Second selection Kidato cha Tano 2015/2016

Second selection Kidato cha Tano 2015/2016

kuna wa2 wengne hamfatlii cha msing we nenda uanglie kam na we umechaguliwa ualimu coz kuna wa2 weng wamechaguliwa lakin til now hawajui ata kinachoendlea
 
tatizo humu kuna mawazili wengi wa helimu na kila mtu.anajifanya anajuaa sasa fatilia taarifa hii ili upate ukweli
1.second selection zinatoka mwezi huu wa tisa na mwisho wa udahili na uwepo wa wanafunzi kidato cha tano ni october so udahili utaksofanyika out of zat ni batili..
2. wanafunzi watakao chaguliwa ni kuanzia div 1-2. na wakisema bila kujali daraja au kiwango ulicho pata awamaanishi sdi dvisio 4 hila ni gpa yoyote hile uliyo pata either 1.6-5.0.
3.post za vyuo zitatoka sept 25-30 na wanafunzi wataanza kuanza kusoma certificate zao october 10 au 15 watakao chaguliwa ni walio apry nacte tuhh..
kama una shwali juu ya tahalifa tanjwa ulizaaa
 
tatizo humu kuna mawazili wengi wa helimu na kila mtu.anajifanya anajuaa sasa fatilia taarifa hii ili upate ukweli
1.second selection zinatoka mwezi huu wa tisa na mwisho wa udahili na uwepo wa wanafunzi kidato cha tano ni october so udahili utaksofanyika out of zat ni batili..
2. wanafunzi watakao chaguliwa ni kuanzia div 1-2. na wakisema bila kujali daraja au kiwango ulicho pata awamaanishi sdi dvisio 4 hila ni gpa yoyote hile uliyo pata either 1.6-5.0.
3.post za vyuo zitatoka sept 25-30 na wanafunzi wataanza kuanza kusoma certificate zao october 10 au 15 watakao chaguliwa ni walio apry nacte tuhh..
kama una shwali juu ya tahalifa tanjwa ulizaaa

elly mbogo,andika lugha fasaha huku sio facebook.
 
Ni kher wasingetwambia kama kuna hyo second selection wangekaa kimya had siku ambayo wangejisikia kutoa wangetoa,kuliko kututia wahaka wa moyo!! Inauma sana na inatia hasira kwa kwel post za vyuo shida hzo second nazo shida hakuna hata kwenye ahuen! Eee mungu wee mbona shida mwaka huu!
 
tatizo humu kuna mawazili wengi wa helimu na kila mtu.anajifanya anajuaa sasa fatilia taarifa hii ili upate ukweli
1.second selection zinatoka mwezi huu wa tisa na mwisho wa udahili na uwepo wa wanafunzi kidato cha tano ni october so udahili utaksofanyika out of zat ni batili..
2. wanafunzi watakao chaguliwa ni kuanzia div 1-2. na wakisema bila kujali daraja au kiwango ulicho pata awamaanishi sdi dvisio 4 hila ni gpa yoyote hile uliyo pata either 1.6-5.0.
3.post za vyuo zitatoka sept 25-30 na wanafunzi wataanza kuanza kusoma certificate zao october 10 au 15 watakao chaguliwa ni walio apry nacte tuhh..
kama una shwali juu ya tahalifa tanjwa ulizaaa

mkuu unaelewa maana ya C3 na kuendelea?
 
Back
Top Bottom