Cobrahypnosis
JF-Expert Member
- Jul 28, 2021
- 362
- 678
Hellow habari zenu wadau natumaini mpo salama. Nina mdogo wangu mwaka wa pili (HUMAN RESOURCE MANAGEMENT) mwezi wa Saba anatakiwa aanze field na katika maombi yake amebahatika kupata CRDB branch, OFISI YA RAS na MANISPAA, je sehemu ipi ni bora na sahihi kwake kufanya field kati ya hizo sehemu tatu. Mawazo yenu wadau ili nimpe ushauli.