Second interview NSSF

Watu kimya,jamani mwenye updates kutoka NSSF,ama watu wameshapewa vitengo maana hii inchi.
 
Watu tumesafiri kwa ajili ya hiyo intavyuu kutokea Kigoma hadi Das'laam,tupeni majibu basi tujue kama mpo pamoja nasi au ndo mshatumwaga,wiki ya tatu hii bilabila,Dau eeeeeeeeh,tunakusubiria Bosi wetu mtarajiwa,mwaga mavitu hayooo
 
Ngoja nmcal yule dada alosema wana watu wao tayar km washanza training ya kazi au laa.
 
Habari wakuu,nimesikia nyepesi kua jana saa 4 nssf wamepiga simu na intavyuu ni leo saa 4 asubuhi.je ni kweli?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom