Second selection Kidato cha Tano 2015/2016

Second selection Kidato cha Tano 2015/2016

Intake ya second selection yaweza kuwa november wakuu hilo ni jambo ambalo mnapaswa kulijua coz hata advance wanafunga november na sio october
 
Maisha ya mitaani jamani tushachoka tupeni hizo post Tamisemi Au mnahis tunapenda kuishia mitaani tyu Nakukosa Elimu
Me Mpk ndoto zangu zimeshaanza kufutika kabisa
 
jamani wana JF
kutokana mh. kawambwa amesema TAMISEMI watatoa post wiki hii! leo tarehe 10/9 na mimi ninavyojua wafanya kazi wa serikali huwa wanafanya kazi kuanzia j3 hadi ijumaa.Sasa kama hawatatoa leo basi kesho na kama kesho hawatoi basi changa la macho au kama kuna mtu mwenye maoni tofauti! itapendeza kama akiyatoa
 
jamani wana JF
kutokana mh. kawambwa amesema TAMISEMI watatoa post wiki hii! leo tarehe 10/9 na mimi ninavyojua wafanya kazi wa serikali huwa wanafanya kazi kuanzia j3 hadi ijumaa.Sasa kama hawatatoa leo basi kesho na kama kesho hawatoi basi changa la macho au kama kuna mtu mwenye maoni tofauti! itapendeza kama akiyatoa

hata jumamosi huwa wanatoa
 
halaf jaman mkiwa mnapost vitu muwe na uhakika navyo mana wengine mnatupa pressure jaman tuoneen huruma 2mechoka kukaa mtaan!! Eee mungu tuangalie sisi waja wako!!
 
iweni wavumilivu
soon......t'll be out
 
halaf jaman mkiwa mnapost vitu muwe na uhakika navyo mana wengine mnatupa pressure jaman tuoneen huruma 2mechoka kukaa mtaan!! Eee mungu tuangalie sisi waja wako!!

mkuu kimepostiwa alichokiandika waziri wa elimu bwana KAWAMBWAAA sasa sijui unacholalamika ni nini kwanza shule ni mpaka november kwa taarifa yako
(shikamoo tcra)
 
Wiki hiyoooo inaishia a hakun hata dalil ya hizo post za waliochaguliwa kidato cha tano awamu ya pili 2015
Au inawezekana ni kampeni tu
 
Back
Top Bottom