Second interview NSSF

Second interview NSSF

Ata mm nimepigiwa niende duce lakini siendi usaili gani unarudiwa mara mbili
 
inasemekana kuwa ile ya kwanza haikuwezekana kushahishwa! so inasemekana wameita kila aliyeomba kama awali!

Wameita kama awali halafu wameteua wakufanya oral direct???
 
Wakuu me nawashauri mpite nssf hq, mm nlipgiwa cm nkapewa no. leo nimepita benjamini mkapa tower out of curiousty nkasema ngoja npite nssf kuconfirm no. nkapewa no. nyingne tofaut na ile nliyopewa mwanzo waliponipigia cm
 
inasemekana kuwa ile ya kwanza haikuwezekana kushahishwa! so inasemekana wameita kila aliyeomba kama awali!

yap kwa hapo nakubaliana na wewe,ndio maana nasema jamaa hawako makini kabisa
 
hv makao makuu yapo ubungo au posta benjamini mkapa na majina yamebandikwa shm gani msaada kwa aliyepita na tufahamishane maana me nlifanya ile ya kwanza naona sioni dalili za kuitwa.
 
Mimi naamini hawajaita wote. Kuna frend nilikutana nae that day na hawajamwita tena this second time. So ukisema wameita tena wote naona kama sio kweli.
 
Jamani kuna watu zaidi ya elfu kumi huku duce sijui wale wa IFM vipi!!!yaani ni baraaa
 
Back
Top Bottom