elly mbogo
Member
- Sep 3, 2015
- 27
- 0
nafurahi watu mnavyojua kujipa moyoooo tz noma sanaaa
sasa wakuu vp wale wenye pass ambao comb zimebalance kwa mfano mtu anakuwa na c tatu za PCB je atachaguliwa wakati ana pass
uwezekano upo coz nafasi zitakuwa nying kutokana na weng waliochaguliwa mwanzo wameenda private mfano feza,st.methew,marian,egles na shule nyingine za private zinazochukua wanafunzi vichwa licha ya hao kuna wengne wame pangiwa UDOM na wengne hawajaenda wanasubiria vyuo mfano afya na kadhalika xo ndo maana walisema ni C3 na kuhendelea ila uwe umebalance comb bila kujali daraja alilopata mtainiwa
wakuu! leo tarehe 10/9 je? TAMISEMI sijui watatoa post zetu au ndo changa la macho