Second interview NSSF

Second interview NSSF

Maswal mawili...
Aina tano za pension funds nakazi zake

Pili strategies ili nssf ipunguze challenges
 
Call for oral interview tayari itakuwa tarehe 17 jan.... ila wameitwa wengiiii wa bukoba, mwanza na kahama..... dar mmoja tuu. Walioitwa wako kama 30 hivi.... pitia website ya NSSF.
 
Call for oral interview tayari itakuwa tarehe 17 jan.... ila wameitwa wengiiii wa bukoba, mwanza na kahama..... dar mmoja tuu. Walioitwa wako kama 30 hivi.... pitia website ya NSSF.

Mkuu mbn hakuna kitu. Km kuna uwezekano tupia link kwa msaada zaidi.
 
Mimi mwenyewe nimeiona hiyo post humu humu jf.... Call for oral interview. Lakini kwenye website yao sijaiona. Sasa sijui huyu SUPU YA MAWE kaitoa wapi.
 
mh oral interview tayari wkt, tumepiga written jmos , watu hku mnasemaga alafu inakua kiviingine
 
Maswal yalikuwa simpo kinoma yani acha

Simpo kwako wengine waliona magumu,imagine kama mtu ulikua umeingia kwenye pepa hujui challenges ambazo nssf wanaziface lazima uchemke kwenye strategies ila swali la kwanza kila mtu kapata japo wengine walikua haewajui viref vya pspf,lapf,gepf,ppf sasa hapo atajuaje function bora ya hao waliosoma social security na protection
 
Call for oral interview tayari itakuwa tarehe 17 jan.... ila wameitwa wengiiii wa bukoba, mwanza na kahama..... dar mmoja tuu. Walioitwa wako kama 30 hivi.... pitia website ya NSSF.

Si vyema kupotosha wenzio. Huo ni ukatili wa kisaikolojia.
 
Nani kashaitwa na kuelezwa kuhusu hiyo interview?au ndo kutianana Pressure za ajabuajabu hapa?
 
Back
Top Bottom