ahmedy sultan
Member
- Aug 24, 2015
- 10
- 0
Kams itakua hivyo serikali inajali
ulipata ngapi matokeo yako?
wakuu! hivi hizi post ndio zitatolewa katika siku ya leo au kesho au mimi ndio nimeshindwa kuelewa
jamani eeh nmeona kweny page ya tamisemi kna link imeandikwa KUJIUNGA KIDATO CHA TANO AGOSTI 2015 lkni haifngukiii
hyo ni ya wale waliochaguliwa St.peter kama sijakosea
Unachaguliwa usiogope
jaman wana jf naomba kuulza n kwel tamisem wametoa vigezo kwa wanaotaka kubadl comb mfan kama unataka pcb lazma uwe na bbb cbg uwe na bbc
jamani hizo post za awamu ya pili zinatoka Leo au man's walisema tare 2/9anayejua naomba msaada
Jamani nisaidie sikuwa hewan sku nying, kulingana na mada tajwa hpo juu... Hzo second selection, Tetec znaweza tok kuanzia kesho sasa Wanachukua hadi walio pata PASS?? au wanachukua kuanzia ngapi hadi ngapi? Na yatatumwa kwenye mtandao wa NACTE au NECTA.. Please nisaidieni wapendwa.
Kwa hyo walio pata PASS, na combination zao zko safiii je Watachaguliwa Au?? Msaada please