Second selection Kidato cha Tano 2015/2016

Second selection Kidato cha Tano 2015/2016

jamani wakuu m nina 2.1 lakin phy d chem d bios b geog d his c kiswah c engl b civ b math e bt kwny selform nimejaza cbg na pcb je? naweza kuchakuliwa comb hizo au ndo ntachaguliwa hkl bt m napenda cbg! wakuu msada wenu wa kimawazo unaitajka
 
Uvumilivu Unahtajika Kwa Kwl Yan Wakiona Wito Na Mwamko Wa Watu N Mkubwa Ktk Jambo Hli Yan Wanachelewexha Kutoa Yan Sijui N Ubabe Wanatufanyia Yan!
 
ngoja tuisuse hii thread labda kesho watatutolea hizo post
 
watakao chaguliwa nivkuanzia daraja la 3-1 na uwe umebalance combination yakoo...
 
jamani wakuu m nina 2.1 lakin phy d chem d bios b geog d his c kiswah c engl b civ b math e bt kwny selform nimejaza cbg na pcb je? naweza kuchakuliwa comb hizo au ndo ntachaguliwa hkl bt m napenda cbg! wakuu msada wenu wa kimawazo unaitajka

We huon comb gan imebalance? HKL hyo ukakutane na Affricatives na akna Hirohito
 
taarifa nilizopata ni kuwa muda wowote kuanzia sasa post zitakuwa hewani so msichoke kuingia tovuti ya tamisemi mda wote
 
Back
Top Bottom