bro mbna sijaelewa 1500 + 2500 = 40000????????
bro mbna sijaelewa 1500 + 2500 = 40000????????
Sio mzima wewe sio bure!
Huyo Jamaa anapost vitu ambavyo havijui? IFM tulikua zaidi ya 3000! Mm mwenyewe ID yangu Iliku zaidi ya 2800! Na pia wengine wamefanyia upande wa ukumbi wa mkapa
hayo ndo majibu ya maswali ya
2nd interview?
Hivi una qoute post zima unajibu kwa mistari miwili. Ebu kuwa mstaarabu kidogo kwa sisi tunaotumia mchina
DUCE namba zilianzia 3300 hadi 5800. take the difference 5800-3300=2500 . ina maana DUCE tulikuwa 2500 na kule IFM walikuwa 3300 jumla inakuja 5800
Acha uongo ww hapa DUCE ni 2500 na pale IFM ni 1500 Jumla ni 4000 cz wamechuja watu buku kwa sabab ya kwanza pale IFM Tulikuwa 5000 upo na bado interview moja jiandae kupigiwa simu hyo ukipigiwa ndo shav moja kwa moja iwe oral au written.....Kutoka HQ
IFM zilianzia .1000 mpaka 3250 kama sikosei.
Swali
1.Taja maadui wetu wa tano
2.Tufanyeje ili tuwashinde hawa maadui
******over******
umetisha....
Swali
1.Taja maadui wetu wa tano
2.Tufanyeje ili tuwashinde hawa maadui
******over******