Scotland: 'No vote' haina maana 'No change'

Scotland: 'No vote' haina maana 'No change'

Nguruvi3,
Nimekwambia mara nyingi kwamba huwezi kulinganisha Uingereza na Tanzania kwa sababu Uingereza ni mume alokuwa na wake watatu na Tanzania mke mmoja hivyo unapoondoa baadhi ya mamlaka yako na kumpa mkeo yalobakia ni yako lakini ukiwa na wake watatu na mmoja akaomba mamlaka ya jiko, hata ukimpa bado una wake wengine wawili lazima ufikirie kitachofuatia juu ya wake hao, hivyo Cameron kazungumza haya kwa kutazama mbele kitakachofuatia kulingana na ndoa yake.

Wewe tayari mamlaka unayo Tanganyika inayo zaidi ya fiscal autonomy kwa sababu ndiye yenye katiba mama. Sasa hiyo fiscal itoke wapi? ama hujui kwamba devolution ni kuyaondoa mamlaka toka serikali kuu kwenda serikali ndogo. Hiyo Tanganyika kiuhalisia yenye kuhodhi katiba mama yenye mamlaka ya kuendesha mambo yote ya Muungano na yasokuwa nya muungano, hiyo Fiscal autonomy utaitoa wapi - Zanzibar!. Mkuu tunda la chungwa ni moja lenye chanya zake ndani ya ganda, ukiondoa hata chanya moja unaliua chunga japo kila changa inajijenga kiafya tofauti na ndizi ambayo ipo mkunguni. Ukipanda mchungwa lazima utavuna machungwa na hata ukitaka kupandikiza mbegu basi jaribu daranzi sio ndizi.
 
Alichojaribu kuepusha ni England kusubiri na kuchukua hatua zake. Na hilo ndilo CCM wanalitaka, kwamba Tanganyika wachoke wachukue hatua.

In fact, watu wa England, hasa wale wanaokaa upande wa kaskazini nao wana concerns zao. Mchakato wa kura ya maoni umewasadia kufahamu kuwa kumbe watu wa Sctoland wanapewa pesa zaidi per head kulinganisa na watu wa England.

Kwa mfano, Scotland wanapata free medical prescription, lakini England wanalipia. Usafiri wa reli Scotland unapewa subsidies zaidi kuliko ule wa England. Wa-scottish wanasoma vyuo vikuu bure, wakati England wanapewa mkopo wa £7000 kwa mwaka x 3 = £21,000 kwa ajili ya ada.

Waingereza wanaoshi kaskazini mwa England wanadai kuwa hii siyo fair kwa sababu hali zao kiuchumi haziko tofauti na zile wanaoishi upande wa pili wa mpaka. Mgawavyo wa keki kwa Scotland na England hauna sana na mgawanyo wa keti kati ya Bara na Zanzibar. Pitia hiyo script hapo chini ya economic editor Robert Peston wa BBC then fanya comparative analyisis kama kuna tofauti kubwa. Wachumi kama akina Mchambuzi watasaidia.


"Scottish services better funded?

....MPs did in fact queue up to tell me how unhappy their constituents were that the Scots were getting more money than them from the UK kitty for public services, plus the right to set their own taxes. The perception is that the Scots' public services are significantly better funded than England's. And at the level of the whole of England and the whole of Scotland, that is true.

But it isn't the whole story. Poorer English regions, such as the North East, receive more public funding per head than England as a whole - though they still don't do as well as Scotland. So total public spending on services is £8,529 per head in England, £10,152 in Scotland, and £9,419 in north-east England.

As it happens, in the important provision of healthcare, the North East is actually a bit more generously financed than Scotland, receiving £2,066 per head, compared with £2,051 north of the border - though just £1,662 in the South East. So is the bellyaching I heard from Labour's northern MPs about Scotland receiving special favours unfounded?

Probably not, for two reasons. The first is that the North East is much poorer than Scotland as a whole, and has a disproportionate number of people out of work and in poor health. So it has been the convention since World War Two that there should be an element of correcting these regional social and economic inequalities in the allocation of public funds.

Using gross disposable household income as a proxy for inequality, folk in the north east are 12% poorer than Scots, and yet they receive 7% less money for all public services. It is perhaps not unreasonable for north-easterners to argue that is unfair.....

.....assessing public service need is not hard science. There will always be an element of ideology and dirty politics in how public service funds are shared out. That said, can anyone compellingly say why it is right to give comfort and confidence to the Scots that their public services will be generously resourced for years and years, while withholding that comfort from the people of the more deprived North East [of England]?"

Source: BBC News - Why does government do less for the North East than Scotland?
 
England ipo kama jina lakini hakuna kitu kinaitwa "Government of England".

Na wala nisingependa tujifananishe nao kwa sababu sisi tuna malengo yetu tofauti nao kimaisha.
All I'm saying is, this Tanganyika thing is too overrated, it's just politics ... it's actually weird/kinda stupid if you ask me.
Ndio maana Cameron ameweza kusimama na kusema, sauti za England nazo sasa zisikike. Sasa sisi sauti za anganyika zitasikikaje ikiwa Tanganyika haipo kama Engand ilivyo sasa?
 
Mkuu EMT mchakato wa katiba Tanzania nao umewasaidiaWatanganyika kujua kumbe watu wa Zanzibar wanapewa pesa nyingi per head kulikoZanzibar.

Wameweza kujua kuwa mwanafunzi wa Tanganyika anapewa mkopo,mwanafunzi wa znz anasoma bure kama Scotland
Watanganyika wametambua kumbe kodi zao zinatumika kuendeshaSerikali ya mapinduzi Zanzibar.

Sasa wanajua kumbe katika keki ya taifa, wakatiwa kuitengeneza Zanzibar hawamo, wakati wa kugawana znz wanapata Zaidi ya watuwa Singida au LIndi.


Katika mazingira ya Lindi na Zanzibar yanayofanana, pesa perhead ni kubwa kwa mzanzibar kuliko mtu wa Lindi, yet anayelipa kodi hiyo ni mtuwa Lindi. @Mchambuzi tusaidie kudadavuahili.

Katika allocation za fund kunai equality kubwa sana.Ukichukua pato la mzanzibar per head ukalinganisha na la mtu wa Tanga per head,Zanzibar wapo juu. Kwanini basi wao wapewe keki kubwa ya taifa ambayo si kuwahawana mchango bali uchukuaji umezidi kiwango.

Mfano, kwanini mlipa kodi wa Tanganyika afidie deni la SMZ?Kwanini mlipa kodi wa Tanganyika alipe mishara ya SMZ wakiwemo makamu wa raiswasiojulikana kazi zao.

Watu wa Tanga ni masikini kuliko wa znz, yet wanalazimikakulipa kodi kubwa ili kuhudumia znz.
Kwa mfano uliotuonyesha Cameron ameliona hilo mapema nakutafuta namna ya kua address.

Ndio maana kamchagua W.Hague na mwenzakewasimamie haki kwa England.

Hali hiyo ni sawa na concern za Watanganyika. Kwamba kwaniniznz ambao tofauti na Scotland hawana mchango yet wanapewa mgao mkubwa kulikoDar es Salaam?

Tofauti na Cameron, watwala wetu wameamua kulinyamazia hilila Tanganyika. Kama alivyosema Cameron, sauti za England sasa zisikike, nasitunasema kabla ya Tanganyika kuchukua hatua kuna nafasi sauti zao zisikike
 
Mkuu, umenikuna hapo kwa makamu. Ni hawa hawa wanaosema S3 ni gharama, leo wanakauwa na utitiri wa makamu. Ukiweka na wale wa znz tunaishia kuwa na viongozi wa kitaifa 5 katika ngazi ya Urais na Umakamu.
Halafu wanasema S3 ni mzigo.

Kuna mwenzetu kasema rasimu ya Warioba ilikuwa kukusanya maoni tu. Nadhani ndicho Warioba alichokifanya.
Amekusanya maoni kisayansi, sasa sijui bunge la katiba la Sitta lilipata wapi ridhaa ya kukusanya maoni;
1. Kuunda tume ya Sitta na Shibuda kwa njia ya kujiteua
2. Kukusanya maoni ya wafugaji 17 na wakulima 23

Hao hao wanaosema tume ya warioba imekusanya takwimu za watu wachache katika maelefu leo wamekaa kimya wakitetea takwimu za Sitta za watu 40.

Hili la katiba ya Sitta ni hatari na naogopa kama taifa sijui tunaelekea wapi.

Mkuu tatizo ni kuwa mpaka sasa upande wa CCM unashindwa kujenga hoja, na badala yake unaleta vioja vya kuwapuuza wataalamu wetu wa masuala ya katiba na kuleta kitu kama Kangaroo Court kwenye mchakato wa kuandaa Darft ya Samuel Sitta.

Wataalam wamechambua vizuri sana jinsi serikali mbili zilivyogharama, kwa Bara na visiwani, na kupendekeza namna ya kupunguza gharama na wakati huo huo kuuimarisha muungano.

Mkuu Nguruvi3, Mchambuzi na wengine mmetuonesha kwa lugha rahisi sana gharama za muungano. First it is financially expensive for mainland to foot Smallland's bills. Sitta's draft seems to have not only kept the same expenses that people have been complaining all along, but also added more unnecessary expenses kwa kuomgeza vyeo ambavyo gharama zake kiuhalisia zitalipiwa na wabara. Secondly, not only it does not address decades long grievances of Wazanzibar of having uhuru wa kushughulikia mambo yao kwa kiwango cha juu na hata kuwa na uhuru wa kuomba misaada nje, but also takes away some of what they have now, and reduces Zanzibaris as wapenda vyeo wanaoweza kudanganywa kwa kupewa vyeo bila kujibu kilio chao halisi...kwa hiyo Sitta kawapa vyeo ambavyo havina maana akiamini kuwa wao watatulia. Let us wait and see.

Let us be honest guys Rais, hata akiwa mjinga kabisa, anaheshimiwa kwa kuwa he is the only one in country. Makamu wa rais pia hata akiwa symbol of unity au symbol of appeasement, akiwa mmoja anaheshimiwa.

Let us suppose we have first vice president of Mizengo PInda Caliber, second vice President of Mh Haji Duni caliber, and third one of that muuza kahawa pale michenzani. What will that mean for Vice President-ship, kitakuwa ni cheo cha kijinga tu ambacho uzito wake utakuwa haujulikani. Utakuwa na mtu ambaye kutokana na subjects na size ya uchumi wake atakuwa na nguvu, na mwingine kutokana na uwezo wake atakuwa na nguvu, na mwingine kutokana na kutokuwa na thamani atakuwa jina tu. lakini ni huyu wa tatu atakaye wa-define wote wa juu. Cheo chenyewe kitakuwa kichekesho tu.

Lakini suala la gharama nadhani linatakiwa lielezwe zaidi.

By the way...kuna member anaweza kutueleza vizuri sababu zilizofanya rasimu ya jaji Warioba ivuruguwe, na kama walitumia scientific approach kukusanya maoni na kufukia uamuzi waliyofikia?

In short kuturudishwa kwenye muundo wa muungano kama ulivyokuwa wakati wa Nyerere it is terribly bad. In my view we should make a step further to strengthen it, na kuhakikisha miaka mitano baadaye hakuna atakayeuliza maswali kuhusu muundo wa muungano, au watanzania tuanze kujadili tena suala kuhusu muungano, badala ya kujadili mengine ya muhimu zaidi.
 
Ikiwa raslimali za bara haziwanufaishi wabara wenyewe jee zitawanufaisha wazanzibar kweli!!???

Labda raslimali zenu zinawanufaisha wazungu na viongozi wenu wachache kupitia 10%

Haziwanufaishi wabara kwa kuwa zinaenda nje ya bara, sina hakika kama serikali inawalipa mishahara wazungu.
 
Tangu kuanza kwa mjadala huu namuona mkandara peke yake ndio anaekukuruka humu lkn bado hajafanikiwa,,,,Nilitegemea mjadala huu ungevuta watu wengi zaidi kwa lengo lakuongezeana Maarifa lkn watu wapo kwenye teem za wagombea ila iko cku PILAU zikiwatoka shingoni ndo watajua umuhimu watanganyika,,,Wakuu hadi sasa cjaelewa CCM wanamaslah gani na znz ambayo cc wananch wakawaida hatuyaoni kiasi Kwamba watu wazima inaodhani zimo kichwani wanajitoa Ufaham kuikataa Asili yao yaani kiongoz wa CCM kuitamka Tanganyika anahisi anazini na MKWE wake,,,hebu watusaidie kulijua hili huenda nasi tukawaunga mkono Manake hadi ss wanatoa mipovu kuikataa Tanganyika bila kutushawish kwa HOJA sanasana wanaleta Vioja eti,ni Jina lakikoloni hivi,,Kuna tulichoanzisha wenyewe km siunafki ninini,,,,,!!
 
Hakuna tatizo lolote kuirudisha Tanganyika.
Na hakuna tatizo lolote tukiamua kujiita Tanganyika badala ya Tanzania bara, haya ni majina ambayo hayakutoka kwa wananchi wa "Tanganyika". yametoka kwa wakoloni, kwa hiyo sioni mantiki ya kushabikia sana.
Is Tanganyika a "Nation"? So why do you wanna kill somebody just because huitwi mtanganyika? Is that necessary.

England ipo kama jina lakini hakuna kitu kinaitwa "Government of England".

Na wala nisingependa tujifananishe nao kwa sababu sisi tuna malengo yetu tofauti nao kimaisha.
All I'm saying is, this Tanganyika thing is too overrated, it's just politics ... it's actually weird/kinda stupid if you ask me.

Mkuu uko very realistic. But honestly we have heard this talk of Tanzania being Tanganyika being nothing or being over rated. But i can assure you, there are people who thinks that Zanzibar is above Tanganyika and they trumpet Zanzibar as if Tanganyika in nothing. Though legally non existent, that does not mean it can not. At the moment Tanganyika just lacks territory is has significant population...40 times more than that of Zanzibar, it has significant economy as well as will to claim it is territory if needed.

So if some one says what is Tanganyika, it may be true. But, we should also say what is Zanzibar anyway, half of her population is in Tanganyika.
 
Kila nikizipitia post za BONGOLANDER, NGURUVI3 na wengineo humu kuhusu hii mada nimegundua ama hawajui wanachokisema au ni miongoni mwa wenye chuki zilizojificha moyoni juu ya Zanzibar na watu wake kwa ujumla.

La muhimu kwa wao na mwengine wote wenye chuki zao binafsi ni kuwa waelewe Tanzania inatokana muungano wa nchi mbili huru hivyo suala la idadi ya watu, upana na urefu wake halina nafasi, hivyo asitokezee mpuuzi akailinganisha Zanzibar na Lindi au shinyanga.

Chuki za hawa wapuuzi wanashindwa kuzizibiti hadi inafikia ahadi wanasema mambo ambayo hata MTU ambaye hana elimu hawezi kuyatamka hayo.

MTU anakuja na hoja ya eti kuna wazanzibar 84 katika bunge la katiba kwa gharama ya kodi ya wanywa bia kutoka Tanganyika na anasema eti zanzibar haichangii gharama za muungano! huku akisahau kuna dhulma kubwa ambayo Tanganyika kupitia kiini macho cha muungano inaidhulumu Zanzibar.

Mbumbumbu mwengine anahoji kwanini Zanzibar wanataka walipwe na serikali ya muungano makato ya wafanyakazi wa muungano huku akisahau Zanzibar wako wafanyakazi wa muungano ambao wanaishi na kufanya kazi Zanzibar.

Siku zote MTU makini huwa na ushahidi ambao unaisapoti hoja yake! Sasa wachangiaji wengi wanaoiona Tanganyika inaibeba Zanzibar wangalitoa ushahidi wa wapi Zanzibar inabebwa na kugharamiwa na Tanganyika vyenginevyo maneno yao yatakuwa hayana tofauti na ya wavuta bangi au wanywa kibuku.

Siku zote wazanzibar wanaposema muungano huu ni madhila na unyonge kwao hivyo hawautaki tena, wanakuwa na point ya kusapoti maneno yao! Hapa nitaweka baadhi ya ushahidi Wa wazanzibar wenye uchungu wa nchi yao wanavyosema

Kamati ya Maridhiano Six:MWANASHERIA OTHMAN MASOU…: Kamati ya Maridhiano Six:MWANASHERIA OTHMAN MASOUD AUCHAMBUA MUUNGANO NA KATIBA MPYA;17/8/2013;PART2 - YouTube


Jussa 18 june Morning: Jussa 18 june Morning - YouTube

Kwenye hizi video mbili hizi ni baadhi ya vitu vichache ambavyo wazanzibar wanavilalamikia.

Hivyo basi kama kuna vidume wanaushahidi wa wa Zanzibar kutumia pesa za watanganyika atuekee na wala asitupe maneno ya vilabu vya pombe.

Najua kuna mapumbavu mengine yatakuja na hoja wazanzibar wamejaa Tanganyika huku akisahau kuwa iko mikataba ya kimataifa ya MTU kuishi popote pale duniani mradi afuate sheria za sehemu husika! Hivyo wazanzibar wanaoishi hapa hawana tofauti na wengine wengi waliojaa Omani, UK, marekani, Kenya, Rwanda na kwengineko duniani! Na wala hawana tofauti na makaburu, wakenya, wanyasa, wamasumbiji na wengineo wanaoishi hapa.

Na tusisahau kuwa wazanzibar walioko Tanganyika ni chanzo kimoja cha serikali ya Tanganyika cha kupata mapato, kwa ufupi wazanzibar wanamanufaa zaidi kwa watanganyika kuliko hata makaburu waliojaa katika sekta ya madini na mahoteli, maana miradi ya hawa makaburu haina mchango wowote kwenye bajet ya tanganyika.
 
Kuhusu wazanzibar kuwa na chuki na watanganyika kuliko hata walizonazo juu ya wakenya, wanaijeria, waganda na wengineo hili sio la kweli maana kama utaenda vijiji vyote vya unguja na Pemba huko utawakuta watanganyika wanaishi na kufanya shughuli zao za maisha ya kila siku bila ya bughudha yeyote na huku wakipewa sehemu za kuishi au kujenga sehemu zao bila ya kulipishwa shiling au kufanyiwa bughudha au masumbulizi yeyote Yale.

Hata hivyo kama wataamuwa kuwachukia watanganyika kuliko wanaijeria, wakenya, waganda n.k basi wanaweza wakawa na sababu mzuri tu.

Sio wakenya, wanaijeria au waganda ambao waliwauwa, kuwajeruhi, kuwafanya wawe wakimbizi, kuwaharibia na kuwaibia Mali zao tena wakiwa makwao.

Ni watanganyika chini ya Nyerere (1964) na Mkapa (2001) ambao waliwauwa wazanzibar ambao hawana hatia kwa kisingizio cha mapinduzi na maandamano
 
Wakuu Nguruvi3, BONGlander, EMT

Kuhusiana na gharama za muungano, na jingi gani zinanufaisha Zanzibar kuliko Tanganyika:
Kwanza, tuangalie takwimu kwenye bajeti za Muungano na Zanzbiar.
Kwa mujibu wa Bajeti ya Zanzibar, kwa mwaka wa fedha 2013-14, vyanzo vya mapato ya Zanzibar kutoka nje vilikuwa kama ifuatavyo:

1. Ruzuku na mikopo kutoka nje kwa ajili ya program za maendeleo - shillingi Bilioni 235.
2. Misaada ya kibajeti, shillingi bilioni 40.

Hotuba ya waziri wa fedha wa Zanzibar inatamka wazi kwamba karibia 90% ya fedha hizi zinalipwa na watanganyika. Kwa maana hii, watanganyika kwa mwaka wa fedha uliopita walilipia karibia shillingi bilioni 250 kati ya karibia bilioni 280 kwa ajili ya maendeleo ya Zanzibar kupitia mkakati wa kukuza uchumi Zanzibar (MKUZA), kutimiza ndoto za wazanzibari yani - vision 2020 ya Zanzibar, at the expense of MKUKUTA ambayo ni ya kimuungano kuliko tanganyika na vision 2025 ambayo pia ni ya kimuungano kuliko Tanganyika.

Tukiangalia AID per capita, kwa kipindi husika (2013-2014), aid per capita zanzibar ilikuwa ni karibia shillingi 215,000. Je kwa upande wa Tanganyika, hali ipo vipi?

Tukiangalia kwa upande wa Muungano uliovaliwa koti na Tanganyika (ambako Zanzibar pia ni sehemu ya eneo hili), kwa mwaka wa fedha 2013-2014, jumla ya mikopo kutoka nje ilikuwa ni shillingi trilioni 2.4, na Aid per capita ikiwa ni kama shillingi 53,000. Kwa maana nyingine, AID per Capita kwa Zanzibar ni karibia mara nne kwa Tanganyika, AID ambayo ni mtanganyika ndio amekuwa akienyeshwa kwa karibia 90% with nothing in return.

Tuendelee kuangalia takwimu nyingine (Kobello, bado naendelea to compile takwimu mbalimbali kwa ajili ya gharama za serikali mbili). Soon nitaweka sources zangu.

Population
Ukubwa wa eneo (Square Kilometers)
Per Capita Income (shillingi)
Fedha za nje (Miradi ya maendeleo) (Dollars) FY 2011-2012)
Mchango wa Pato la Taifa (shillingi)
Zanzibar
1.3 million
2,650
1,000,000/=
$56.9 million
850 billion
Mtwara
1.3 million
16,710
700,000/=
$1.7 million
927 billion
Kigoma
2.1 million
37,040
500,000/=
$298,000 thousand
906 billion
Sindiga
1.4 million
49,340
480,000/=
$14.9 million
662 billion
Tabora
2.3 million
49,340
530,000/=
$2.5 million
1.2 trillion
Lindi
900,000
66,040
670,000/=
$1 million
622 billion

Ni suala lisilohitaji kutumia akili nyingi sana kubaini kwamba:

Mikoa niliyotaja hapo juu, mikio hii ya Tanganyika ni miongoni mwa mikoa masikini kuliko yote nchini. Kwa maana nyingine, mahitaji ya fedha za maendeleo katika mikoa hii ni makubwa kuliko maeneo mengine mengi sana ya Tanzania. Lakini cha ajabu ni wamba - ukiangalia fedha za nje kwa ajili maendeleo kwa mikoa hii mitano, jumla ya fedha hizi ni chini kidogo ya dollar milioni sita. Kiwango hiki ni sawa na karibia 10% tu ya jumla ya fedha zilizokwenda Zanzibar katika kipindi husika, kwa gharama za mtanganyika (rejea hotuba za waziri wa fedha wa zanziabar). Kwa maana nyingine nyepesi – mikoa masikini ya Tanganyika inatengewa fedha chache za maendeleo kuliko Zanzibar kwa ushahidi huu. And this is despite the fact that:

· Mikoa hii mitano ina jumla ya wakazi milioni nane. Idadi ya watu Zanzibar haifiki hata robo ya idadi ya watu wa mikoa hii – only 16%.

· Zanzibar wana eneo la ardhi ambalo ni only 1% of the total land size ya mikoa hii mitano ya Tanganyika.

· Zanzibar has a much higher per capita income kuliko mikoa hii, meaning kuna umaskini zaidi katika mikoa hii kuliko umaskini uliopo Zanzibar. Hata hivyo, wao wana MKUZA na DIRA yao 2020 ya kuwatoa kwenye umaskini kivyao (lakini kwa gharama za mtangtanyika) huku mtanganyika yeye akiwa na MKUKUTA na DIRA 2025 kama jamhuri ya muungano wa Tanzania (Zanzibar ikiwa ndani yake).

· Mikoa ya Tanganyika (kwa mfano Mtwara, Kigoma, Tabora), michango yake kwa pato la taifa (GDP) ni mikubwa kuliko ya zanzibar lakini bado Zanzibar wanavuna zaidi katika fedha za maendeleo kuliko mikoa hii. Kwa mfano, hapo juu tunaona kwamba mchango wa pato la taifa kutoka mkoa wa Tabora ni (shillingi 1.2 trilion), Mtwara (927 billion shillings), Kigoma (900 billion shillingi) huku Zanzibar ikiwa ni about 850 billion shillings. Pamoja na haya, badi katika kipindi husika, Zanzibar walipewa karibia $60 million dollars kama fedha za maendeleo kutoka nje (90% zililipiwa na wananchi wa mtwara na sehemu nyingine za Tanganyika), huku mtwara katika kipindi hicho ikiambuliwa kiasi kisichozidi $2 million, Kigoma kama $300,000, mtwara sio zaidi ya $2 million. Tukichukua jumla ya fedha za maendeleo kwa mikoa hii mitatu, fedha hizi hazivuki $5,000,000. Kwa maana nyingine, katika kipindi husika, mtwara, kigoma na tabora fedha za nje kwa ajili ya miradi ya maendeleo zilikuwa ni chini ya 10% ya fedha hizi kwa upande wa Zanzibar!.
· Haya yote yanatokea licha ya the fact kwamba Zanzibar wanayo higher per capita income kuliko mikoa hii miwili, meaning poverty ni kubwa zaidi kuliko Zanzibar.

Uzi wangu wa gharama za serikali mbili utakuja na analysis zaidi, lakini kwa sasa nadhani tayari tunapata picha juu ya nini kinaendelea.

Kuna suala linguine ambalo ningependa pia kulijadili. Miezi kadhaa iliyopita, tulisikia jinsi gani makada wengi wa CCM walivyokuwa wakiwavunjia heshima tume ya kina jaji warioba, kwa mfano kwamba mapendekezo ya rasimu yatamwongezea mwananchi gharama kutokana na uwepo wa marais watatu. Wakaelezwa kwamba sio lazima viongozi hawa waitwe marais, lakini bado wakaja na hoja kwamba hawa watakuwa ni viongozi wakuu wa serikali hivyo gharama zipo pale pale. Walicholenga kina mzee warioba ni kupunguza gharama kwa wananchi kutokana na utitiri wa viongozi uliopo chini ya serikali mbili ambapo kuna:

1. Rais wa Jamhuri ambae wala hana mamlaka kijamhuri.
2. Makamu wa Rais wa Jamhuri ambae hana kazi yoyote.
3. Waziri Mkuu wa Jamhuri ambae hana mamlaka ya kijamhuri.
4. Rais wa Zanzibar ambae sasa ana hadhi sawa na rais wa JMT kwa vile Zanzibar ni nchi, na katika mambo mengine, kuwa na hadhi zaidi ya rais wa jamhuri.
5. Makamu wa kwanza wa rais Zanzibar – cheo hiki kipo ‘to accommodate siasa za muungano kuliko uchumi wa muungano’.
6. Makamu wa pili wa rais Zanzibar – hiki cheo pia ni kwa ajili yaku accommodate zaidi siasa za muungano kuliko uchumi wa muungano.

Hawa ni viongozi sita wa kitaifa, tofauti na idadi ambayo tume ya warioba ilipendekeza.
Wengi tulisubiri kuona iwapo kweli kina Sitta Dodoma wangekujana mfumo ambao ungelenga kumpunguzia mwananchi gharama katika suala la viongozi wa kitaifa kama tulivyojadili hapo juu. Kinyume chake tunaona mwendelezo wa vituko na mazingaombwe. Huu ni ushindi mkubwa kwa Jaji Warioba na wananchi walio toa maoni yao kwa tume ya katiba. Hii ni kwa sababu, badala ya Sitta pale Dodoma kupunguzia wananchi mzigo, wameongeza mzigo huo kwa mependekezo kwamba kuwe na:

1. Rais wa JMT ambae wala hatujui atafanyaje kazi yake ndani ya jamhuri yenye nchi nyingine ya pembeni – Zanzibar. Badala ya kutatua tatizo hili, tusishangae CCM ikaamua kuongeza gharama zaidi kwa walipa kodi wa Tanganyika kwa kuunda tume za kutatua migongano ya marais.
2. Makamu wa kwanza wa rais – mgombea Mwenza – useless kabisa.
3. Makamu wa pili wa rais – rais wa Zanzibar ambae ana nchi yake ndani ya JMT;
4. Makamu wa tatu wa rais – ambaye pia ni waziri mkuu.
5. Makamu wa kwanza wa rais Zanzibar
6. Makamo wa pili wawili wa rais zanzibar.

Kina Samuel Sitta na Chenge wameleta katiba yenye viongozi wenye hadhi ya urais wapatao sita.

Sasa tuje kwenye gharama:

Hamad Rashid Mohamed ni mbunge mzanzibari. Katika mchango wake kwenye BLK mwezi aprili mwaka huu, alikanusha madai kwamba wazanzibari waliondoka kwenda Dodoma na msimamo wa serikali tatu. Hamad hakusema ukweli kwani kuna ushahidi kwamba sio BLW tu bali hata BLM nalo liliweka msimamo wa serikali tatu. Katika hoja zake za kupinga serikali tatu, Hamad Rashid alinukuliwa akisema haya:

“Leo Rais akisafiri anatumia sio chini ya shilling milioni mia tano, na mara nyingine hadi shilling bilioni moja. Hizi ni wakiwa madarakani tu, wakistaafu je?”

Hamad Rashid Akauliza:
“Viongozi hao wakistaafa watatu kwa pamoja itakuwaje? Huu ni mzigo mkubwa kubebesha wananchi”.

Sote tunajua kwamba mishahara na posho za viongozi wa kitaifa hugharamiwa na Serikali ya muungano – Tanganyika iliyovaa koti la muungano. Swali letu ni je:

Baina ya rasimu ya tume ya Jaji Warioba na rasimu ya Chenge, rasimu ipi ni nafuu kwa walipa kodi wa Tanganyika katika suala la kugharamia viongozi wa kitaifa?

Tunaelezwa kwamba mshahara na posho kwa kiongozi kama waziri mkuu ni shillingi milioni 25 au zaidi kwa mwezi. Na tunajua kwamba hizi zinaenda mfukoni zote, hazilipi kodi. Na mbali ya hilo, waziri mkuu anahudumiwa na serikali kwa mambo yote ya ndani na nje ya nyumba yake, meaning katka shillingi milioni 25, hatoi hata shillingi kumlipa mtunza bustani. Chini ya rasimu ya CCM, waziri mkuu anaongezewa kofia ya umakamu wa rais, hivyo kuwa na hadhi ya ki-urais, na kwa maana hii, mshahara na mmarupurupu yake chini ya rasimu ya chnge lazima pia viongezeke.

Lakini tukiamua kutumia kiwango hiki hiki cha milioni 25 kwa mwezi kiwe ni mshahara na posho kwa viongozi wote wa kitaifa (Rais wa JMT, Makamu wa kwanza, makamu wa pili, makamu wa tatu, makamu wa kwanza Zanzibar na makamu wa pili zanzinar), maana yake ni kwamba chini ya rasimu ya change, watanganyika sasa watalipia mishahara na posho kwa viongozi hawa jumla ya shillingi - not less than 150 million kwa mwezi. Kwa mwaka mzima, sio chini ya shillingi 1.8 billion. Hapo hatujajumlisha matunzo yao ambayo hayagusi mishahara yao, na hatutajumlisha zile shillingi milioni mia tano hadi bilioni moja ambazo hugharamia safari za viongozi hawa (kwa mujibu wa Hamad Rashid). Nadhani hapa tunaona jinsi gani viongozi wanafanya wananchi wajinga. Hivi Hamad Rashid akihojiwa juu ya kauli yake ya mwezi aprili, atajibu nini?

Mniwie radhi kwa typing errors na makosa mengine madogo madogo, nitarudi kufafanua sehemu zote ambazo zitakuwa zimeleta utata. Vinginevyo hoja ya msingi inasimama.

Cc Barubaru, chama, MwanaDiwani, Gamba la Nyoka, Mwigulu Nchemba, Ezekiel Maige, humphrey chipolepole, dingswayo, Pasco, MTAZAMO, ZeMarcopolo, MJINI CHAI
 
Last edited by a moderator:
Wakuu Nguruvi3, BONGlander, EMT

Kuhusiana na gharama za muungano, na jingi gani zinanufaisha Zanzibar kuliko Tanganyika:
Kwanza, tuangalie takwimu kwenye bajeti za Muungano na Zanzbiar.
Kwa mujibu wa Bajeti ya Zanzibar, kwa mwaka wa fedha 2013-14, vyanzo vya mapato ya Zanzibar kutoka nje vilikuwa kama ifuatavyo:

1. Ruzuku na mikopo kutoka nje kwa ajili ya program za maendeleo - shillingi Bilioni 235.
2. Misaada ya kibajeti, shillingi bilioni 40.

Hotuba ya waziri wa fedha wa Zanzibar inatamka wazi kwamba karibia 90% ya fedha hizi zinalipwa na watanganyika. Kwa maana hii, watanganyika kwa mwaka wa fedha uliopita walilipia karibia shillingi bilioni 250 kati ya karibia bilioni 280 kwa ajili ya maendeleo ya Zanzibar kupitia mkakati wa kukuza uchumi Zanzibar (MKUZA), kutimiza ndoto za wazanzibari yani - vision 2020 ya Zanzibar, at the expense of MKUKUTA ambayo ni ya kimuungano kuliko tanganyika na vision 2025 ambayo pia ni ya kimuungano kuliko Tanganyika.

Tukiangalia AID per capita, kwa kipindi husika (2013-2014), aid per capita zanzibar ilikuwa ni karibia shillingi 215,000. Je kwa upande wa Tanganyika, hali ipo vipi?

Tukiangalia kwa upande wa Muungano uliovaliwa koti na Tanganyika (ambako Zanzibar pia ni sehemu ya eneo hili), kwa mwaka wa fedha 2013-2014, jumla ya mikopo kutoka nje ilikuwa ni shillingi trilioni 2.4, na Aid per capita ikiwa ni kama shillingi 53,000. Kwa maana nyingine, AID per Capita kwa Zanzibar ni karibia mara nne kwa Tanganyika, AID ambayo ni mtanganyika ndio amekuwa akienyeshwa kwa karibia 90% with nothing in return.

Tuendelee kuangalia takwimu nyingine (@kobello, bado naendelea to compile takwimu mbalimbali kwa ajili ya gharama za serikali mbili). Soon nitaweka sources zangu.
PopulationUkubwa wa eneo (Square Kilometers)Per Capita Income (shillingi)Fedha za nje (Miradi ya maendeleo) (Dollars) FY 2011-2012)Mchango wa Pato la Taifa (shillingi)
Zanzibar1.3 million2,6501,000,000/=$56.9 million850 billion
Mtwara1.3 million16,710700,000/=$1.7 million927 billion
Kigoma2.1 million37,040500,000/=$298,000 thousand906 billion
Sindiga1.4 million49,340480,000/=$14.9 million662 billion
Tabora2.3 million49,340530,000/=$2.5 million1.2 trillion
Lindi900,00066,040670,000/=$1 million622 billion

Ni suala lisilohitaji kutumia akili nyingi sana kubaini kwamba:

Mikoa niliyotaja hapo juu, mikio hii ya Tanganyika ni miongoni mwa mikoa masikini kuliko yote nchini. Kwa maana nyingine, mahitaji ya fedha za maendeleo katika mikoa hii ni makubwa kuliko maeneo mengine mengi sana ya Tanzania. Lakini cha ajabu ni wamba - ukiangalia fedha za nje kwa ajili maendeleo kwa mikoa hii mitano, jumla ya fedha hizi ni chini kidogo ya dollar milioni sita. Kiwango hiki ni sawa na karibia 10% tu ya jumla ya fedha zilizokwenda Zanzibar katika kipindi husika, kwa gharama za mtanganyika (rejea hotuba za waziri wa fedha wa zanziabar). Kwa maana nyingine nyepesi – mikoa masikini ya Tanganyika inatengewa fedha chache za maendeleo kuliko Zanzibar kwa ushahidi huu. And this is despite the fact that:

· Mikoa hii mitano ina jumla ya wakazi milioni nane. Idadi ya watu Zanzibar haifiki hata robo ya idadi ya watu wa mikoa hii – only 16%.

· Zanzibar wana eneo la ardhi ambalo ni only 1% of the total land size ya mikoa hii mitano ya Tanganyika.

· Zanzibar has a much higher per capita income kuliko mikoa hii, meaning kuna umaskini zaidi katika mikoa hii kuliko umaskini uliopo Zanzibar. Hata hivyo, wao wana MKUZA na DIRA yao 2020 ya kuwatoa kwenye umaskini kivyao (lakini kwa gharama za mtangtanyika) huku mtanganyika yeye akiwa na MKUKUTA na DIRA 2025 kama jamhuri ya muungano wa Tanzania (Zanzibar ikiwa ndani yake).

· Mikoa ya Tanganyika (kwa mfano Mtwara, Kigoma, Tabora), michango yake kwa pato la taifa (GDP) ni mikubwa kuliko ya zanzibar lakini bado Zanzibar wanavuna zaidi katika fedha za maendeleo kuliko mikoa hii. Kwa mfano, hapo juu tunaona kwamba mchango wa pato la taifa kutoka mkoa wa Tabora ni (shillingi 1.2 trilion), Mtwara (927 billion shillings), Kigoma (900 billion shillingi) huku Zanzibar ikiwa ni about 850 billion shillings. Pamoja na haya, badi katika kipindi husika, Zanzibar walipewa karibia $60 million dollars kama fedha za maendeleo kutoka nje (90% zililipiwa na wananchi wa mtwara na sehemu nyingine za Tanganyika), huku mtwara katika kipindi hicho ikiambuliwa kiasi kisichozidi $2 million, Kigoma kama $300,000, mtwara sio zaidi ya $2 million. Tukichukua jumla ya fedha za maendeleo kwa mikoa hii mitatu, fedha hizi hazivuki $5,000,000. Kwa maana nyingine, katika kipindi husika, mtwara, kigoma na tabora fedha za nje kwa ajili ya miradi ya maendeleo zilikuwa ni chini ya 10% ya fedha hizi kwa upande wa Zanzibar!.
· Haya yote yanatokea licha ya the fact kwamba Zanzibar wanayo higher per capita income kuliko mikoa hii miwili, meaning poverty ni kubwa zaidi kuliko Zanzibar.

Uzi wangu wa gharama za serikali mbili utakuja na analysis zaidi, lakini kwa sasa nadhani tayari tunapata picha juu ya nini kinaendelea.

Kuna suala linguine ambalo ningependa pia kulijadili. Miezi kadhaa iliyopita, tulisikia jinsi gani makada wengi wa CCM walivyokuwa wakiwavunjia heshima tume ya kina jaji warioba, kwa mfano kwamba mapendekezo ya rasimu yatamwongezea mwananchi gharama kutokana na uwepo wa marais watatu. Wakaelezwa kwamba sio lazima viongozi hawa waitwe marais, lakini bado wakaja na hoja kwamba hawa watakuwa ni viongozi wakuu wa serikali hivyo gharama zipo pale pale. Walicholenga kina mzee warioba ni kupunguza gharama kwa wananchi kutokana na utitiri wa viongozi uliopo chini ya serikali mbili ambapo kuna:

1. Rais wa Jamhuri ambae wala hana mamlaka kijamhuri.
2. Makamu wa Rais wa Jamhuri ambae hana kazi yoyote.
3. Waziri Mkuu wa Jamhuri ambae hana mamlaka ya kijamhuri.
4. Rais wa Zanzibar ambae sasa ana hadhi sawa na rais wa JMT kwa vile Zanzibar ni nchi, na katika mambo mengine, kuwa na hadhi zaidi ya rais wa jamhuri.
5. Makamu wa kwanza wa rais Zanzibar – cheo hiki kipo ‘to accommodate siasa za muungano kuliko uchumi wa muungano'.
6. Makamu wa pili wa rais Zanzibar – hiki cheo pia ni kwa ajili yaku accommodate zaidi siasa za muungano kuliko uchumi wa muungano.

Hawa ni viongozi sita wa kitaifa, tofauti na idadi ambayo tume ya warioba ilipendekeza.
Wengi tulisubiri kuona iwapo kweli kina Sitta Dodoma wangekujana mfumo ambao ungelenga kumpunguzia mwananchi gharama katika suala la viongozi wa kitaifa kama tulivyojadili hapo juu. Kinyume chake tunaona mwendelezo wa vituko na mazingaombwe. Huu ni ushindi mkubwa kwa Jaji Warioba na wananchi walio toa maoni yao kwa tume ya katiba. Hii ni kwa sababu, badala ya Sitta pale Dodoma kupunguzia wananchi mzigo, wameongeza mzigo huo kwa mependekezo kwamba kuwe na:

1. Rais wa JMT ambae wala hatujui atafanyaje kazi yake ndani ya jamhuri yenye nchi nyingine ya pembeni – Zanzibar. Badala ya kutatua tatizo hili, tusishangae CCM ikaamua kuongeza gharama zaidi kwa walipa kodi wa Tanganyika kwa kuunda tume za kutatua migongano ya marais.
2. Makamu wa kwanza wa rais – mgombea Mwenza – useless kabisa.
3. Makamu wa pili wa rais – rais wa Zanzibar ambae ana nchi yake ndani ya JMT;
4. Makamu wa tatu wa rais – ambaye pia ni waziri mkuu.
5. Makamu wa kwanza wa rais Zanzibar
6. Makamo wa pili wawili wa rais zanzibar.

Kina Samuel Sitta na Chenge wameleta katiba yenye viongozi wenye hadhi ya urais wapatao sita.

Sasa tuje kwenye gharama:

Hamad Rashid Mohamed ni mbunge mzanzibari. Katika mchango wake kwenye BLK mwezi aprili mwaka huu, alikanusha madai kwamba wazanzibari waliondoka kwenda Dodoma na msimamo wa serikali tatu. Hamad hakusema ukweli kwani kuna ushahidi kwamba sio BLW tu bali hata BLM nalo liliweka msimamo wa serikali tatu. Katika hoja zake za kupinga serikali tatu, Hamad Rashid alinukuliwa akisema haya:

"Leo Rais akisafiri anatumia sio chini ya shilling milioni mia tano, na mara nyingine hadi shilling bilioni moja. Hizi ni wakiwa madarakani tu, wakistaafu je?"

Hamad Rashid Akauliza:
"Viongozi hao wakistaafa watatu kwa pamoja itakuwaje? Huu ni mzigo mkubwa kubebesha wananchi".

Sote tunajua kwamba mishahara na posho za viongozi wa kitaifa hugharamiwa na Serikali ya muungano – Tanganyika iliyovaa koti la muungano. Swali letu ni je:

Baina ya rasimu ya tume ya Jaji Warioba na rasimu ya Chenge, rasimu ipi ni nafuu kwa walipa kodi wa Tanganyika katika suala la kugharamia viongozi wa kitaifa?

Tunaelezwa kwamba mshahara na posho kwa kiongozi kama waziri mkuu ni shillingi milioni 25 au zaidi kwa mwezi. Na tunajua kwamba hizi zinaenda mfukoni zote, hazilipi kodi. Na mbali ya hilo, waziri mkuu anahudumiwa na serikali kwa mambo yote ya ndani na nje ya nyumba yake, meaning katka shillingi milioni 25, hatoi hata shillingi kumlipa mtunza bustani. Chini ya rasimu ya CCM, waziri mkuu anaongezewa kofia ya umakamu wa rais, hivyo kuwa na hadhi ya ki-urais, na kwa maana hii, mshahara na mmarupurupu yake chini ya rasimu ya chnge lazima pia viongezeke.

Lakini tukiamua kutumia kiwango hiki hiki cha milioni 25 kwa mwezi kiwe ni mshahara na posho kwa viongozi wote wa kitaifa (Rais wa JMT, Makamu wa kwanza, makamu wa pili, makamu wa tatu, makamu wa kwanza Zanzibar na makamu wa pili zanzinar), maana yake ni kwamba chini ya rasimu ya change, watanganyika sasa watalipia mishahara na posho kwa viongozi hawa jumla ya shillingi - not less than 150 million kwa mwezi. Kwa mwaka mzima, sio chini ya shillingi 1.8 billion. Hapo hatujajumlisha matunzo yao ambayo hayagusi mishahara yao, na hatutajumlisha zile shillingi milioni mia tano hadi bilioni moja ambazo hugharamia safari za viongozi hawa (kwa mujibu wa Hamad Rashid). Nadhani hapa tunaona jinsi gani viongozi wanafanya wananchi wajinga. Hivi Hamad Rashid akihojiwa juu ya kauli yake ya mwezi aprili, atajibu nini?

Mniwie radhi kwa typing errors na makosa mengine madogo madogo, nitarudi kufafanua sehemu zote ambazo zitakuwa zimeleta utata. Vinginevyo hoja ya msingi inasimama.

Cc Barubaru, chama, MwanaDiwani, Gamba la Nyoka, Mwigulu Nchemba, Ezekiel Maige, humphrey chipolepole, dingswayo, Pasco, MTAZAMO, ZeMarcopolo, MJINI CHAI



Mchambuzi mpaka sasa naona kizunguzungu, mapendekezo yote ya tume ya Warioba kuhusu maadili na miiko ya uongozi yametupwa. I really wonder what does that mean, nadhani sasa tunataka kuhalalisha ufisadi hata kikatiba.

Suala la gharama limejadiliwa sana. Itakuwa jambo la maana kama zikikwekwa kwenye jedwali kama ulivyofanya hapo juu ili liwe wazi zaidi.

Mkuu Pona anasema kuwa tunachuki na Zanzibar, hapana sio suala la chuki, ila ni chuki dhidi ya mfumo mbaya wa muungano ambao ni mfumo nyonyaji.

Cc Barubaru, chama, MwanaDiwani, Gamba la Nyoka, Pona, Mwigulu Nchemba, Ezekiel Maige, humphrey chipolepole, dingswayo, Pasco, MTAZAMO, ZeMarcopolo, MJINI CHAI,
 
Mchambuzi mpaka sasa naona kizunguzungu, mapendekezo yote ya tume ya Warioba kuhusu maadili na miiko ya uongozi yametupwa. I really wonder what does that mean, nadhani sasa tunataka kuhalalisha ufisadi hata kikatiba.

Suala la gharama limejadiliwa sana. Itakuwa jambo la maana kama zikikwekwa kwenye jedwali kama ulivyofanya hapo juu ili liwe wazi zaidi.

Mkuu Pona anasema kuwa tunachuki na Zanzibar, hapana sio suala la chuki, ila ni chuki dhidi ya mfumo mbaya wa muungano ambao ni mfumo nyonyaji.

Cc Barubaru, chama, MwanaDiwani, Gamba la Nyoka, Pona, Mwigulu Nchemba, Ezekiel Maige, humphrey chipolepole, dingswayo, Pasco, MTAZAMO, ZeMarcopolo, MJINI CHAI,
Kwa kawaida ukiwekadata au kufanya analysis inayowagusa wazanzibar utaitwa una chuki.

Siyo huyo tu, ngoja Mkandara akurupuke huko alipo halafu asome, utasikia kauli zake

Ukisema znz ni mzigo lazima utapachikwa jina. Hata hivyotunashukuru sana wananchi wa Tanganyika wanaelewa sasa.

Wanaona jinsi Zanzibar inavyopora, inaiba na inabaka uchumi wa Tanganyika.
Swali ni kuwa tutegemee return gani ya maana kutoka znz


Kwanini tunawekeza kiasi hicho kwa kaeneo ambako hakanafaida leo au kesho.
Kwanini tunaumiza watu wetu wenye zigo la umasikini kwakuwaburudisha wazanzibar
 
Wakuu Nguruvi3, BONGlander, EMT

Kuhusiana na gharama za muungano, na jingi gani zinanufaisha Zanzibar kuliko Tanganyika:
Kwanza, tuangalie takwimu kwenye bajeti za Muungano na Zanzbiar.
Kwa mujibu wa Bajeti ya Zanzibar, kwa mwaka wa fedha 2013-14, vyanzo vya mapato ya Zanzibar kutoka nje vilikuwa kama ifuatavyo:

1. Ruzuku na mikopo kutoka nje kwa ajili ya program za maendeleo - shillingi Bilioni 235.
2. Misaada ya kibajeti, shillingi bilioni 40.

Hotuba ya waziri wa fedha wa Zanzibar inatamka wazi kwamba karibia 90% ya fedha hizi zinalipwa na watanganyika. Kwa maana hii, watanganyika kwa mwaka wa fedha uliopita walilipia karibia shillingi bilioni 250 kati ya karibia bilioni 280 kwa ajili ya maendeleo ya Zanzibar kupitia mkakati wa kukuza uchumi Zanzibar (MKUZA), kutimiza ndoto za wazanzibari yani - vision 2020 ya Zanzibar, at the expense of MKUKUTA ambayo ni ya kimuungano kuliko tanganyika na vision 2025 ambayo pia ni ya kimuungano kuliko Tanganyika.

Tukiangalia AID per capita, kwa kipindi husika (2013-2014), aid per capita zanzibar ilikuwa ni karibia shillingi 215,000. Je kwa upande wa Tanganyika, hali ipo vipi?

Tukiangalia kwa upande wa Muungano uliovaliwa koti na Tanganyika (ambako Zanzibar pia ni sehemu ya eneo hili), kwa mwaka wa fedha 2013-2014, jumla ya mikopo kutoka nje ilikuwa ni shillingi trilioni 2.4, na Aid per capita ikiwa ni kama shillingi 53,000. Kwa maana nyingine, AID per Capita kwa Zanzibar ni karibia mara nne kwa Tanganyika, AID ambayo ni mtanganyika ndio amekuwa akienyeshwa kwa karibia 90% with nothing in return.

Tuendelee kuangalia takwimu nyingine (Kobello, bado naendelea to compile takwimu mbalimbali kwa ajili ya gharama za serikali mbili). Soon nitaweka sources zangu.

Population
Ukubwa wa eneo (Square Kilometers)
Per Capita Income (shillingi)
Fedha za nje (Miradi ya maendeleo) (Dollars) FY 2011-2012)
Mchango wa Pato la Taifa (shillingi)
Zanzibar
1.3 million
2,650
1,000,000/=
$56.9 million
850 billion
Mtwara
1.3 million
16,710
700,000/=
$1.7 million
927 billion
Kigoma
2.1 million
37,040
500,000/=
$298,000 thousand
906 billion
Sindiga
1.4 million
49,340
480,000/=
$14.9 million
662 billion
Tabora
2.3 million
49,340
530,000/=
$2.5 million
1.2 trillion
Lindi
900,000
66,040
670,000/=
$1 million
622 billion

Ni suala lisilohitaji kutumia akili nyingi sana kubaini kwamba:

Mikoa niliyotaja hapo juu, mikio hii ya Tanganyika ni miongoni mwa mikoa masikini kuliko yote nchini. Kwa maana nyingine, mahitaji ya fedha za maendeleo katika mikoa hii ni makubwa kuliko maeneo mengine mengi sana ya Tanzania. Lakini cha ajabu ni wamba - ukiangalia fedha za nje kwa ajili maendeleo kwa mikoa hii mitano, jumla ya fedha hizi ni chini kidogo ya dollar milioni sita. Kiwango hiki ni sawa na karibia 10% tu ya jumla ya fedha zilizokwenda Zanzibar katika kipindi husika, kwa gharama za mtanganyika (rejea hotuba za waziri wa fedha wa zanziabar). Kwa maana nyingine nyepesi – mikoa masikini ya Tanganyika inatengewa fedha chache za maendeleo kuliko Zanzibar kwa ushahidi huu. And this is despite the fact that:

· Mikoa hii mitano ina jumla ya wakazi milioni nane. Idadi ya watu Zanzibar haifiki hata robo ya idadi ya watu wa mikoa hii – only 16%.

· Zanzibar wana eneo la ardhi ambalo ni only 1% of the total land size ya mikoa hii mitano ya Tanganyika.

· Zanzibar has a much higher per capita income kuliko mikoa hii, meaning kuna umaskini zaidi katika mikoa hii kuliko umaskini uliopo Zanzibar. Hata hivyo, wao wana MKUZA na DIRA yao 2020 ya kuwatoa kwenye umaskini kivyao (lakini kwa gharama za mtangtanyika) huku mtanganyika yeye akiwa na MKUKUTA na DIRA 2025 kama jamhuri ya muungano wa Tanzania (Zanzibar ikiwa ndani yake).

· Mikoa ya Tanganyika (kwa mfano Mtwara, Kigoma, Tabora), michango yake kwa pato la taifa (GDP) ni mikubwa kuliko ya zanzibar lakini bado Zanzibar wanavuna zaidi katika fedha za maendeleo kuliko mikoa hii. Kwa mfano, hapo juu tunaona kwamba mchango wa pato la taifa kutoka mkoa wa Tabora ni (shillingi 1.2 trilion), Mtwara (927 billion shillings), Kigoma (900 billion shillingi) huku Zanzibar ikiwa ni about 850 billion shillings. Pamoja na haya, badi katika kipindi husika, Zanzibar walipewa karibia $60 million dollars kama fedha za maendeleo kutoka nje (90% zililipiwa na wananchi wa mtwara na sehemu nyingine za Tanganyika), huku mtwara katika kipindi hicho ikiambuliwa kiasi kisichozidi $2 million, Kigoma kama $300,000, mtwara sio zaidi ya $2 million. Tukichukua jumla ya fedha za maendeleo kwa mikoa hii mitatu, fedha hizi hazivuki $5,000,000. Kwa maana nyingine, katika kipindi husika, mtwara, kigoma na tabora fedha za nje kwa ajili ya miradi ya maendeleo zilikuwa ni chini ya 10% ya fedha hizi kwa upande wa Zanzibar!.
· Haya yote yanatokea licha ya the fact kwamba Zanzibar wanayo higher per capita income kuliko mikoa hii miwili, meaning poverty ni kubwa zaidi kuliko Zanzibar.

Uzi wangu wa gharama za serikali mbili utakuja na analysis zaidi, lakini kwa sasa nadhani tayari tunapata picha juu ya nini kinaendelea.

Kuna suala linguine ambalo ningependa pia kulijadili. Miezi kadhaa iliyopita, tulisikia jinsi gani makada wengi wa CCM walivyokuwa wakiwavunjia heshima tume ya kina jaji warioba, kwa mfano kwamba mapendekezo ya rasimu yatamwongezea mwananchi gharama kutokana na uwepo wa marais watatu. Wakaelezwa kwamba sio lazima viongozi hawa waitwe marais, lakini bado wakaja na hoja kwamba hawa watakuwa ni viongozi wakuu wa serikali hivyo gharama zipo pale pale. Walicholenga kina mzee warioba ni kupunguza gharama kwa wananchi kutokana na utitiri wa viongozi uliopo chini ya serikali mbili ambapo kuna:

1. Rais wa Jamhuri ambae wala hana mamlaka kijamhuri.
2. Makamu wa Rais wa Jamhuri ambae hana kazi yoyote.
3. Waziri Mkuu wa Jamhuri ambae hana mamlaka ya kijamhuri.
4. Rais wa Zanzibar ambae sasa ana hadhi sawa na rais wa JMT kwa vile Zanzibar ni nchi, na katika mambo mengine, kuwa na hadhi zaidi ya rais wa jamhuri.
5. Makamu wa kwanza wa rais Zanzibar – cheo hiki kipo ‘to accommodate siasa za muungano kuliko uchumi wa muungano’.
6. Makamu wa pili wa rais Zanzibar – hiki cheo pia ni kwa ajili yaku accommodate zaidi siasa za muungano kuliko uchumi wa muungano.

Hawa ni viongozi sita wa kitaifa, tofauti na idadi ambayo tume ya warioba ilipendekeza.
Wengi tulisubiri kuona iwapo kweli kina Sitta Dodoma wangekujana mfumo ambao ungelenga kumpunguzia mwananchi gharama katika suala la viongozi wa kitaifa kama tulivyojadili hapo juu. Kinyume chake tunaona mwendelezo wa vituko na mazingaombwe. Huu ni ushindi mkubwa kwa Jaji Warioba na wananchi walio toa maoni yao kwa tume ya katiba. Hii ni kwa sababu, badala ya Sitta pale Dodoma kupunguzia wananchi mzigo, wameongeza mzigo huo kwa mependekezo kwamba kuwe na:

1. Rais wa JMT ambae wala hatujui atafanyaje kazi yake ndani ya jamhuri yenye nchi nyingine ya pembeni – Zanzibar. Badala ya kutatua tatizo hili, tusishangae CCM ikaamua kuongeza gharama zaidi kwa walipa kodi wa Tanganyika kwa kuunda tume za kutatua migongano ya marais.
2. Makamu wa kwanza wa rais – mgombea Mwenza – useless kabisa.
3. Makamu wa pili wa rais – rais wa Zanzibar ambae ana nchi yake ndani ya JMT;
4. Makamu wa tatu wa rais – ambaye pia ni waziri mkuu.
5. Makamu wa kwanza wa rais Zanzibar
6. Makamo wa pili wawili wa rais zanzibar.

Kina Samuel Sitta na Chenge wameleta katiba yenye viongozi wenye hadhi ya urais wapatao sita.

Sasa tuje kwenye gharama:

Hamad Rashid Mohamed ni mbunge mzanzibari. Katika mchango wake kwenye BLK mwezi aprili mwaka huu, alikanusha madai kwamba wazanzibari waliondoka kwenda Dodoma na msimamo wa serikali tatu. Hamad hakusema ukweli kwani kuna ushahidi kwamba sio BLW tu bali hata BLM nalo liliweka msimamo wa serikali tatu. Katika hoja zake za kupinga serikali tatu, Hamad Rashid alinukuliwa akisema haya:

“Leo Rais akisafiri anatumia sio chini ya shilling milioni mia tano, na mara nyingine hadi shilling bilioni moja. Hizi ni wakiwa madarakani tu, wakistaafu je?”

Hamad Rashid Akauliza:
“Viongozi hao wakistaafa watatu kwa pamoja itakuwaje? Huu ni mzigo mkubwa kubebesha wananchi”.

Sote tunajua kwamba mishahara na posho za viongozi wa kitaifa hugharamiwa na Serikali ya muungano – Tanganyika iliyovaa koti la muungano. Swali letu ni je:

Baina ya rasimu ya tume ya Jaji Warioba na rasimu ya Chenge, rasimu ipi ni nafuu kwa walipa kodi wa Tanganyika katika suala la kugharamia viongozi wa kitaifa?

Tunaelezwa kwamba mshahara na posho kwa kiongozi kama waziri mkuu ni shillingi milioni 25 au zaidi kwa mwezi. Na tunajua kwamba hizi zinaenda mfukoni zote, hazilipi kodi. Na mbali ya hilo, waziri mkuu anahudumiwa na serikali kwa mambo yote ya ndani na nje ya nyumba yake, meaning katka shillingi milioni 25, hatoi hata shillingi kumlipa mtunza bustani. Chini ya rasimu ya CCM, waziri mkuu anaongezewa kofia ya umakamu wa rais, hivyo kuwa na hadhi ya ki-urais, na kwa maana hii, mshahara na mmarupurupu yake chini ya rasimu ya chnge lazima pia viongezeke.

Lakini tukiamua kutumia kiwango hiki hiki cha milioni 25 kwa mwezi kiwe ni mshahara na posho kwa viongozi wote wa kitaifa (Rais wa JMT, Makamu wa kwanza, makamu wa pili, makamu wa tatu, makamu wa kwanza Zanzibar na makamu wa pili zanzinar), maana yake ni kwamba chini ya rasimu ya change, watanganyika sasa watalipia mishahara na posho kwa viongozi hawa jumla ya shillingi - not less than 150 million kwa mwezi. Kwa mwaka mzima, sio chini ya shillingi 1.8 billion. Hapo hatujajumlisha matunzo yao ambayo hayagusi mishahara yao, na hatutajumlisha zile shillingi milioni mia tano hadi bilioni moja ambazo hugharamia safari za viongozi hawa (kwa mujibu wa Hamad Rashid). Nadhani hapa tunaona jinsi gani viongozi wanafanya wananchi wajinga. Hivi Hamad Rashid akihojiwa juu ya kauli yake ya mwezi aprili, atajibu nini?

Mniwie radhi kwa typing errors na makosa mengine madogo madogo, nitarudi kufafanua sehemu zote ambazo zitakuwa zimeleta utata. Vinginevyo hoja ya msingi inasimama.

Cc Barubaru, chama, MwanaDiwani, Gamba la Nyoka, Mwigulu Nchemba, Ezekiel Maige, humphrey chipolepole, dingswayo, Pasco, MTAZAMO, ZeMarcopolo, MJINI CHAI[MATETa]


Hizi takwimu ulizotoe labda uliandaliwa na wazungu wa unga a.k.a MATEJA

Kuhusu hayo uliyasema eti ni kwa mujibu Wa waziri wa fedha wa Zanzibar ingelikuwa vyema ukadondosha ushahidi hapa vyenginevyo huyo waziri uliemsikia labda mulikaa chemba akakwambia.

Nilisema kabla kuwa kawaida ya watanganyika ni kuropoka tena wanaropoka uongo ambao hata nukta ya ukweli huo

Chuki zenu kwa Zanzibar na wazanzibar zitawafanya mufe huku mnajiona maana mtaikuta Zanzibar na wazanzibar wanasonge mbele.

Hii hapa hotuba ya waziri wa fedha wa zanzibar ya bajeti ya mwaka 2014/ 2015 halafu utuonyeshe hiyo asilimia 90% ya bajeti ya Zanzibar inatoka bara.

Wenyewe njaa zimewajaa hadi kwenye masikio hivyo mnahitaji kusaidiwa leo halafu.

Nyinyi ni njaa kali ambao mnaitegemea Zanzibar muwadhulumu ili mpate alau mlo mmoja, na tokea lini kwenye njaa akamsaidia MTU.

Kiufupi Tanganyika haina uwezo wowote Wa kuisaidia Zanzibar, ila Zanzibar ina uwezo Wa kuisaidia Tanganyika na tayari imeshafanya hivyo wakati wa nyerere! Njaa zilipowazidi watanganyika alimtuma Amir Jamal kwenda Zanzibar kuomba na kwa kuwa wazanzibar ni waungwana sio washenzi walimsaidai na wamepiga kimya mpaka Leo.



http://www.zanzibarassembly.go.tz/budget/2014/ministerial/HOTUBA-WIZARA-FEDHA-2014.pdf
 
Last edited by a moderator:
Pona,

#134 :
Umeisoma kweli bajeti ya Zanzibar? Kama unaona uvivu kupitia yote, Kama unayo in adobe doc, just search ndani ya doc - "mikopo ya nje", na pia search "serikali ya muungano", utakutana na nayosema. Na kuhusu takwimu za development funds, Nina documents kadhaa ambazo nimefanya kazi ya to compile data mbalimbali, documents hizi pia Zipo hata google, nikitulia nitaweka sources.

Vinginevyo acha kuishi in utopian, fanya utafiti.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Kwa kawaida ukiwekadata au kufanya analysis inayowagusa wazanzibar utaitwa una chuki.

Siyo huyo tu, ngoja Mkandara akurupuke huko alipo halafu asome, utasikia kauli zake

Ukisema znz ni mzigo lazima utapachikwa jina. Hata hivyotunashukuru sana wananchi wa Tanganyika wanaelewa sasa.

Wanaona jinsi Zanzibar inavyopora, inaiba na inabaka uchumi wa Tanganyika.
Swali ni kuwa tutegemee return gani ya maana kutoka znz


Kwanini tunawekeza kiasi hicho kwa kaeneo ambako hakanafaida leo au kesho.
Kwanini tunaumiza watu wetu wenye zigo la umasikini kwakuwaburudisha wazanzibar


Nyinyi siku zote hamna hoja yenye mashiko maana kwanza mnachokisema hamkijui asilani abadani.

Nyinyi kama kweli vidume mngalitoa hoja na ushahidi ambao ungeuvunja ushahidi wa mwanasheria mkuu wa zanzibar na Ismail jussa niliouposti hapa kwa njia ya video.

Badala take mnakuja na uongo mwengine ambao hata nguo hauna eti mnasema ni hotuba ya waziri Wa fedha wa Zanzibar ya bajeti

Sasa hii hapa ndio hutuba halisi ya waziri Wa fedha wa Zanzibar iangalieni halafu mlinganishe na huo UHARO WA KIBUKU japo juu, utakuta hata nukta ya kufanana haina, MSIDHIHIRISHE CHUKI ZENU MLIZONAZO MOYONI maana mwisho wake ni aibu na kuadhirika.

http://www.zanzibarassembly.go.tz/budget/2014/ministerial/HOTUBA-WIZARA-FEDHA-2014.pdf
 
Pona,

#134 :
Umeisoma kweli bajeti ya Zanzibar? Kama unaona uvivu kupitia yote, Kama unayo in adobe doc, just search ndani ya doc - "mikopo ya nje", na pia search "serikali ya muungano", utakutana na nayosema. Na kuhusu takwimu za development funds, Nina documents kadhaa ambazo nimefanya kazi ya to compile data mbalimbali, documents hizi pia Zipo hata google, nikitulia nitaweka sources.

Vinginevyo acha kuishi in utopian, fanya utafiti.


Sent from my iPhone using JamiiForums

Ushahidi niutoe mimi halafu uniulize unauelewa! Hizo kweli akili!? Unatakiwa wewe ufungue na usikilize video mbili nilizozipost kabla na baadae ufungue hiyo PDF ndio baadae urudi kwa utumbo wako uliouposti halafu ufikirie ninani anamtegemea mwenzake Kati ya Zanzibar na Tanganyika. Kumbuka dunia ya sasa sio dunia ya nyerere ya kulala na kuota ndoto baadae ukaifanya hotuba huku ukijua umeona kupitia TV
 
Last edited by a moderator:
Ushahidi niutoe mimi halafu uniulize unauelewa! Hizo kweli akili!? Unatakiwa wewe ufungue na usikilize video mbili nilizozipost kabla na baadae ufungue hiyo PDF ndio baadae urudi kwa utumbo wako uliouposti halafu ufikirie ninani anamtegemea mwenzake Kati ya Zanzibar na Tanganyika. Kumbuka dunia ya sasa sio dunia ya nyerere ya kulala na kuota ndoto baadae ukaifanya hotuba huku ukijua umeona kupitia TV

Facts:

1. Almost 90% ya fedha kutoka nje kwenda Zanzibar kwa ajili ya kusaidia bajeti zake zinadhaminiwa na Tanganyika, Tena bure Kabisa, nothing in return. Kwani hata huo utanzania ambao mtanganyika ameamua kushiriki ikijenga na kuachana na utanganyika tangia 1964, mzanzibari Wala Hana habari nao isipokuwa pale anapo hitaji faida za kiuchumi, ulinzi na usalama. Mzanzibari anaweka Mbele utaifa wa Zanzibar kwanza Kabla ya utaifa wa TANZANIA huku mtanganyika akiambiwa Kwamba kufanya hivyo kwake ni uhaini.

2. Zanzibar hajawahi kumpa faida Zozote mtanganyika kiuchumi kwa miaka 50. Mara baada ya muungano, iligundulika Kwamba Zanzibar Hana uwezo wa kuchangia gharama za muungano kwani Mapato yake yalikuwa ni excise duty za karafuu tu. Uamuzi ukawa - 75% ya Mapato ya Tanganyika yageuzwe kuwa ni ya muungano ili Zanzibar apate faida za kiuchumi, ulinzi na usalama. Kodi hizi ni zile kwa makampuni na Watu binafsi, ushuru wa forodha na ushuru wa bidhaa. Je unaweZa kutuambia mwaka 1964 Zanzibar alikuwa na vyanzo gani vya kodi?

Kwenye mijadala mingine tumejadili kwa kina:

1. Vyanzo vya Mapato ya muungano kwa Mujibu wa katiba ya JMT 1977. Hatukuona mzanzibari Anachangia vipi na kwa Mapato yepi kwa miaka 30 sasa.

2. Tulijadili jinsi gani Zanzibar iliacha kuchangia mwaka 1984.

3. Tumeainisha Mapato na matumizi ya serikali ya mapinduzi ya Zanzibar na hakuna sehemu tunaona Zanzibar wakichangia muungano au kulipa the 88% ya fedha za watanganyika kwa ajili ya kuendesha Mambo Yao yasiyo husu watanganyika.

4. Tumeainisha Mapato na matumizi ya Tanganyika ambayo yalitakiwa yawe nje ya muungano na yawe kwa ajili ya maslahi ya watanganyika tu Kama ilivyo kwa Zanzibar na Mapato yake nje ya muungano, lakini Kama tulivyojadili, Mapato ya mtanganyika ni ya mtanzania (mzanzibari akiwepo ndani) huku Mapato ya wazanzibari yakiwa ni kwa ajili ya wazanzibari tu, chini ya ZRB.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom