoda zilizosambaa kwenye uwanja wa majangwa utafurahia kumbukizi Yako ya kuzaliwa hapo.
 
Vijana wengi wamekosa uelekeo kwa kushindwa kuzoza na midomo yao imejaa meno wakati hata kutafuna mahindi ya kuchemcha hawawezi.
Zamani jando ilikua msaada mkubwa sana kwa watoto wetu wa kiume, na ndio maana hapakua na mambo ya kijana kuja kumtangaza mwanamke (eti anamtaka).
Wakubwa mmenielewa
 
Vijana wengi wamekosa uelekeo kwa kushindwa kuzoza na midomo yao imejaa meno wakati hata kutafuna mahindi ya kuchemcha hawawezi.
Zamani jando ilikua msaada mkubwa sana kwa watoto wetu wa kiume, na ndio maana hapakua na mambo ya kijana kuja kumtangaza mwanamke (eti anamtaka).
Wakubwa mmenielewa
Huu ni uzi juu ya uzi hapa anatafuta kwa kusherehekea siku yake ya kuzaliwa mpe location aende alafu ingia MMU fungua hio uzi mpya,
 
Makaburini, nenda ukifika tafakari kuhusu maisha, tafakari kuhusu wewe na wanaokuzunguka, tafakari kuhusu matendo ukimaliza pitia walau majina matano ya makaburi kisha yakariri uwe unayakumbuka kila asubuhi
 
Kama ni kumbukumbu ya kuzaliwa nenda hospitali

Kwakuwa mzigo upo, toa msaada kwa wenye uhitaji kwenye hospitali utakayotembelea.
 
Natumaini wote nyie ni wazima,
Well, naombeni mawazo yenu kwenye changamoto yangu hii ndogo, next week natarajia kuwa na kumbukizi yangu ya siku ya kuzaliwa

Nilipanga niende Zanzibar ila hii weekend nimewaza nikaona hakuna sababu ya kurudi kule na nilienda tu December hapo. Sasa basi, naombeni mawazo ni wapi unadhani ungeweza suggest mtu aende akatulize akili na kufurahia kumbukizi ya siku yake ya kuzaliwa.

Mimi niko Morogoro saivi ila i am ready to travel na mzigo upo, ni kwamba tu i am stacked, sijui where to go.?

Ruhusa nishapata kazini na pengine ningekuwa i am decided on where to be, ningekuwa nishafika huko ila nipo nipo tu hapa and i fear naweza nisiende kokote, nikabaki tu kwangu all week.

Karibuni wadau, mnipe mawazo.
Pale Jirani si kuna kanisa Lakini pia kuna msikiti? hapo ni mahali pazuri sana na patulivu mno kwa kusherehekea birthday 🎉 🕍⛪🕌

Mrudishie Mungu Muumba wa yote Sifa na Utukufu kwa zawadi ya uhai, afya na maisha ulonayo 🌹

Kwa imani mtolee sadaka kama sehemu ya furaha yako, unaweza nunua Juzuu na misahafu kadha watoto wa madrasa wakapata kuvitumia kumjua Allah,

Lakini biblia na vitabu vya dini watoto wa mafundisho na Sunday school nao wakapata kulijua neno la Mungu 🐒

Na sherehe yako ikafana zaidi kwa kuwatembelea wahitaji mathalani wagonjwa kadhaa ata kama moja mahospitalini na majumbani au katika vituo maalumu vya wahitaji. Ukatoa sehemu ya sherehe yako kama faraja kwao hata kwa miche mitatu ya sabuni 🌹
Mi nadhani haya ni maeneo mazuri zaidi...

Kumbuka kujiwekea akiba maana fainali si mbali...

Happy Birthday In advance Family Member🎉
 
Unaweza kwenda sehemu yoyote ili kupata Exposure ya maeneo mfano ukaja DSM kigamboni zipk sehemu za kutuliza Akili zenye mpangilio mzuri Sana.


Ila kikubwa siku yako ya kuzaliwa igawe Mara mbili Ahsubui tembelea kituo chochote cha watoto yatima utoe sadaka au chochote ,

Then jioni fanya kufurahia kwa kushukuru Mungu na kula na kunywa


Make a difference and God will reward to you more success .
Hio ya misaada sitafanya kwa watoto yatima wa kwenye vituo bali nina madogo kitaa hapa wana perform vizuri shule ila home mazingira ni changamoto na huku Morogoro kwa bahati mbaya muhamko wa Elimu kwa wazazi sio kivile ndo maana hata wabunge wetu sio wasomi na hata uwaziri wala u-naibu hatupati, nitafanya kitu kwao, inshallah. Nimeona nianzie na hawa wa mazingira ya nyumbani maana charity begins at home.
 
Pale Jirani si kuna kanisa Lakini pia kuna msikiti? hapo ni mahali pazuri sana na patulivu mno kwa kusherehekea birthday 🎉 🕍⛪🕌

Mrudishie Mungu Muumba wa yote Sifa na Utukufu kwa zawadi ya uhai, afya na maisha ulonayo 🌹

Kwa imani mtolee sadaka kama sehemu ya furaha yako, unaweza nunua Juzuu na misahafu kadha watoto wa madrasa wakapata kuvitumia kumjua Allah,

Lakini biblia na vitabu vya dini watoto wa mafundisho na Sunday school nao wakapata kulijua neno la Mungu 🐒

Na sherehe yako ikafana zaidi kwa kuwatembelea wahitaji mathalani wagonjwa kadhaa ata kama moja mahospitalini na majumbani au katika vituo maalumu vya wahitaji. Ukatoa sehemu ya sherehe yako kama faraja kwao hata kwa miche mitatu ya sabuni 🌹
Mi nadhani haya ni maeneo mazuri zaidi...

Kumbuka kujiwekea akiba maana fainali si mbali...

Happy Birthday In advance Family Member🎉
Sawa, Nashukuru mkuu. Everything is noted.
 
Back
Top Bottom