Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 7,081
- 10,558
Labd wengi wanatumia local beers za 1500Niny watu wa jiefu hamtaki kuoneka ukiwa na nafasi sema nikupeleke mimi natoa kampan utainjoy
Labd wengi wanatumia local beers za 1500Niny watu wa jiefu hamtaki kuoneka ukiwa na nafasi sema nikupeleke mimi natoa kampan utainjoy
Savanna 20+ ni vita au?Una ofa yako ya Savanna 20+
Yaani huku ndio kumekucha.Haya lala ukue. [emoji3][emoji3]
Kesho usije kusumbua usingizi mkija.
Sawa mkuu ukiwa teyar mm nipo ila mida muzur ya kuibuka nii.hii ndio unaingia wavuvi utatqmani kila weekend uwe palLabd wengi wanatumia local beers za 1500
Hutak za kubeba ukawek kwa friji yako Buza paleSavanna 20+ ni vita au?
Baba sina usingiz nakuja kuangalia TVHaya lala ukue. [emoji3][emoji3]
Kesho usije kusumbua usingizi mkija.
Situmii pombeHutak za kubeba ukawek kwa friji yako Buza pale
Aya ngoja nichome wese nmpitie bibie Lenie Buza pale chap😅Sawa mkuu ukiwa teyar mm nipo ila mida muzur ya kuibuka nii.hii ndio unaingia wavuvi utatqmani kila weekend uwe pal
Mpitie chap af uende siku argument yupAya ngoja nichome wese nmpitie bibie Lenie Buza pale chap😅
Wine je?Situmii pombe
Heineken Bei gan kwanza!?Mpitie chap af uende siku argument yup
Hizo za wadosi siziwezi.Wine je?
Sijajua iyo ila itakuwa 10000Heineken Bei gan kwanza!?
Uko wapi leoSijajua iyo ila itakuwa 10000
Niko nyumban8Uko wapi leo
Kuna viwanja vya kuelewek pande hizo?Nipo Kisarawe leo
Unaona mambo ukoHeineken Bei gan kwanza!?
Kigamboni sijawahi kufija na sijui kama ntafika, labda itokee emergencyZa jioni
Miaka 20 Dar sijawahi kufika maonesho ya Sabasaba.
Wapi haujawahi kufika au unapasikia kukaa kote Dar?
Mbopo napasikia.
Kina sehemu inaitwa king'ong'o kwa kweli hapa hapana sijawahi kufika.
Kijichi.
Kivule.
Me hata sipaelewi kwakweli, kumepoaKuna viwanja vya kuelewek pande hizo?