Second selection Kidato cha Tano 2015/2016

Second selection Kidato cha Tano 2015/2016

Habar wanajf samahan naomba uliza kwamba mie comb yang imebalance ccc ambayo ni CBG na nina gpa ya 1.7 je naweza chaguliwa kweny secnd selection?
 
mwalim had leo ametwambia kwamba kwa wale ambao hawaji wambien waje koz anataka kupeleka ripot baraza bdo hajapeleka
 
Mmmh! Wanajf had saa hz hakuna lolote hil leo changa la macho,hakuna hata tetec kuwa kama hzo post ni tayar ama vp,hao wahucka wenyewe wako kmya hasaa cjui wana maanisha nn? Tutadanganywa hvyohvyo kila cku,cku ya leo imepita hakuna k2! Cjui kesho itakuwa vp!!! Twaomba mungu
 
Jaman kuwen wavumilivu kwan hata sisi 2lio omba afya wame2zingua xaxa me nafikiri muwe na subira 2 wakuu
 
Habar wanajf samahan naomba uliza kwamba mie comb yang imebalance ccc ambayo ni CBG na nina gpa ya 1.7 je naweza chaguliwa kweny secnd selection?

wewe utakuwa umechaguliwa special diploma of education UDOM nenda kacheki net jina lako kwenye accnt ya NACTE
 
Samahani Hivi Iyo Nacte inahusiana na Watahiniwa wa sayansi tyu ...
Na Vipi Kuhusu wale wa biashara..??
 
Back
Top Bottom