Engineer izaq
New Member
- Jan 16, 2015
- 4
- 2
Habari,
Me ni mwanafunzi wa DIT ktk fani ya Electrical Engineering, kwa sasa Nipo week ya kwnz ya Field hapa Azam(Tazara/Dsm)... ila changamoto ninayo iona apa hakuna zile kazi nikaongeza knowledge hata kdg, mda mwingi tunakaa tu.
Naomba msaada sehem bora kwny Field hii ya umeme, niondoke apa!
Me ni mwanafunzi wa DIT ktk fani ya Electrical Engineering, kwa sasa Nipo week ya kwnz ya Field hapa Azam(Tazara/Dsm)... ila changamoto ninayo iona apa hakuna zile kazi nikaongeza knowledge hata kdg, mda mwingi tunakaa tu.
Naomba msaada sehem bora kwny Field hii ya umeme, niondoke apa!