Scotland: 'No vote' haina maana 'No change'

Scotland: 'No vote' haina maana 'No change'

Sio kweli Kwamba the 4.5% formula is JFC's brainchild.

JFC ilizaliwa 2003, Wakati formula ya 4.5% ilibuniwa na BOT mwaka 1993.

JFC iliundwa miaka kumi baadae (203) kwa nia moja tu:

Kushauri "serikali Mbili" juu ya uchangiaji wa Mapato na matumizi ya muungano, and fiscal relations baina ya pande Mbili kwa ujumla wake. Maswali kwako:

1. Swali la kwanza:
Kwanini JFC ilidandia formula ya BOT?

Tukumbuke Kwamba - Kwa upande wa Mapato, tangia mwaka 1994, dividend za BOT zimekuwa shared 95.5% kwa bara na 4.5% kwa Zanzibar na haya yalikuwa ni makubaliano ya miaka mitano tu. Cha ajabu ni Kwamba formula hii ambayo haina ushawishi wowote wa kiuchumi, Ikaendelea beyond miaka mitano, na miaka kumi baadae kuja kubebwa na JFC in a copy and paste fashion.

2. Swali la pili kwako:
Kazi ya JFC ni kutoa ushauri kwa serikali Mbili za muungano juu ya masuala ya Mapato, matumizi na uchangiaji. Tunauliza Tena na Tena, utaweza vipi kushauri serikali Mbili juu ya gharama za muungano huku serikali moja wapo (Tanganyika) ikiwa imevaa koti la muungano?

Nadhani Unafahamu Kwamba - tangia mwaka 2003, waziri viongozi upande wa Zanzibar na mawaziri wakuu upande wa JMT(Tanganyika) wameshindwa kutekeleza mapendekezo ya JFC kwa sababu ya kupishana kwenye suala moja tu - juu ya serikali ya Tanganyika ambayo ingesimama kivyake kama ambavyo serikali ya Zanzibar inavyosimama kivyake za kwenye masuala yasiyokuwa ya muungano.

Tusisitize Tena Kwamba hii formula ya 4.5% haijaletwa na JFC, Bali ulikuwa ni ubunifu wa BOT mwaka 1993, Tena ubunifu wa kisiasa, Enzi za Mfumo wa chama kimoja, na Enzi za political interference on taasisi nyeti Kama BOT na Ile ya kodi - Kabla ya kuzaliwa kwa TRA 1995/6. Moja ya sababu za kuundwa kwa TRA ilikuwa ni pamoja na kuondoa siasa kwenye suala la kodi na Mapato ya nchi!

Pamoja na formula hii kukosa economic justifications, balance of payments na general budget support yamefuata hii formula, with 4.5% ya budget support kwenda Zanzibar. Budget support loans pia zinafuata the same formula na hata baadhi ya projects support huku projects nyingine zikiwa negotiated na wizara ya fedha ya muungano na Ile ya Zanzibar, on the basis of their respective needs and priorities. Na Hapa tunarudi pale pale na swali letu lingine:

• Kwanini Zanzibar wana "needs and priorities" za Kwao na bado wapo Katika needs and priorities na watanganyika kwa koti la muungano?

Mmekosa majibu ya maswali ya Nguruvi3 juu ya justifications za 4.5% na 21%, na badala yake mnakuwa na political "roundabouts". Kama alivyodokeza nguruvi3, 4.5% ya pato la taifa Kama gawio kwa Zanzibar ni sawa na (63 trillion x .045%) ambayo ni sawa na 2.8 trilion shillings; Lakini Mapato ya Zanzibar kwa mwaka (tax and non tax based revenues) ni 400 billion shillings, na pato la taifa la Zanzibar ni karibia 900 billion shillings, sasa hii transfer of at least 2.8 trillions kwa Zanzibar ni based on what economic grounds?

Kwanini Zanzibar apate mgao Mara Saba ya Mapato yake kwa mwaka (tax and non tax revenues)?

Kwanini Zanzibar apate mgao zaidi ya Mara Tatu ya pato lake la taifa kwa mwaka (GDP)?

Mwisho kuhusu 21% ya Ajira za muungano kwenda Zanzibar. Jumla ya waajiriwa wa serikali ya JMT ni 340,000 (tusisahau Tanganyika imevaa koti la muungano). Katika hawa, 21% ni nafasi za wazanzibari, equivalent to about 92,000 employees.

Zipo wapi economic justifications??
Takwimu muhimu:

• Proportion ya wazanzibari (1.3 million) Katika total population ya JMT (44million) ni
Kama 3%.
•Watumishi wa Zanzibar kwenye serikali ya muungano, yani the 92,000 ni sawa na 7% (92,000/1,300,000) ya jumla ya wazanzibari wote (total population).

• Jumla ya watumishi Katika serikali ya muungano kutoka Zanzibar ni 21%, huku Katika 79% iliyobakia, pia wakiwepo.

Maswali:

• Kwanini proportion ya wazanzibari Katika utumishi wa serikali ya muungano (at least 7%) ni at least twice of the proportion ya idadi ya wakazi wa Zanzibar kwa total population ya Tanzania - yani 3% (1,300,000/44,000,000)?

Maswali yote haya yanalenga kutafuta economic justifications za 4.5% and 21%, pengine utatusaidia na majibu, baadhi yetu tumeshindwa kuelewa nini kinaendelea.

Cc Nguruvi3, Mag3, JokaKuu, Dingswayo, chama MwanaDiwani, Pasco, Bongolander.

Sent from my iPhone using JamiiForums

Mchambuzi nakushukuru sana kwa kutudondolea hizi takwimu. Member mwenzetu Kobello ambaye anaona tunaotilia viulizo muundo wa Muungano wa sasa tuna matatizo fulani, labda anaweza kutueleza hapa takwimu hizi zinaeleza nini.

Wakuu labda tukubali kuwa hatujui sababu ya muungano, tukubaliane tu kuwa tujaribu kutafuta sababu za CCM kung'ang'ania muungano wa namna hii, na muungano una manufaa gani. Kimahesabu naweza kusema kwa kili yangu fupi naona ni hasara kwa bara, au ni unyinyaji wa wazi. Lakini najua kabisa watu wenye akili timamu wanajua kabisa this is monkey business. But the question is, wanajua kuwa ni ujinga na wakati huo huo wanafanya kitu ambachi wanajua ni ujinga na sisi tunajua ni ujinga, labda kuna kikubwa zaidi ambacho hatukijui ambacho kinawafanya wafikie maamuzi ambayo simple logic na common sense inasema haifai.

Kama Nyerere alivyowahi kusema "mimi sio kuku, sitagi mayai lakini mayai mabovu nayajua".

Sisi si wanahisabati lakini hesabu mbovu tunaweza kuzijua. Nadhani kama make up ya wazanzibar kwenye muungani ni asilimia 3 mgao wa nafasi za ajira kwenye mambo ya muungano uwe asilimia 3 kwa 97? Kama hii haifai basi nufaika ya Zanzibar ilingane na asilimia ya mchango wake kwenye muungano. Zaidi ya hapo ni usanii tu.
 
Hujajibu swali, tunataka kama raia tuambiwe ni kigezo gani kimetumika. Nchi kama Uingereza tunajua wana formula, sasa hapa kwetu wanatumia nini.

Pili, sijui upo dunia gani. Juzi, gavana wa bank kuu kaitwa akiwa pamoja na katibu mkuu wa wizara ya fedha znz, katibu mkuu wizara ya fedha Tanzania. Ndulu kasema znz haina mchango katika muungano.

Hilo ndilo limepelekea Mh Ali Keissy kunusurika kutwangwa makonde na wznz. Tulidhani wangejibu kwa hoja, hawakufanya hivyo. Hadi leo hakuna mznz aliyesimama na kusema Ndulu kasema uongo.

Tatu, katika bajeti ya mwaka huu, waziri Saada kasema serikali inaangalia namna ya kuongeza kiwango cha 4.5. Hili lilikuwa katika kuwavuta wznz zaidi wakubaliane na S2. Sasa unaposema siyo siasa sijui kama una ufahamu wa aina yoyote.

Nne, tunachotaka kujua ni kuwa 4.5 inatoka wapi, katika income ya Tanganyika au katika GDP ya Tanzania.

Tano, tunauliza, katika ajira za muungano kwanini wznz wapewe 21 kama wao, halafu waruhusiwe kuwa katika kundi la 79%. Hivi hapo kuna mantiki gani.

Sitta, katika pato wanalopata znz ambalo ni kubwa zaidi ya mapato yao, ni hesabu gani inayowapa nafasi hiyo.

Saba, hivi kuna uhalali gani Mtanganyika kupitia TRA akusanye '' Trillion 60'' kwa mfano na znz wapewe 4.5 ambayo ni takirbani Trilioni2.4 mara nne ya bajeti yao. Hao wznz wamewekeza nini kiasi cha kulipwa bila mafao.

Nane, kwanini kama hoja ni misaada na mikopo, hiyo 4.5 isipigiwe hesabu kutoka hapo.

Hatutaki kubabaisha tunataka namba, hii habari ya JFC mabayo inampa mznz ajira katika eneo analosema soi muungano hatukubaliani nayo.

Na mwisho, JFC haikutoa 21%. Kiwango hicho kimeweka mwaka huu na JF ilishamaliza kazi miaka 10.
Wala si marejeo ni kitu kipya kabisa.

Tisa, tunataka kujua uhalali wa wznz kuzuia ajira SMZ na wao wapewe ajira katika maeneo yasiyo ya muungano. Ni kigezo gani kimetumika.

Wenzakeo wengi wamesema hawajui, wewe unayejua hebu tupe namba. Ukionyesha uahali wa znz kupata ajira zisizo za muungano, kupata 4.5% ya pato la Tanganyika tukijua wao hawana mchango wa iana yoyote, kwa maneno ya gavana.

Kumi, tuonyeshe katika bajeti ya znz mwaka huu, ni wapi kumuonyesha namna ya kulipia madeni yao ya ndani au ya nje.


Bongolander EMT Mchambuzi Kobello Happy Feet Mkandara JokaKuu Mag3


Mkuu Nguruvi haya maswali naona tuna haja ya kuulizana wenyewe huku bara. Nani alifikia uamuzi wa kutuingiza mkenge kiasi hicho na alitumia kigezo gani. Tunatakiwa kuwajibishana wenyewe kwenye ujinga huu. Wabara tunaumia kwa kulipia political fantancy ya baadhi ya wanasiasa.
 
Sio kweli Kwamba the 4.5% formula is JFC's brainchild.

JFC ilizaliwa 2003, Wakati formula ya 4.5% ilibuniwa na BOT mwaka 1993.

JFC iliundwa miaka kumi baadae (203) kwa nia moja tu:

Kushauri "serikali Mbili" juu ya uchangiaji wa Mapato na matumizi ya muungano, and fiscal relations baina ya pande Mbili kwa ujumla wake. Maswali kwako:

1. Swali la kwanza:
Kwanini JFC ilidandia formula ya BOT?

Tukumbuke Kwamba - Kwa upande wa Mapato, tangia mwaka 1994, dividend za BOT zimekuwa shared 95.5% kwa bara na 4.5% kwa Zanzibar na haya yalikuwa ni makubaliano ya miaka mitano tu. Cha ajabu ni Kwamba formula hii ambayo haina ushawishi wowote wa kiuchumi, Ikaendelea beyond miaka mitano, na miaka kumi baadae kuja kubebwa na JFC in a copy and paste fashion.

2. Swali la pili kwako:
Kazi ya JFC ni kutoa ushauri kwa serikali Mbili za muungano juu ya masuala ya Mapato, matumizi na uchangiaji. Tunauliza Tena na Tena, utaweza vipi kushauri serikali Mbili juu ya gharama za muungano huku serikali moja wapo (Tanganyika) ikiwa imevaa koti la muungano?

Nadhani Unafahamu Kwamba - tangia mwaka 2003, waziri viongozi upande wa Zanzibar na mawaziri wakuu upande wa JMT(Tanganyika) wameshindwa kutekeleza mapendekezo ya JFC kwa sababu ya kupishana kwenye suala moja tu - juu ya serikali ya Tanganyika ambayo ingesimama kivyake kama ambavyo serikali ya Zanzibar inavyosimama kivyake za kwenye masuala yasiyokuwa ya muungano.

Tusisitize Tena Kwamba hii formula ya 4.5% haijaletwa na JFC, Bali ulikuwa ni ubunifu wa BOT mwaka 1993, Tena ubunifu wa kisiasa, Enzi za Mfumo wa chama kimoja, na Enzi za political interference on taasisi nyeti Kama BOT na Ile ya kodi - Kabla ya kuzaliwa kwa TRA 1995/6. Moja ya sababu za kuundwa kwa TRA ilikuwa ni pamoja na kuondoa siasa kwenye suala la kodi na Mapato ya nchi!

Pamoja na formula hii kukosa economic justifications, balance of payments na general budget support yamefuata hii formula, with 4.5% ya budget support kwenda Zanzibar. Budget support loans pia zinafuata the same formula na hata baadhi ya projects support huku projects nyingine zikiwa negotiated na wizara ya fedha ya muungano na Ile ya Zanzibar, on the basis of their respective needs and priorities. Na Hapa tunarudi pale pale na swali letu lingine:

• Kwanini Zanzibar wana "needs and priorities" za Kwao na bado wapo Katika needs and priorities na watanganyika kwa koti la muungano?

Mmekosa majibu ya maswali ya Nguruvi3 juu ya justifications za 4.5% na 21%, na badala yake mnakuwa na political "roundabouts". Kama alivyodokeza nguruvi3, 4.5% ya pato la taifa Kama gawio kwa Zanzibar ni sawa na (63 trillion x .045%) ambayo ni sawa na 2.8 trilion shillings; Lakini Mapato ya Zanzibar kwa mwaka (tax and non tax based revenues) ni 400 billion shillings, na pato la taifa la Zanzibar ni karibia 900 billion shillings, sasa hii transfer of at least 2.8 trillions kwa Zanzibar ni based on what economic grounds?

Kwanini Zanzibar apate mgao Mara Saba ya Mapato yake kwa mwaka (tax and non tax revenues)?

Kwanini Zanzibar apate mgao zaidi ya Mara Tatu ya pato lake la taifa kwa mwaka (GDP)?

Mwisho kuhusu 21% ya Ajira za muungano kwenda Zanzibar. Jumla ya waajiriwa wa serikali ya JMT ni 340,000 (tusisahau Tanganyika imevaa koti la muungano). Katika hawa, 21% ni nafasi za wazanzibari, equivalent to about 92,000 employees.

Zipo wapi economic justifications??
Takwimu muhimu:

• Proportion ya wazanzibari (1.3 million) Katika total population ya JMT (44million) ni
Kama 3%.
•Watumishi wa Zanzibar kwenye serikali ya muungano, yani the 92,000 ni sawa na 7% (92,000/1,300,000) ya jumla ya wazanzibari wote (total population).

• Jumla ya watumishi Katika serikali ya muungano kutoka Zanzibar ni 21%, huku Katika 79% iliyobakia, pia wakiwepo.

Maswali:

• Kwanini proportion ya wazanzibari Katika utumishi wa serikali ya muungano (at least 7%) ni at least twice of the proportion ya idadi ya wakazi wa Zanzibar kwa total population ya Tanzania - yani 3% (1,300,000/44,000,000)?

Maswali yote haya yanalenga kutafuta economic justifications za 4.5% and 21%, pengine utatusaidia na majibu, baadhi yetu tumeshindwa kuelewa nini kinaendelea.

Cc Nguruvi3, Mag3, JokaKuu, Dingswayo, chama MwanaDiwani, Pasco, Bongolander.
Watanganyika mnayaona haya?
Sisi tukiuliza tunaambiwa tunachuki. Je, hapa ambapo namba zimezungumza mtasemaje?

Nikisoma ufafanuzi wa Mchambuzi, Napata picha moja kubwa.
Kwamba mzanzibar mwenye sifa hatakosa kazi labda atake.


92,000 kwa population ya 1.2M wakiwemo watoto ni sehemukubwa sana.
Tena wana raha nyingine ya kuchukua zile za 79% za Watanganyika.

Kwamba, mznz aliyekosa 21% bado ana nafasi katika 79% ya Watanganyika kwa jinala Watanzania.


Yote haya hayakujulikana kwasababu wznz walikuwa wazuri sanawa kuzusha uongo na umbea kuwa wanaonewa. Hivi katika hali hii kuonewa kupowapi? Nani anayeonewa, Mtanganyika au mzanzibar?
Na kila tunavyosonga mbele maswali yanazidi kuongezeka.

Hilini swali la tatu. Naomba mtu aje hapa atupe justifications kwanini wazanzibarwanaosoma elimu ya juu wanasoma bure na kwanini Watanganyika walipe mikopo?


b) Kwanini wazanzibar wanaodhaminiwa na SMZ wanarudishamikopo, lakini wale wanaodhaminiwa na JMT hawarudishi mikopo?
Niweke sawa

  1. Kuna uhalali gani wa znz kupewa 4.5% ikiwa mudaulikuwa miaka 5 tu.
    (b) Kuna hesabu gani zilizotumika kufikia 4.5 ya pato laTanganyika?
  2. Asilimia 21 ya ajira zisizo za muungano, formulagani imetumika.
    (b) Kwanini mzanzibar apewe nafasi halmashauri ya mji, jiji aumanispaa.

    Kwanini aajiriwe wizara ya kilimo, Afya, miundo mbinu, bandari, TBSna eneo linguine lisilo la muungano tena akipewa 21% halafu ubwete wa 79%

  3. Kwanini wznz wanaodhaminiwa na JMT hawarudishimikopo kama wenzao wa Tanganyika.
    (b) Kwanini wznz wanaodhaminiwa na SMZwarudishe mikopo na si kwa JMT


    Hapa Watanganyika wafunguke macho.Tutakapo waambia kuwa wizara ya ulinzi inayokula trilioni moja, wizara ya mambo yandani trilioni moja na wizara ya mambo ya nje nusu trilioni ni mzigo waowenyewe, sijui tutaambiwa tunachuki au vipi.


    Katika muundo wa S2, Watanganyika mtaendeleakulipa kodi kwa ajili ya nchi jirani ya znz.
    Na wznz wataendelea kuleta madaiyao kila uchao kwasababu ninyi Watanganyika mumekubali kuwa shamba la bibi.

    Mnawekeza mahali msipotarajia kupata dividend hata siku moja.
    Si walisikia kunamadebe 57 ya mafuta wakakimbia kuondoa!


    Njia wanayotumia ni rahisi sana. Wznwanakuja na invoice hazina wakiwa na jina la Tanzania. Wakishapata chequewanarudi znz kwa jina la Uzanzibar na si Tanzania.
    Hiyo Tanzania ni yenuWtanganyika na bill zenu
    Mwigulu Nchemba Nape Nnauye Mkandara Happy Feet EMT Bongonder Alinda gfsonwin Ritz zumbemkuu Ngongo
 
Mkuu Nguruvi haya maswali naona tuna haja ya kuulizana wenyewe huku bara. Nani alifikia uamuzi wa kutuingiza mkenge kiasi hicho na alitumia kigezo gani. Tunatakiwa kuwajibishana wenyewe kwenye ujinga huu. Wabara tunaumia kwa kulipia political fantancy ya baadhi ya wanasiasa.
Mkuu , ni kweli kabisa.
Ukiangalia wazanzibar wanatumia udhaifu wa viongozi wetu vema sana.
Kwanza walijenga mazingira ya znz kuonekana ni sehemu muhimu sana na hivyo kila walipodai walipewa.

Pili, wakajenga mazingira kuwa wanaonewa, kila wakidai wanapewa.
Yote hayo yamedhihirika pasi na shaka kuwa znz si muhimu, haionewi na ni mzigo mkubwa tu

Viongozi wetu hata sijui wanafikiri nini.
Mfano, aliyetoa 21% waliojipangia wznz ni Kikwete.Aliyetoa 4.5% kwa miaka 5 ni Mkapa.
Yote wazanzibar wameyageuza kama haki yao.

Mfano, mznz anafungu maalumu katika kupata pesa za bure za elimu ya juu.
Hawagombei kama Watanganyika, hivyo mznz mwenye division 4 ya znz anapata pesa za elimu ya juu ili kujaza nafasi walizotengewa.Huku Tanganyika, watoto wa walipa kodi wenye divi 2 au 3 wanakosa mikopo.Imagnie mikopo.

SMZ inadhamini wanafunzi 800 ambao lazima warudhishe mikopo kabla ya kwenda kusoma zaidi.

JMT ambayo ni Tanganyika, wanadhamini wazanzibar 1,700 wanaopewa pesa za buree za Mtanganyika.

Huko kwao SMZ inaona uchungu lazima hao 800 warudishe mikopo.
Wakivuka bahari ni ubwete tu , ndio maana miongoni mwa hao 1,700 wanakuja hata div dah! kwasababu wznbz hawana hasara. Wanaleta tu

Anayeidhinisha pesa hizo za buree kwa wznz na mikopo kwa walipa kodi wa Tanganyika ni hawa akina Mwigulu Nchemba wanaodai ni watoto wa wafugaji, wana uchungu.
Uchungu upi ikiwa mnaandika cheque za bure kwenda nchi jirani ya Zanzibar.
Uchungu gani ikiwa hamuoni uchungu na pesa zinazotiririka kwenda znz bila formula.

Hivyo tatizo ni viongozi wa bara ambao wameridhika kuwa znz wapate wanachotaka tena kama haki yao.

Leo ajira 21% wamegeuza ni haki yao. 4.5% wamegeuza ni haki yao.
Elimu ya juu nafasi 1,700 zizsizo na gharama wamegeuza ni haki yao.

Haki wasiotaka kuisikia masikioni ni kuchangia muungano au kuwajibika katika muungano. Hiyo wazanzibar hawataki.

Wa kulaumiwa hapa si wznz , ni watanganyika waliokubali kulipa kodi kwa ajili ya nchi jirani ya znz.

Tukindelea na mfumo wa S2. wao watatumia jina kuja kupora kila siku.
Ni lazima Watanganyika waamke, waone haya! si madogo.

Yaani pesa zinazokwenda znz peke yake zinatosha kabisa kuhudumia wizara ya ulinzi ya Tanganyika kwa mwaka 1 bila msaada au mkopo. Hizo zinatiririka kwenda nchi jirani ya znz wakitoa misamaha ya kodi, wakilala bila kukusanya kodi. Mjomba Tanganyika atalipa bill.

Nakubaliana nawe, Watanganyika lazima waone haya! Hatuwezi kuendelea kuwa na kataifa ndani ya taifa kenye kuchukua rasilimali bila kuwajibika. Hatuwezi kuwekeza mahali pasipo na manufaa hata siku moja.

Watanganyika mnayaona haya?
 
Ndugu yangu, nimeuliza swali Happy feet hana jibu na wewe huna jibu.

Hapa hakuna manyng'uniko, ni kuwaeleza Watanganyika nini kinatokea katika muungano.

Mfano, Watanganyika hawafahamu kuwa waliokuja kutengeneza formula ya 21% ni wazanzibar. Makamu wa rais JMT(Mzanzibar), waziri wa fedha wa SMZ(Mzanzibar), Makamu wa pili wa Rais SMZ(Mzanzibar), waziri wa fedha(mzanzibar). waziri muungano(mzanzibar) na waziri wa mkuu wa JMT(si wa Tanganyika)

.Nitakusaidia hapa kuwa waliotengeneza formula hiyo sio wanasiasa BALI NI WATAALAMU WALIOCHAGULIWA NA KILA UPANDE NA KUUNDA TUME YA PAMOJA YA UCHUMI NA FEDHWA( JOINT FINANCE COMMISSION JFC) IKIWA PAMOJA NA WASHAURI WA MASUALA YA KIUCHUMI KUTOKA NJE nao kwa pamoja walipitia mifumo yote ya uchumi wa nchi hizo mbili yaani Znz na Tgk na kuja na formula hizo.

Wamekaa na kumua 21% ya ajira zote ziwe za wznz. Halafu zile 79% ni za Tanzania, wazanzibar wakiwemo.

Watanganyika, kinachoendelea kwa mfano rahisi ni hiki. Katika ajira 100 za wizara ya Afya, wznz wana nafasi 21.
Katika zile 79 zilizobaki wazanzibar wana haki pia kama Watanzania kuwania. Kwa maneno mengine wao wana zao maalumu, halafu wanakuja kuchukua pia zisizowahusu katika maeneo yasiyowahusu na wanayolalamikia kuwa si ya Muungano.
nitakusaidia tena hapa. Wizara ya AFYA SIO CHOMBO CHA MUUNGANO. WAZIRI WA FYA WA TGK NI DR SEIF NA WAZIRI WA AFYA ZNZ NI MH JUMA DUNI HAJI.

Lakini pia muelewe kuwa katika asilimia 21 waliotengewa, ni wale mliosoma nao wakiwa hawana deni la mkopo nanyi mna deni. Halafu wanakuja kuwabana katika asilimia 79 wakiwa hawana mkopo ninyi mkiandikiwa barua za kurudisha mikopo.

Na swali lingine la ziada ni kuwa kama wazanzibar wanaruhusiwa kuwa na asilimia 21, ni mkoa gani mwingine tunaoujua una sehemu ya ajira kama znz? Ni mkoa gani umepewa nafasi alau 1% ya ajira za Tanzania.
Kama sote ni wa Tanzania, kwanini wazanzibar waonekane 'watanzania zaidi'' huku wao wenyewe wakiwa hawautaki Utanzania?
ZNZ NI NCHI KAMILI KABISA INA BUNGE LAKE (BLW) INA SERIKALI YAKE (SUK) NA INA MAHAKAMA YAKE CHINI TA RAIS NA BARAZA ZIMA LA MAWAZIRI NA WAKUU WAKE WA MIKOA. Labda unidadavulie ni mkoa gani huko TGk wenye rais na serikali kamili yenye wizara na mawaziri na ikiwa na mahakama yake huru na bunge lake ili kama imetimiza vigezo hivyo nayo tuipaishe iwe nchi kama Znz?

Fikiria

Nafikiri nimekukata kiu ya manung'uniko yako kwa ku RED majibu yangu.

Je una ziada? basi Bismillah

 
Hujajibu swali, tunataka kama raia tuambiwe ni kigezo gani kimetumika. Nchi kama Uingereza tunajua wana formula, sasa hapa kwetu wanatumia nini.

Uambiwe vipi tena badala ya wewe mwenyewe kutafuta. Lakin afisi za JFC zipo sukari haose au pitia tovuti yao uangalie ripoti zao utajifunza mengi sana. tembelea ahata afisi zao pale sukari house dar ukajifunze zaidi

Pili, sijui upo dunia gani. Juzi, gavana wa bank kuu kaitwa akiwa pamoja na katibu mkuu wa wizara ya fedha znz, katibu mkuu wizara ya fedha Tanzania. Ndulu kasema znz haina mchango katika muungano.

Nafikiri ulitakiwa umuulize Prof Ndulu masuala mawili.
1. Je Znz alitakiwa kuchangia kiasi gani katika muungano?
2. Je Znz achangie mchango wake wa muungano katika account gani? na nani msimamizi wa hiyo account?


Hilo ndilo limepelekea Mh Ali Keissy kunusurika kutwangwa makonde na wznz. Tulidhani wangejibu kwa hoja, hawakufanya hivyo. Hadi leo hakuna mznz aliyesimama na kusema Ndulu kasema uongo.

Tarbia ya Kessy ni tarbia za waTGK wengi sana. Hata katika bunge la Katiba la Mh Sitta umemuona. Ameililia Tgk lakin mwisho katika kura ya maamuzi kakubali vifungu vyote katika katiba. nafikiri alitakiwa kuwa muwazi kama Mwanasharia mkuu wa Znz mh Othman. Ndulu na Kessy ni wale wale hawajui wanalolitenda bali kufata upepo tu.

Tatu, katika bajeti ya mwaka huu, waziri Saada kasema serikali inaangalia namna ya kuongeza kiwango cha 4.5. Hili lilikuwa katika kuwavuta wznz zaidi wakubaliane na S2. Sasa unaposema siyo siasa sijui kama una ufahamu wa aina yoyote.

Nne, tunachotaka kujua ni kuwa 4.5 inatoka wapi, katika income ya Tanganyika au katika GDP ya Tanzania.

Tano, tunauliza, katika ajira za muungano kwanini wznz wapewe 21 kama wao, halafu waruhusiwe kuwa katika kundi la 79%. Hivi hapo kuna mantiki gani.

Sitta, katika pato wanalopata znz ambalo ni kubwa zaidi ya mapato yao, ni hesabu gani inayowapa nafasi hiyo.

Saba, hivi kuna uhalali gani Mtanganyika kupitia TRA akusanye '' Trillion 60'' kwa mfano na znz wapewe 4.5 ambayo ni takirbani Trilioni2.4 mara nne ya bajeti yao. Hao wznz wamewekeza nini kiasi cha kulipwa bila mafao.

Nane, kwanini kama hoja ni misaada na mikopo, hiyo 4.5 isipigiwe hesabu kutoka hapo.

Hatutaki kubabaisha tunataka namba, hii habari ya JFC mabayo inampa mznz ajira katika eneo analosema soi muungano hatukubaliani nayo.

Na mwisho, JFC haikutoa 21%. Kiwango hicho kimeweka mwaka huu na JF ilishamaliza kazi miaka 10.
Wala si marejeo ni kitu kipya kabisa.


Tisa, tunataka kujua uhalali wa wznz kuzuia ajira SMZ na wao wapewe ajira katika maeneo yasiyo ya muungano. Ni kigezo gani kimetumika.

Wenzakeo wengi wamesema hawajui, wewe unayejua hebu tupe namba. Ukionyesha uahali wa znz kupata ajira zisizo za muungano, kupata 4.5% ya pato la Tanganyika tukijua wao hawana mchango wa iana yoyote, kwa maneno ya gavana.

Kumi, tuonyeshe katika bajeti ya znz mwaka huu, ni wapi kumuonyesha namna ya kulipia madeni yao ya ndani au ya nje.


Bongolander EMT Mchambuzi Kobello Happy Feet Mkandara JokaKuu Mag3

Kuhusu hili la JFC nilitaka kukusaidia sana kama ungebahatika kujibidiisha kidogo tu na kutafuta ripoti yao waliompa Rais kikwete kwa utekelezaji wa majukumu yao ambayo inapage zaidi ya 120 imesasambua mengi sana kwa wataalamu hao waliangalia nyanja zote za uchumi wa nchi hizo mbili mapato yake na matumizi yake lakin walikuja mpaka kuangalia stuffing nzima na uwiano wake na kuja na ripoti mahili sana AMBAYO SERIKALI YA JMTZ MPAKA LEO IMESHINDWA KUTEKELEZA IKIWAMO KUWAPA MAJUKUMU YAO KAMA WALIVYOPENDEKEZA.

Huu ni uwanja mfupi sana lakin ni vizuri tafuta hiyo ripoti uipitia utajifunza mengi na nadhani itakata kabisa manung'uniko yako
 
Sio kweli Kwamba the 4.5% formula is JFC's brainchild.

JFC ilizaliwa 2003, Wakati formula ya 4.5% ilibuniwa na BOT mwaka 1993.

JFC iliundwa miaka kumi baadae (203) kwa nia moja tu:

Kushauri "serikali Mbili" juu ya uchangiaji wa Mapato na matumizi ya muungano, and fiscal relations baina ya pande Mbili kwa ujumla wake. Maswali kwako:

1. Swali la kwanza:
Kwanini JFC ilidandia formula ya BOT?

Tukumbuke Kwamba - Kwa upande wa Mapato, tangia mwaka 1994, dividend za BOT zimekuwa shared 95.5% kwa bara na 4.5% kwa Zanzibar na haya yalikuwa ni makubaliano ya miaka mitano tu. Cha ajabu ni Kwamba formula hii ambayo haina ushawishi wowote wa kiuchumi, Ikaendelea beyond miaka mitano, na miaka kumi baadae kuja kubebwa na JFC in a copy and paste fashion.

2. Swali la pili kwako:
Kazi ya JFC ni kutoa ushauri kwa serikali Mbili za muungano juu ya masuala ya Mapato, matumizi na uchangiaji. Tunauliza Tena na Tena, utaweza vipi kushauri serikali Mbili juu ya gharama za muungano huku serikali moja wapo (Tanganyika) ikiwa imevaa koti la muungano?

Nadhani Unafahamu Kwamba - tangia mwaka 2003, waziri viongozi upande wa Zanzibar na mawaziri wakuu upande wa JMT(Tanganyika) wameshindwa kutekeleza mapendekezo ya JFC kwa sababu ya kupishana kwenye suala moja tu - juu ya serikali ya Tanganyika ambayo ingesimama kivyake kama ambavyo serikali ya Zanzibar inavyosimama kivyake za kwenye masuala yasiyokuwa ya muungano.

Tusisitize Tena Kwamba hii formula ya 4.5% haijaletwa na JFC, Bali ulikuwa ni ubunifu wa BOT mwaka 1993, Tena ubunifu wa kisiasa, Enzi za Mfumo wa chama kimoja, na Enzi za political interference on taasisi nyeti Kama BOT na Ile ya kodi - Kabla ya kuzaliwa kwa TRA 1995/6. Moja ya sababu za kuundwa kwa TRA ilikuwa ni pamoja na kuondoa siasa kwenye suala la kodi na Mapato ya nchi!

Pamoja na formula hii kukosa economic justifications, balance of payments na general budget support yamefuata hii formula, with 4.5% ya budget support kwenda Zanzibar. Budget support loans pia zinafuata the same formula na hata baadhi ya projects support huku projects nyingine zikiwa negotiated na wizara ya fedha ya muungano na Ile ya Zanzibar, on the basis of their respective needs and priorities. Na Hapa tunarudi pale pale na swali letu lingine:

• Kwanini Zanzibar wana "needs and priorities" za Kwao na bado wapo Katika needs and priorities na watanganyika kwa koti la muungano?

Mmekosa majibu ya maswali ya Nguruvi3 juu ya justifications za 4.5% na 21%, na badala yake mnakuwa na political "roundabouts". Kama alivyodokeza nguruvi3, 4.5% ya pato la taifa Kama gawio kwa Zanzibar ni sawa na (63 trillion x .045%) ambayo ni sawa na 2.8 trilion shillings; Lakini Mapato ya Zanzibar kwa mwaka (tax and non tax based revenues) ni 400 billion shillings, na pato la taifa la Zanzibar ni karibia 900 billion shillings, sasa hii transfer of at least 2.8 trillions kwa Zanzibar ni based on what economic grounds?

Kwanini Zanzibar apate mgao Mara Saba ya Mapato yake kwa mwaka (tax and non tax revenues)?

Kwanini Zanzibar apate mgao zaidi ya Mara Tatu ya pato lake la taifa kwa mwaka (GDP)?

Mwisho kuhusu 21% ya Ajira za muungano kwenda Zanzibar. Jumla ya waajiriwa wa serikali ya JMT ni 340,000 (tusisahau Tanganyika imevaa koti la muungano). Katika hawa, 21% ni nafasi za wazanzibari, equivalent to about 92,000 employees.

Zipo wapi economic justifications??
Takwimu muhimu:

• Proportion ya wazanzibari (1.3 million) Katika total population ya JMT (44million) ni
Kama 3%.
•Watumishi wa Zanzibar kwenye serikali ya muungano, yani the 92,000 ni sawa na 7% (92,000/1,300,000) ya jumla ya wazanzibari wote (total population).

• Jumla ya watumishi Katika serikali ya muungano kutoka Zanzibar ni 21%, huku Katika 79% iliyobakia, pia wakiwepo.

Maswali:

• Kwanini proportion ya wazanzibari Katika utumishi wa serikali ya muungano (at least 7%) ni at least twice of the proportion ya idadi ya wakazi wa Zanzibar kwa total population ya Tanzania - yani 3% (1,300,000/44,000,000)?

Maswali yote haya yanalenga kutafuta economic justifications za 4.5% and 21%, pengine utatusaidia na majibu, baadhi yetu tumeshindwa kuelewa nini kinaendelea.

Cc Nguruvi3, Mag3, JokaKuu, Dingswayo, chama MwanaDiwani, Pasco, Bongolander.




Sent from my iPhone using JamiiForums

Nafikiri unajua mengi kidogo kuhusu hii formula lakin unapenda tu na kutaka kuuficha ukweli.

Mimi nilitaka nikusaidie. Ukitaka kujua kwa kina zaidi hii 4.5% ilitokea wapi unatakiwa urudi nyuma sana na kuanza kuangalia kuanzishwa kwa BOT ma mchang wa kila nchi kwa maana ya share za kila nchi katika uanzishwaji wake.

Lakin pia kufa kwa Bank ya sarafu ya afrika mashariki na mgao wa share zake kwa nchi wanachama ambapo Znz alikuwa mwanachama na Tgk alikuwa mwanachama lakin share zote zikatumbukizwa katika BOT.

Wataalamu wa JFC hawakudandia hiyo formula kwani nao waliangalia kwa kina sana hizo share za kila nchi na nyanja nyingine za uchumi wa nchi hizo mbili na kubariki formula hiyo.

suala mbalo kila wakti unalikwepa.
KWANINI BUNGE LA JMTz LILIPITISHA SHARIA YA KUUNDWA KWA JFC na rais akaikubali itumike LAKIN MPAKA LEO SERIKALI YA JMTZ INASUASUA KUTEKELEZA SHARIA HIYO?

 
Nafikiri unajua mengi kidogo kuhusu hii formula lakin unapenda tu na kutaka kuuficha ukweli.

Mimi nilitaka nikusaidie. Ukitaka kujua kwa kina zaidi hii 4.5% ilitokea wapi unatakiwa urudi nyuma sana na kuanza kuangalia kuanzishwa kwa BOT ma mchang wa kila nchi kwa maana ya share za kila nchi katika uanzishwaji wake.

Lakin pia kufa kwa Bank ya sarafu ya afrika mashariki na mgao wa share zake kwa nchi wanachama ambapo Znz alikuwa mwanachama na Tgk alikuwa mwanachama lakin share zote zikatumbukizwa katika BOT.

Wataalamu wa JFC hawakudandia hiyo formula kwani nao waliangalia kwa kina sana hizo share za kila nchi na nyanja nyingine za uchumi wa nchi hizo mbili na kubariki formula hiyo.

suala mbalo kila wakti unalikwepa.
KWANINI BUNGE LA JMTz LILIPITISHA SHARIA YA KUUNDWA KWA JFC na rais akaikubali itumike LAKIN MPAKA LEO SERIKALI YA JMTZ INASUASUA KUTEKELEZA SHARIA HIYO?

Basically umekubaliana na hoja za Mchambuzi kuhusu kuanzishwa kwa BoT na JFC na majaukumu yao.
Hujajibu hoja bali kuleta hadithi.

Ahsante tumekusoma
 
Kuhusu hili la JFC nilitaka kukusaidia sana kama ungebahatika kujibidiisha kidogo tu na kutafuta ripoti yao waliompa Rais kikwete kwa utekelezaji wa majukumu yao ambayo inapage zaidi ya 120 imesasambua mengi sana kwa wataalamu hao waliangalia nyanja zote za uchumi wa nchi hizo mbili mapato yake na matumizi yake lakin walikuja mpaka kuangalia stuffing nzima na uwiano wake na kuja na ripoti mahili sana AMBAYO SERIKALI YA JMTZ MPAKA LEO IMESHINDWA KUTEKELEZA IKIWAMO KUWAPA MAJUKUMU YAO KAMA WALIVYOPENDEKEZA.

Huu ni uwanja mfupi sana lakin ni vizuri tafuta hiyo ripoti uipitia utajifunza mengi na nadhani itakata kabisa manung'uniko yako
Tunaendelea kuwaeleza Watanganyika wasichojua na ambacho sasa wanakijua vema sana.

Barubaru mapato ya znz ni bilioni 400 kwa mwaka. Ukifahamu hilo utakuwa umepata majibu mengi.
Huna hoja za formula afadhali Mkandara kajikaliia kimya.

Kwa taarifa yako, Watanganyika hawahitaji ku-vote kwasababu muungano uwepo usiwepo hawapotezi lolote.
Wanachopoteza sasa ni matumizi ya jina Tanzania kuhalalisha wizi. Hili ndilo wanatakiwa kulipiga vita kali sana.

Nimekuuliza swali rahisi sana la tatu
Kuna uhalali gani wznz wasome bure ndani ya JMT wakati walipa kodi wa Tanganyika wenye pesa zao wakisoma kwa mkopo.

Kuna uhalali gani wa SMZ kukusanya madeni ya mikopo kwa wanafunzi 800 inaowadhamini, huku wale 1,700 wakisoma bure ndani ya Tanganyika. Hili ni rahisi kwako

Kuhusu 21% na 4.5% hilo usijibu tena huba majibu. Period.
 
Tunaendelea kuwaeleza Watanganyika wasichojua na ambacho sasa wanakijua vema sana.

Barubaru mapato ya znz ni bilioni 400 kwa mwaka. Ukifahamu hilo utakuwa umepata majibu mengi.
Huna hoja za formula afadhali Mkandara kajikaliia kimya.

Kwa taarifa yako, Watanganyika hawahitaji ku-vote kwasababu muungano uwepo usiwepo hawapotezi lolote.
Wanachopoteza sasa ni matumizi ya jina Tanzania kuhalalisha wizi. Hili ndilo wanatakiwa kulipiga vita kali sana.

Nimekuuliza swali rahisi sana la tatu
Kuna uhalali gani wznz wasome bure ndani ya JMT wakati walipa kodi wa Tanganyika wenye pesa zao wakisoma kwa mkopo.

Kuna uhalali gani wa SMZ kukusanya madeni ya mikopo kwa wanafunzi 800 inaowadhamini, huku wale 1,700 wakisoma bure ndani ya Tanganyika. Hili ni rahisi kwako

Kuhusu 21% na 4.5% hilo usijibu tena huba majibu. Period.

Mkuu wangu umetumia lugha ya kidiplomasia lakini ukweli ni kwamba ukiangalia ukubwa wa Zanzibar na Idadi ya Wakaazi wa Zanzibar na hiyo 4.5% inayo daiwa pewa Zanzibar na ukalinganisha hali ya maendeleo ya Zanzibar,moja kwa moja unagundua Ufisadi wa kutisha kupitia ktk mradi huu wa CCM unaoitwa Muungano!
 
nguruvi 3 na Mchambuzi asanteni sana kwa darasa na naomba radhi kwa kutokuwepo kwa muda kidogo kazi zilibana kimtindo.

Binafsi mie niliwah kumwambia mtu JFC iliundwa kama njia ya kuwalamba wanzibar miguu, na ni ukweli usiopingika kwamba wakati wanaunda hili walihofia wazaznibar kujitoa kwenye muungano kwa kile wanachodai kwamba wanaonewa, lkn laabda turudi kule zaznnibar kwenyewe mbona jamani kati ya Unguja na Pemba kuna tofauti kubwa sana ya kiuchumi??

mmoja ni tajiri zaid kuliko mwingine kitu ambacho kimenifanya mie nione kama wanabaguana wenyewe tu wala sio siuo sisi watanganyika tunao wabagua.

sasa kwanza toka JFC iundwe haijawaha kufanyiwa marekebisho yenye tija na rais bado anahofia wazaznibar kana kwamba wao ndio watanzania pekee wenye nguvu hapa nchini.

ukija UDSM utajionea mwenyewe bodi ya mikopo inadai haiwez kukopesha wanafunzi wa uzamili na uzamivu lkn hapa udsm wapo wanaotokea zaznibar eti wanalipiwa na bodi af tena hawarudish sasa mtanganyika yeye hapewi kabisa hawa wazanzibar wanapewa na tunajua hayo, mbaya zaid huyu mtanganyika anatakiwa ajilipie ada ya uzamili/uzamivu huku bodi bado ina mfyeka alizokopeshwa. too sad kwakweli.

mie majuzi nilikuwa najadiliana na mtu, nilipata hasira kwa mambo niliyoyajua kuhusu zanzibar.
 
Last edited by a moderator:
Tunaendelea kuwaeleza Watanganyika wasichojua na ambacho sasa wanakijua vema sana.

.
Barubaru mapato ya znz ni bilioni 400 kwa mwaka. Ukifahamu hilo utakuwa umepata majibu mengi.
Huna hoja za formula afadhali Mkandara kajikaliia kimya.

Nitakusaidia tena kama kawaida yangu. Znz ina idadi ya watu isiyozidi 1.5 milioni na bajeti yake ni 700 bilioni na mak
usanyo yake ni 400 bil. wakti Tgk ina watu zaidi ya 45 milioni na bajeti yake ni 19.2 tril na makusanyo yake ni 12.6 tril na matumizi yake ya kawaida ni 13.8 Tril. Sasa sijui mushkira upo wapi.

Labda nikuongezee TGK INA DENI LA NJE ZAIDI YA 38.6 TRIL NA ZNZ HAINA DENI LA NJE K



Kwa taarifa yako, Watanganyika hawahitaji ku-vote kwasababu muungano uwepo usiwepo hawapotezi lolote.
Wanachopoteza sasa ni matumizi ya jina Tanzania kuhalalisha wizi. Hili ndilo wanatakiwa kulipiga vita kali sana.
sasa hapa ndipo unaposhangaza kama hawana shida mbona unapaza sauti na kunung'unika? au ndio zile za sungura SIZITAKI MBICHI HIZI


Nimekuuliza swali rahisi sana la tatu
Kuna uhalali gani wznz wasome bure ndani ya JMT wakati walipa kodi wa Tanganyika wenye pesa zao wakisoma kwa mkopo.

Kuna uhalali gani wa SMZ kukusanya madeni ya mikopo kwa wanafunzi 800 inaowadhamini, huku wale 1,700 wakisoma bure ndani ya Tanganyika. Hili ni rahisi kwako

Jibu ni dogo sana ILMU YA JUU NI SUALA LA MUUNGANO, hivyo waachwe waznz wajinome na pesa za wajinga.

Kuhusu 21% na 4.5% hilo usijibu tena huba majibu. Period
.
hapa nilijua tu huwezi tia mguu kwa sababu nimekwambia kasome na wewe umezowea kutafuniwa wewe unameza tu.

Nguruvi3,

naona wewe ni mtaalamu wa kulalamika na kuuliza masuala lakin ukiulizwa wewe unaruka maili mia.

KWANINI SERIKALI YA JMTZ MPAKA LEO IMESHINDWA KUTEKELEZA SHARIA YA KUANZISHWA JFC IKIWAMO KUWAPA MAJUKUMU YAO KAMA WALIVYOPENDEKEZA KWA ZAIDI YA MIAKA KUMI? JE KUNA SIIRI GANI YA UTEKELEZAJI WA SHARIA HIYO?
 
Basically umekubaliana na hoja za Mchambuzi kuhusu kuanzishwa kwa BoT na JFC na majaukumu yao.
Hujajibu hoja bali kuleta hadithi.

Ahsante tumekusoma

Tatizo umezowea kutafuniwa wewe unameza tu.

Hapo unahitajika kuchimba sana ujue hiyo 4.5% imetoka wapi. unatakiwa kujua hisa kila mmoja (Znz na Tgk) katika kuanzishwa BOT nl vile vile hisa za kila mmoja katika bodi ya sarafu ya east Africa ambazo nazo baada ya kufa bodi hiyo share za nchi hizi mbili zilipelekwa BOT.

Sasa jifungie usome kwa nia ya kujua na sio kunung'unika.




 
Nimeamini tatizo la wazanzibari ni mzanzibari mwenyewe. Wa znz ni wanafiki sana. How hard is it for then to unite as one? Kudai self determination au referendum? Hawatofika kokote kama wenyewe kwa wenyewe wako hivi. ------------ kwa dola 200 na wakirudi Znz watapokelewa kwa vofijo na nderemo bafala ya disgust na itikafu. Wazanzibari ni wanafiki sana na njaa ya dola 200 ndio imezidi kuchangia
 
nguruvi 3 na Mchambuzi asanteni sana kwa darasa na naomba radhi kwa kutokuwepo kwa muda kidogo kazi zilibana kimtindo.

Binafsi mie niliwah kumwambia mtu JFC iliundwa kama njia ya kuwalamba wanzibar miguu, na ni ukweli usiopingika kwamba wakati wanaunda hili walihofia wazaznibar kujitoa kwenye muungano kwa kile wanachodai kwamba wanaonewa, lkn laabda turudi kule zaznnibar kwenyewe mbona jamani kati ya Unguja na Pemba kuna tofauti kubwa sana ya kiuchumi??

mmoja ni tajiri zaid kuliko mwingine kitu ambacho kimenifanya mie nione kama wanabaguana wenyewe tu wala sio siuo sisi watanganyika tunao wabagua.

sasa kwanza toka JFC iundwe haijawaha kufanyiwa marekebisho yenye tija na rais bado anahofia wazaznibar kana kwamba wao ndio watanzania pekee wenye nguvu hapa nchini.

ukija UDSM utajionea mwenyewe bodi ya mikopo inadai haiwez kukopesha wanafunzi wa uzamili na uzamivu lkn hapa udsm wapo wanaotokea zaznibar eti wanalipiwa na bodi af tena hawarudish sasa mtanganyika yeye hapewi kabisa hawa wazanzibar wanapewa na tunajua hayo, mbaya zaid huyu mtanganyika anatakiwa ajilipie ada ya uzamili/uzamivu huku bodi bado ina mfyeka alizokopeshwa. too sad kwakweli.

mie majuzi nilikuwa najadiliana na mtu, nilipata hasira kwa mambo niliyoyajua kuhusu zanzibar.

Mimi nilitaka kukujuza jambo moja kiduchu ambalo nadhani ulifahamu.

DENI LA NJE LA TZ KUFAIIKIA 30th APRIL 2014 LILIKUWA ZAIDI YA 38.6 TRIL (Yaani mara mbili ya makadirio ya bajeti ya
mwaka.

68.4% ya deni hilo limekopwa kwa ajili ya wizara zisizo za muungano yaani wizara miundombinu, uchukuzi, kilimo na afya.

Na deni hili limekopwa kwa jina la TZ na sio TGK.

Sasa kwa mtindo huu JFC inaweza fanya kazi hapo?

Pole sana



 
Tatizo umezowea kutafuniwa wewe unameza tu.

Hapo unahitajika kuchimba sana ujue hiyo 4.5% imetoka wapi. unatakiwa kujua hisa kila mmoja (Znz na Tgk) katika kuanzishwa BOT nl vile vile hisa za kila mmoja katika bodi ya sarafu ya east Africa ambazo nazo baada ya kufa bodi hiyo share za nchi hizi mbili zilipelekwa BOT.

Sasa jifungie usome kwa nia ya kujua na sio kunung'unika.

Shut up! tupo hapa kwa mjadala si kupeana website. Hizo website wangapi wana access na wana uwezo wa kuelewa. Kama huwezi kudadavua kaa kimya. Mchambuzi kakupa darsa la kutosha, kaonyesha usivyojua BoT wala JFC zinavyofanya kazi. Halafu ulikuwa mchumi wa nchi hii, no wonder sisi nbi masikini.
Hiuna hoja stay out of the debate, kazi yako kila siku ni kuchafua mijadala ya watu kwa trivial and stupid arguement.
 
Back
Top Bottom