Willy mayor
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 346
- 44
kuna tetesi kuwa baadhi ya waliochaguliwa special diploma udom kuchaguliwa kidato cha tano coz zipo baadhi ya shule zinahitaji wanafunzi wa sayansi na hesabu
kwanza hata UDOM wengi hawatoenda coz wengi wao wanasubiria post za vyuo vya afya na pia wapo wengine wameshapangiwa form 5 lakn hawajaenda me mwenyewe ni mmoja wao..