Scotland: 'No vote' haina maana 'No change'

Scotland: 'No vote' haina maana 'No change'

If well managed sure yes, but you know well that uswahili umejikita zaidi Zanzibar kuliko mainland. sisi tuna management mbaya lakini Zanzibar ni mbaya zaidi

Leave alone issue ya kama wanaweza kukusanya au hawawezi. Muhimu ni kuwa wanatakiwa kutambua kuwa wana wajibu na haki, sio haki tu. Tatizo ni kuwa wako mstari wa mbele kwenye kuangalia haki, lakini hata kidogo hatusikii kuzungumzia wajibu.

Linapokuja suala la wajibu inayozungumzwa zaidi ni Mainland, au inapokuja wakati wa opportunities wanakuwa na sauti kubwa sana kwenye equality, lakini kwenye suala la responsibilities hata equity hakuna.
Swali la pili,
Je, wakikusanya 1 trillion halafu Bara tukakusanya 6 trillions, 4.5% ya Zanzibar itakuwa less than 1 trillion or more?

If more, the Zanzibar issue is about policy or execution?
 
Nguruvi3na Mchambuzi

You know what kitu kikubwa mnachokwepa ni jinsi muundo wa sasa unavyosababishamalalamiko ya baadhi ya wazanzibari ilihali nyie mnatumia takwimu za muundo huohuo kwenye masimango

Nyongeza ya hapo nimejaribu kuingia kwenye sources za kimataifa zinazotowatakwimu za GDP ambapo ZnZ pekee aitambuliki so as other nationals in the unionselsewhere; lakini kikubwa kwenye mchango wa GDP yetu ni resources za bara sasawhy doesn't Zanzibar contribute much as opposed to other nationals overallcontribution in their unions.

Kama utafata takwimu tu tena ambazo bwana Mchambuzi anapenda kuzitumia unawezakuamini ZnZ ni mzigo lakini kama ukipekua siasa za Tanzania unaweza kuona kunaumuhimu wa kutatua malalamiko yaZanzibari through further devolutions economically maana hapo ndio msingimkuu kwa sasa ata na kwa wao.

Kutokana na geographical composition ya Zanzibar kilimo kwao akina maslahi nawala awana hiyo ardhi ya kufanya exploitation, awana madini wala viwanda (kwasasa) vya kusema wana uwezo wa kushindana na bara ili kuchangia sasa.
With all thosedisadvantages bado wananyimwa nafasi ya kuchochea uchumi wao. For instanceslately nchi tatu katika EA pekee wameweza pewa uero bonds totalling 3.1 billiondollars. Hela ambazo wanaenda wekeza kwenye miradi yao wewenye ya maendeleo.
Kati ya hizo hela Rwanda imeweza pata almost 400 millions, Tanzania tumepata$700 mills. kati ya hizo ni ngapi zinaenda ZnZ, nchi ambayo kutokana mazingirayake inabidi hii invest ili kuweza kushindana kimataifa katika soko la utaliiwa ufukweni. Wakati bado tupo kweny muktadha huo huo Tanzania bara imewekezakiasi gani cha fedha kwenye kilimo kwanza nationally na kiasi gani ZnZ imepatakwenye sector yeyote yenye kuchochea ajira kutokana na mazingira yake.

Ukienda nchi zingine kama huko Scotland serikari inawekeza strategically mbalina government investment kama kuweka ship yards huko na kufunga vilevilivyokuwa England yote ni kwa sababu ya kuchochea uchumi wa Scotland, badouvuvi, bidhaa za kilimo na mambo mengi serikari ina encourage industries hukohili waweze jikwamua kiuchumi.

Kwa hivyo swala la unyonyaji pia linachangiwa na room to manouver in ZnZ,awawezi pata strategic partners internationally kwenye kuchochea maendeleo nawala awana fursa za kuweza tafuta ziada kwa mantiki ya investment zao.

Wakiweza pewa nafasi hiyo ndio tunaweza pima kama kweliwanataka muungano ama la kwa sababu wanafursa za kuchochea maendeleo natunaendelea mbele vipi kama taifa, hongo pekee sio solution kwa sababu kerobado zipo pale pale ilihali sababu zetu za kuungana ni legitimatekabisa.
Happy feet , kwanza nianze na ulipomalizia.
Kwamba, wazanzibarwapewe fursa ili uone kama wanataka muungano au la. Hoja hii ni hafifu sanakwasababu sisi hatuwahitaji kwa maendeleo yetu na hivyo muda wa kuwabembelezahaupo.

Kwanini tufanye majaribio ya namna hiyo,ni ili tupate nini katikamuungano huu ambao ni mzigo mkubwa kutoka zanzibar.

Pili, unaposema wazanzibar wapewe fiscal autonomy zaidi,hicho ndicho tunataka. Hatutaki kunyonya znz na kwanza hakuna cha kunyonya, na wala hatutaki kuwazuia wasipate nafasizao. Ili waweze kwenda EAC na kupata pesa za bure kama Rwanda lazima Tanganyikaiwepo. Tukienda kama Tanzania bapo hakuna Kigoma wala Zanzibar ni Tanzania.Hivyo wana hiari ya kujitokomboa au kujikomba wakibaki na maumivu

Tatu, kuna makosa makubwa sana yanafanywa kwa makusudi nawapotoshaji kwa makusudi. Inaposemwa katika bilioni 700 znz inapata nini, aumadini yanawasaidiaje wao, kuna kitu kisichosemwa.
(i) Katika wizara ya ulinzina usalama, mambo ya ndani na nje znz haina bajeti. Nani analipia gharama zao
(ii)Gharama za kuendesha muungano znz inachangia nini
iii) 4.5% ya pato laTanganyika znz ina uhalali gani
(iv) PAYE ya wafanyakazi wa muungano znz inahaki gani ya kupata bilioni 1.2 kwa mwezi ikiwa haiwezi kukusanya milioni 50kwa wafanyakazi wa SMZ n.k

Lakini pia lazima tujiulize, zile huduma kama za elimu yajuu, ajira n.k. ambazo znz inapata kutoka Tanganyika na si kinyume chake,thamani yake katika pesa unaiwekaje

Nne, kwanini failure za znz kicuhumi zihusishwe naTanganyika.
Mfano, uchumi wa znz unategemea sana utalii. Wanamwagia tindikaliwatalii ni wznz, nani ataleta dollar au pound katika mazingira hayo.Muungano na hasa Tanganyika inahusika vipi


Mfano wa pili, znz waliposikia kuna madebe ya mafuta wakakimbia kuliondoa jambo hilo katika muungano.

Happy feet anasema awepewa nafasi tuone kama wanataka muungano! Ebo hivi umimi,ubinafsi na kiburi hamvioni hadi microscope.

Sijui wanataka madini yaende huko ili iweje ikiwa wao hawataki hata kwa fununu tu kuwa nasisi


Tano, fursa za kicuhumi ni pamoja na bandari. Wameondoabandari bila majadiliano, halafu unataka wapewe fursa zaidi katika kiburi cha namna hiyo. Wangekuwa wanatumiaakili kidogo tu, wasingeondoa bandari.

Sasa hivi wanajenga ushindani najiografia haiwapi nafasi. Tanganyika inahusika vipi na felia zao


Sita, mnaposema vichocheo vya ajira wengine tunachekasana.
Muungano unatoa ajira mara tatu ya SMZ. Sina uhakika ajira mnazosema nizipi.


Saba, fursa za uchumi ni pamoja na matumizi ya ardhi.Wznz wakweka sheria za kumbana Mtanganyika kule kwao. Sijui hiyo move inachochea ajira au ni mwendelezo wa maono hasi na mafupi.
Huku bara wamepewa fursa, sijui manataka ipi.Sasa fursa inaondoka tunawaona kama wageni wa nchi jirani.


Nane, hivi kwanini mnaangalia fursa kwa znz hamjiuliziwanwajibika vipi katika huu muungano. Haiwezekani znz iwe inataka usawa nafursa bila kuwa sehemu ya utengenezaji wa fursa hizo. Rudi nyuma umsomeBongolander. Anlieleza jambo hili vizuri sana.

Tisa, kile unachiokiita masumango kwa lugha nyingine niukweli unaowekwa hadharani. Ukimkopesha mtu halafu ukamtangaza hayo ndiomasumango. Wakati wanatuita Wakoloni na wanyonyaji tulikaa kimya, kwasasatunajibu mapigo kwanguvu .

Kazi yetu ni moja, kuwaonyesha Watanganyika investment isiyo znz, mzigo walioubeba usio na manufaa kwao, na jinsi wanavyoota vibiongo kuwahudumia watu wasiotaka kukusanya kodi, watoa misamaha lakini wazuri sana wa kudai kisicho chao kwa jina Tanznia


Kumi, haiwezekana znz ikapewa fursa zaidi katika mfumo wa S2. Tulijaributukaumia.
Shirika la Maritime znz liankusanya pesa huko kwao na kuziacha kwao.Bill za kimataifa zinatupiwa JMT ambayo ni Tanganyika. Maana yake znz inatumiajina katika mafao, zaidi hapo hatujuani.

Ukiwapa nafasi zaidi kiuchumi nilazima Tanganyika iwepo. Vinginevyo znz itaenda huko EAC unakosema na kupewaEuro 400,000. Wakirudi kwao wanalala mustarehe, kuna Mtanganyika analipia billza ulinzi na usalama, muungano n.k.

Happy feet hapana! Ni lazima Tgk iwepo ilikuzuia wizina ujambazi unaoendelea wa wazanzibar kwa jina la Tanzania



S3 au tunawataki heri, hatuna sababu za kuwabembeleza. Hatuwahitajikatika maendeleo


 
Swali la pili,
Je, wakikusanya 1 trillion halafu Bara tukakusanya 6 trillions, 4.5% ya Zanzibar itakuwa less than 1 trillion or more?

If more, the Zanzibar issue is about policy or execution?

The answer will be same, regardless what the policy say and regardless what political parties and politicians want, and whether the make $10 Million or $1 trillion, they have to contribute equal to their as percentage in the population, and they have to benefit on same bases.

Tunachotakiwa ni kuwa tubebe mizigo kutokana na uwezo wetu, na tusibebeshe mzigo upande wa pili.
 
Tax and non tax revenues... zipo openly kwenye website ya TRA.
Singida haichangii hata 5billion SHS, let alone 996 billion Shs.
Hebu nifundishe nielewe.

Sijakuuliza kuhusu tofauti ya tax and non tax revenues.

Kuhusu singida, bado hauna uelewa na kitu ninacho kuuliza. Let me rephrase the question and may be add a few more:

•Do you know why data reveals Kwamba Singida has a much higher GDP contribution kwa taifa than tax revenues contribution kwa taifa?

• Do you know why data shows Kwamba Zanzibar has much higher tax revenues than Singida?

Kumbuka mjadala wetu wa centralization of tax system (1964) kwa manufaa ya "Tanzania". Kwa maana nyingine nyepesi Kabisa, centralization of taxation and expenditure powers all over Tanganyika in the name of Tanzania, but on the other hand decentralization of tax and expenditure powers kwa mshirika mwingine wa muungano in the name of Zanzibar. Tafiti Mapato ya Zanzibar yalikuwa vipi Kabla ya kuanzishwa kwa ZRB.

Tuanze na haya kwanza.






Sent from my iPhone using JamiiForums
 
So you asked Nguruvi3 kuhusu potential revenues za Zanzibar huku ukiwa na Jibu Kwamba ni "infinity"? What's the logic of your question? Naomba unifafanulie.

Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Ebu Rudia swali lako Katika muktadha wa nchi Mbili, serikali Mbili kisha urudi tuendelee na mjadala husika. Pia USiache kujadili gharama za muungano kwa sura ya:
1. Mapato.
2. Matumizi.
2. Uchangiaji.

.
Mbona Nimesema hapo juu Kwamba haivuki 30%. Lakini Kama unataka thamani kwa shiliingi, vyanzo vya fedha za bajeti 2013-14 kwa mfano ilikuwa ni jumla la shillingi trilioni 18.2 Kama ifuatavyo:

1. Misaada na mikopo nafuu ya kibajeti. 7%.
2. Misaada na mikopo nafuu ya miradi ya maendeleo 15%.
3. Mikopo ya nje ya kibiashara 7%.

Vyanzo vya nje ilikuwa ni 28% ya bajeti yote tofauti na upotoshaji wa Barubaru Kwamba hadi Leo tunategemea fedha za nje asilimia 40, sijui 60...;

Kwa mwaka huu wa fedha (2014-15), mikopo mipya ya nje ni shillingi 2.7 trillion, sawa na 14%.




Sent from my iPhone using JamiiForums

Mchambuzi.

Kama kawaida yangu NAPENDA KUKUJUZA KUWA UCHUMI NI TAALUMA INAYOTHIBITISHWA NA DATA sio siasa za bla bla.

Labda nikurudishe katika utekelezaji wa bajeti ya TGK ya 2013/2014 utaona HAKUNA HATA MRADI MMOJA WA MAENDELEO KATIKA WIZARA ZOTE ULIOTEKELEZWA KWA ZAIDI YA 7%. pitia kwenye kijitabu cha utekelezaji utaliona hilo ili ujiridhisha na kama upo basi tuweke sawa tujue kwa sote.

Nikija kwenye makisio ya bajeti 2014/2015 ambayo ni Trl 19.2 utaona pesa zilizotengwa kwa ajili ya matumizi ya kawaida mnajitosheleza kwa only 96% na zingine 4% mnategemea ufadhwili.

Ukije katika fedhwa za maendeleo TZ inategemea ufadhwili kwa zaidi ya 60% na zingine 40% mnategemea kutokana na mikopo na misaada ya nje.

Na hili siku zote linaathiri sana utekelezaji wa bajeti enu kama mtakosa mikopo na misaada miradi ya maendeleo inalala na kufa kabisa.

Hili lipo wazi kama utapitia vizuri vitabu vya bajeti yenu ya 2014/2015. na kama utataka ufafanuzi zaidi pata hivyo vitabu nitakupa darsa page by page uyaone haya.
.

 
Ebu Rudia swali lako Katika muktadha wa nchi Mbili, serikali Mbili kisha urudi tuendelee na mjadala husika. Pia USiache kujadili gharama za muungano kwa sura ya:
1. Mapato.
2. Matumizi.
2. Uchangiaji.

.
Mbona Nimesema hapo juu Kwamba haivuki 30%. Lakini Kama unataka thamani kwa shiliingi, vyanzo vya fedha za bajeti 2013-14 kwa mfano ilikuwa ni jumla la shillingi trilioni 18.2 Kama ifuatavyo:

1. Misaada na mikopo nafuu ya kibajeti. 7%.
2. Misaada na mikopo nafuu ya miradi ya maendeleo 15%.
3. Mikopo ya nje ya kibiashara 7%.

Vyanzo vya nje ilikuwa ni 28% ya bajeti yote tofauti na upotoshaji wa Barubaru Kwamba hadi Leo tunategemea fedha za nje asilimia 40, sijui 60...;

Kwa mwaka huu wa fedha (2014-15), mikopo mipya ya nje ni shillingi 2.7 trillion, sawa na 14%.




Sent from my iPhone using JamiiForums

Mchambuzi.

Kama kawaida yangu NAPENDA KUKUJUZA KUWA UCHUMI NI TAALUMA INAYOTHIBITISHWA NA DATA sio siasa za bla bla.

Labda nikurudishe katika utekelezaji wa bajeti ya TGK ya 2013/2014 utaona HAKUNA HATA MRADI MMOJA WA MAENDELEO KATIKA WIZARA ZOTE ULIOTEKELEZWA KWA ZAIDI YA 7%. pitia kwenye kijitabu cha utekelezaji utaliona hilo ili ujiridhisha na kama upo basi tuweke sawa tujue kwa sote.

Nikija kwenye makisio ya bajeti 2014/2015 ambayo ni Trl 19.2 utaona pesa zilizotengwa kwa ajili ya matumizi ya kawaida mnajitosheleza kwa only 96% na zingine 4% mnategemea ufadhwili.

Ukije katika fedhwa za maendeleo TZ inategemea ufadhwili kwa zaidi ya 60% na zingine 40% mnategemea kutokana na mikopo na misaada ya nje.

Na hili siku zote linaathiri sana utekelezaji wa bajeti enu kama mtakosa mikopo na misaada miradi ya maendeleo inalala na kufa kabisa.

Hili lipo wazi kama utapitia vizuri vitabu vya bajeti yenu ya 2014/2015. na kama utataka ufafanuzi zaidi pata hivyo vitabu nitakupa darsa page by page uyaone haya.

Ukitaka kujua habari hizi pitia kijitabu cha utekelezaji wa bajeti na kile cha bajeti chenyewe utafaidika sana kama utatulia na kupata mtaalamu wa kukuchambulia kwa kina.

Pole sana
.

 
Happy Feet,

#159 unajadili hivi:

"Mkuu you were all over with your last post habari za kodi yako kwenda Msumbiji kuna husiana vipi wakati wao wana full autonomy kama nchi, ZnZ wamepoteza part of that kwa sababu ya muungano ndio maana wanachangiwa na serikari kuu kujiendesha na kufanya shughuli za kiserekari on the other hand hawana mamlaka ya kutafuta hela za maendeleo independently ilihali na wao ni taifa."

Kama ilivyo kwa msumbiji kuwa nchi Jirani na Tanganyika, Vivyo hivyo ni nchi ya Zanzibar. Kwanini unataka tupoteze mjadala kwenye Ukweli huu? Mnadhania kila mtu humu ni mjinga?

Hivi ni kwanini Zanzibar hadithi Zenu ni zile zile za mikopo na misaada Kama vile hii Ndio hujenga uchumi na kutokomeza umaskini? Ni taifa gani ambalo lilitatua umaskini na kujiletea maendeleo kupitia misaada?

Zanzibar is not creative Kabisa internally Katika suala Zima la mobilization of domestic revenues. Mtakuja na vizingizio tu visivyo na msingi Kwamba wamekabwa na bara, Wakati Ukweli ni Kwamba Zanzibar Ina fiscal autonomy lakini bado inasamehe kodi kuliko bara, twice as much Kama nilivyojadili awali, na hii ni kwa Mujibu wa vyanzo vingi, ikiwa ni pamoja na "twaweza" ambao wameonyesha Hilo kupitia utafiti wao:

"Policy Brief TZ.12/2010.E: Tanzania tax exemptions: are they too high making us too dependent on aid?"

Utafiti huu unaonyesha Kwamba Zanzibar inasamehe kodi sawa naalmost 50% ya Mapato yake, huku "Tanganyika" yenyewe ikisamehe 23%. Anaye samehe (Zanzibar) anafidiwa shortage na anayekusanya(Tanganyika). Bado mnaona hoja zetu ni za kujichekesha, hoja zenu za maana!

• Je hii misamaha ya kodi within their fiscal autonomy wanalazimishwa kufanya hivyo na Tanganyika?

Mkuu, pamoja na Barubaru, nadhani Mnajua Kwamba
Over 98% of development budget in Zanzibar is AID.
Barubaru, ni jadi yako kujadili utegemezi wa bajeti ya muungano on aid Wakati Zanzibar utegemezi ni mkubwa zaidi, lakini muhimu zaidi ni Kwamba hata Zanzibar ikiamua kujitoa kwenye muungano kesho, itaondoka ikiwa pengine nchi pekee ya dunia ya Tatu ambayo ime epuka the aid curse. Hii laana tumebeba watanganyika kwa utaifa wa Tanzania!

Mjadala wowote juu ya aid dependence ya Tanzania Kwamba ni kubwa, inatakiwa kuweka into account Kwamba Katika hiyo dependence, nchi ya Zanzibar ambayo Ipo ndani ya nchi ya Tanzania, dependence Yao on aid kwa ajili ya development budget is almost 100%. Je bajeti kwa ajili ya matumizi ya kawaida, mchango wa Zanzibar kutoka vyanzo vyake ni kiasi gani? Sidhani mama unataka twende Huko kwani ni uchungu sana kuona mtanganyika anavyoenyeshwa kubeba nchi Jirani.

Mkuu, pamoja na Barubaru, mkae mkijua Kwamba as aid dependence ya Zanzibar stays constant, na pengine kuzidi kupanda mkipata uwanja wa kujidai kivyenu na mikopo Kama vile ni sifa na uzalendo, kwa upande wa bara, dependence inashuka mwaka hadi mwaka, na sio kweli Kwamba Ipo at 40%. Hivi tunavyozungumza haifiki hata 30%. Kwa maana nyingine, Tanganyika is set to become aid independent huku Zanzibar Ndio kwanza inatafuta kuwa dependent.

Mnadanganyika tu, Tyrants love aid, they are not interested in mobilizing revenues from domestic sources kwasababu that will force them to become more accountable to the electorate. For tyrants, it's always a Better idea kuwa more accountable kwa donors kuliko wananchi walipa kodi kwani watahoji legitimacy ya tyrants ambao wanakuja kodi. Tyrants na donors, madebe ya Mafuta itakuwa pasu kwa pasu.




Sent from my iPhone using JamiiForums

Mchambuzi,

Naona sasa umekuwa kama ahali yangu Nguruvi3, Kila wakti mnapenda kunung'unika nung'nika. Kumbuka hakuna dhambi mbaya sana kuliko ile ya kunung'unika bila kuchukua hatua. Pole sana.

Nisingependa kurudi katika mnakasha wetu kule kwenye mada ya Zitto Mzalendo ... ambako nilikuuliza masuala a msingi sana na baadae TUKAKUBALIANA KUWA HAKUNA ANAECHANGIA MUUNGANO WENU ZAIDI YA KILA MTU ALIYENACHO KWA WAKTI ULE ANATOA.

Labda nikuulize suala lingine HIVI KWA NINI SERIKALI YA JMTz haitaki kutekeleza SHERIA ILIYOPITISHWA NA BUNGE LA JMTz YA UANZISHWAJI WA JOINT FINANCE COMMISSION kwa zaidi ya miaka 10 sasa?

Mnakasha wetu uanzie hapa kuona wanaogopa nini ili nikupe darsa zuuri sana la uchumi kukukata kiu yako na kukujuza mengi ya kuchumi ulidhika na kujiondoa kuwa miongoni mwa watu wanaopenda KUNUNG'UNIKA.

Pole sana sana

 
Mchambuzi.

Kama kawaida yangu NAPENDA KUKUJUZA KUWA UCHUMI NI TAALUMA INAYOTHIBITISHWA NA DATA sio siasa za bla bla.

Labda nikurudishe katika utekelezaji wa bajeti ya TGK ya 2013/2014 utaona HAKUNA HATA MRADI MMOJA WA MAENDELEO KATIKA WIZARA ZOTE ULIOTEKELEZWA KWA ZAIDI YA 7%. pitia kwenye kijitabu cha utekelezaji utaliona hilo ili ujiridhisha na kama upo basi tuweke sawa tujue kwa sote.

Nikija kwenye makisio ya bajeti 2014/2015 ambayo ni Trl 19.2 utaona pesa zilizotengwa kwa ajili ya matumizi ya kawaida mnajitosheleza kwa only 96% na zingine 4% mnategemea ufadhwili.

Ukije katika fedhwa za maendeleo TZ inategemea ufadhwili kwa zaidi ya 60% na zingine 40% mnategemea kutokana na mikopo na misaada ya nje.

Na hili siku zote linaathiri sana utekelezaji wa bajeti enu kama mtakosa mikopo na misaada miradi ya maendeleo inalala na kufa kabisa.

Hili lipo wazi kama utapitia vizuri vitabu vya bajeti yenu ya 2014/2015. na kama utataka ufafanuzi zaidi pata hivyo vitabu nitakupa darsa page by page uyaone haya.
.


Pengine Mimi na wewe tunasoma vitabu tofauti. Katika bajeti ya mwaka huu wa fedha, Nenda kwenye majedwali mwisho Kabisa wa kitabu husika kisha urudi kufafanua ulichokijadili hapo juu. Angalia mwaka huu wa fedha, takwimu zinasemaje.

Kwa mfano, kwa mwaka mpya wa fedha, out of the 19.8 trillion budget, mikopo ya ndani ni mikubwa kuliko ya nje, 2.9 trillion and 2.7 trillion, respectively. Kama hoja yako ni Kwamba tunategemea mikopo kwa ujumla wake, sawa, lakini Kama unachojadili ni mikopo ya nje, I beg to differ. Otherwise I stand to be corrected.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mchambuzi,

Nisingependa kurudi katika mnakasha wetu kule kwenye mada ya Zitto Mzalendo ... ambako nilikuuliza masuala a msingi sana na baadae TUKAKUBALIANA KUWA HAKUNA ANAECHANGIA MUUNGANO WENU ZAIDI YA KILA MTU ALIYENACHO KWA WAKTI ULE ANATOA.

Hapana, haya hayakuwa makubaliano yetu, Umeongeza maneno yako. Nilicho sema ni Kwamba matatizo yaliyopo yanatokana na Mfumo mbovu, na utatuzi wake ni kuirudisha Tanganyika na kuhitimisha Kwamba watanganyika na wazanzibari tuungane Katika Hilo.

Mkuu, Until then, mtanganyika ataendelea kuumia Katika suala Zima la gharama, Zanzibar wamekuja na mkakati wa kususia Mfumo huu mbovu, mtanganyika Hana jinsi kwani yeye ndiye aliyevaa koti la muungano. Na hoja yangu ya msingi ni hapo.

Labda nikuulize suala lingine HIVI KWA NINI SERIKALI YA JMTz haitaki kutekeleza SHERIA ILIYOPITISHWA NA BUNGE LA JMTz YA UANZISHWAJI WA JOINT FINANCE COMMISSION kwa zaidi ya miaka 10 sasa?

Again, tatizo lipo kwa sababu hakuna serikali ya Tanganyika kusimamia Mapato yake nje ya Yale ya JMT. Ndio maana tumekuwa tukidai Tanganyia yetu izinduliwe.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hapana, haya hayakuwa makubaliano yetu, Umeongeza maneno yako. Nilicho sema ni Kwamba matatizo yaliyopo yanatokana na Mfumo mbovu, na utatuzi wake ni kuirudisha Tanganyika na kuhitimisha Kwamba watanganyika na wazanzibari tuungane Katika Hilo.

Mkuu, Until then, mtanganyika ataendelea kuumia Katika suala Zima la gharama, Zanzibar wamekuja na mkakati wa kususia Mfumo huu mbovu, mtanganyika Hana jinsi kwani yeye ndiye aliyevaa koti la muungano. Na hoja yangu ya msingi ni hapo.



Again, tatizo lipo kwa sababu hakuna serikali ya Tanganyika kusimamia Mapato yake nje ya Yale ya JMT. Ndio maana tumekuwa tukidai Tanganyia yetu izinduliwe.


Sent from my iPhone using JamiiForums

Mchambuzi.

Ndio maana nakwambia UNANUNG'UNIKA.

Labda waambie wasomaji wengine wa uzi huu hiyo serikali yako ya Tanganyika unaidai wapi?
mbona 2/3 ya kura ya maamuzi ya Bunge la Katiba la Mh Sitta upande wa bara imekubali kwa % zote kabisa kuizika Tanganyika?

Lakin suala la msingi hapo ni kuwa kama Bunge hilo hilo la Muungano la JMTz limepitisha sharia ya kuundwa hiyo JFC ili kila mtu mchana kweupeeeeee ajulikane anachangia nini katika muungano na vile mikopo na misaada ieleweke wazi inatumikaje lakin pia upande gani unatakiwa kuilipa ni vipi mpaka leo Serikali ya JMTz inapata kigugumizi kutekeleza sharia hiyo?

 
Mchambuzi.

Ndio maana nakwambia UNANUNG'UNIKA.

Labda waambie wasomaji wengine wa uzi huu hiyo serikali yako ya Tanganyika unaidai wapi?
mbona 2/3 ya kura ya maamuzi ya Bunge la Katiba la Mh Sitta upande wa bara imekubali kwa % zote kabisa kuizika Tanganyika?

Lakin suala la msingi hapo ni kuwa kama Bunge hilo hilo la Muungano la JMTz limepitisha sharia ya kuundwa hiyo JFC ili kila mtu mchana kweupeeeeee ajulikane anachangia nini katika muungano na vile mikopo na misaada ieleweke wazi inatumikaje lakin pia upande gani unatakiwa kuilipa ni vipi mpaka leo Serikali ya JMTz inapata kigugumizi kutekeleza sharia hiyo?


Kwanini unachagua hoja za Kujibu hapo juu nyingine unakwepa?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mchambuzi.

Kama kawaida yangu NAPENDA KUKUJUZA KUWA UCHUMI NI TAALUMA INAYOTHIBITISHWA NA DATA sio siasa za bla bla.

Labda nikurudishe katika utekelezaji wa bajeti ya TGK ya 2013/2014 utaona HAKUNA HATA MRADI MMOJA WA MAENDELEO KATIKA WIZARA ZOTE ULIOTEKELEZWA KWA ZAIDI YA 7%. pitia kwenye kijitabu cha utekelezaji utaliona hilo ili ujiridhisha na kama upo basi tuweke sawa tujue kwa sote.

Nikija kwenye makisio ya bajeti 2014/2015 ambayo ni Trl 19.2 utaona pesa zilizotengwa kwa ajili ya matumizi ya kawaida mnajitosheleza kwa only 96% na zingine 4% mnategemea ufadhwili.

Ukije katika fedhwa za maendeleo TZ inategemea ufadhwili kwa zaidi ya 60% na zingine 40% mnategemea kutokana na mikopo na misaada ya nje.

Na hili siku zote linaathiri sana utekelezaji wa bajeti enu kama mtakosa mikopo na misaada miradi ya maendeleo inalala na kufa kabisa.

Hili lipo wazi kama utapitia vizuri vitabu vya bajeti yenu ya 2014/2015. na kama utataka ufafanuzi zaidi pata hivyo vitabu nitakupa darsa page by page uyaone haya.
Ndugu yangu kila unapokuja katika mada huwa ni offpoint. Haya uliyoeleza yanahusiana vipi na mada?

Labda tusema, wengine hatuzungumzii znz kuna nini au kutakuwa na nini. Tunachozungumzia ni kuhusu muungano na jinsi ambavyo tungependa znz wajitafutie maendeleo yao bila kuatgiri Tanganyika. Hilo ndilo tunajadili kwa kuangalia kura ya maoni ya Scotland.

Ili kukuondioa jakamoyo, nikuambie bajeti ya JMT inategemea misaada asilimia 99.9. Sasa tuache tuendelee na mada

Ahsante sana kwa kutochafua uzi
 
Mkuu mbona ukiulizwa maswali hutoi majibu? Jamvi linahitaji majibu.

Swali ni hivi, wakati Tanzania uilipokuwa Tanzania bara na visiwani, wale wa visiwani wakarudishiwa jina la Zanzibar.Kwanini hawa wa bara hawakurudishiwa jina la Tanzania.

Hayo ya kujivunia ni yako binafsi, tunaongele mambo ya taifa. Hatuongelei nani anajivunia ubondei au Ukara.
Jibu maswali, huna jibu kaa kimya wenye nayo wajibu. Weledi si kuandika hata kujifunza ni weledi pia.
Aaaah mkuu wangu PC yangu ina mashetani huzima nikiandika maelezo taratibu hapa JF, lazima niandike haraka na ku post kisha ndio nipitie taratibu!.
maswali gani ulouliza mkuu wangu kuhusu Jina la Tanganyika na nafasi za kazi 21? mbona nilikujibu huko nyuma ya kwamba ni wajibu wa kila kundi la watu kudai haya. Nani alowarudishia Zanzibar jina hilo? Hoja ya kutoimeza Zanzibar ilikuwepo toka tumeungana sielewi hili la kurudishiwa jina unalipoata wapi?

2. Unaweza kuidai Tanganyika yakoTRA wamejaa wachagga ukisema wewe kutaka makabila mengine yaajiriwe kosa?.
Chukulia kuna makabila mawili tu nchini moja limeajiriwa zaidi kuna kosa kwa kabila jingine kudai nafasi za kazi lazima itazamwe kwanza wingi wao ama ni ajira ni haki ya kila mtu. Hata wanawake wanadai ajira zaidi sii kwa sababu ya wingi wao bali ajira ni ya kila mtu acha mbali muungano wetu uloingia ubaguzi baina ya Watanganyika na Wazanzibar.

Inapofikia mahala watu mkaanza kujitazama na kutoa ajira kwa rangi zetu, Uraia wenu, basi ndio haya hutokea. Labda Wazenj wameona ajira serikali ya muungano imejaa Wabara tu kwa hiyo wanataka fursa hii nao wapewe ili kujihakikishia kuwa nao ni sehemu ya muungano.
 
Swali la pili,
Je, wakikusanya 1 trillion halafu Bara tukakusanya 6 trillions, 4.5% ya Zanzibar itakuwa less than 1 trillion or more?

If more, the Zanzibar issue is about policy or execution?
hapa ndipo panapowasumbua akili, wakija na jibu labda ndio tutaelewana.
 
Hapana, haya hayakuwa makubaliano yetu, Umeongeza maneno yako. Nilicho sema ni Kwamba matatizo yaliyopo yanatokana na Mfumo mbovu, na utatuzi wake ni kuirudisha Tanganyika na kuhitimisha Kwamba watanganyika na wazanzibari tuungane Katika Hilo.

Mkuu, Until then, mtanganyika ataendelea kuumia Katika suala Zima la gharama, Zanzibar wamekuja na mkakati wa kususia Mfumo huu mbovu, mtanganyika Hana jinsi kwani yeye ndiye aliyevaa koti la muungano. Na hoja yangu ya msingi ni hapo.



Again, tatizo lipo kwa sababu hakuna serikali ya Tanganyika kusimamia Mapato yake nje ya Yale ya JMT. Ndio maana tumekuwa tukidai Tanganyia yetu izinduliwe.


Sent from my iPhone using JamiiForums

Mchambuzi'

Karume aliwahi kusema muungano ni kama koti ukiona linakubana unalivua.

Hoja yangu kwako na ndio mzizi mkuu wa kukuita UNANUNG'UNIKA ni hapo unapoona unaumia lakin unajikaza kisabuni na kupita unanung'unika bila kuchakua hatua stahiki katika kuhakikisha ustawi na usalama wako. au mumekuwa mazuzu.

Lakin kumbuka huko nyuma katika Uzi wa Zitto ... niliwahi kukupa mfano kawaida sana ambao hata mtoto wa darasa la 12 anaubani. Nilikupa mfano wa vikao vya harusi maarufu sana kwa watu wa TGk nikakwambia wajumbe na marafiki wote michamgo yao wanaipeleka kwa mwekahazina au msaidizi wake na katika kila kikao kunakuwa na ripoti ya mweka hazina kuonyesha kila mtu amechangia kiasi gani na matumizi ya michango hiyo.

Sasa katika hili la muungano nakuuliza tena TGK anachangia wapi katika account gani? na nani msimamizi na mratibu wa hiyo account? kwani hapo itatusaidia saana kuona mzizi wa MANUNGUNIKO YAKO.


Lakin suala la nyongeza hivi kwanini 2/3 ya kura ya maamuzi katika Bunge la Katiba la mh Sitta inakuwa ngumu sana kuipata kwa upande wa Znz na sio Tanganyika?

Pole ahali yangu
 
Ndugu yangu kila unapokuja katika mada huwa ni offpoint. Haya uliyoeleza yanahusiana vipi na mada?

Labda tusema, wengine hatuzungumzii znz kuna nini au kutakuwa na nini. Tunachozungumzia ni kuhusu muungano na jinsi ambavyo tungependa znz wajitafutie maendeleo yao bila kuatgiri Tanganyika. Hilo ndilo tunajadili kwa kuangalia kura ya maoni ya Scotland.

Ili kukuondioa jakamoyo, nikuambie bajeti ya JMT inategemea misaada asilimia 99.9. Sasa tuache tuendelee na mada

Ahsante sana kwa kutochafua uzi

Nguruvi3


Usiingie kiwewe na mchecheto kwa kuniona nimeanza kutoa darsa. Lakin hakuna kiyu kibaya kama kudandia train kwa mbele kwani kuna madhwara makubwa sana.

Naona umetulia kidogo na kupunguza manung'uniko yako ya kuwasakama waZnz na Znz kijumla.

Hongera.
 
The answer will be same, regardless what the policy say and regardless what political parties and politicians want, and whether the make $10 Million or $1 trillion, they have to contribute equal to their as percentage in the population, and they have to benefit on same bases.

Tunachotakiwa ni kuwa tubebe mizigo kutokana na uwezo wetu, na tusibebeshe mzigo upande wa pili.
Thats not what "Union" means.
Sorry ila hilo halipo kwenye muungano wowote ule, hata confederations kama EU bado kuna mataifa kama Germany yanazibeba nchi nyingine kwa ku-zibailout etc...
Nilijua wapi unasimamia, nia yangu uji-expose mwenyewe. Dhana yako kuhusu muungano ndiyo tatizo linaloathiri theory yako kuhusu muungano. You are completely wrong.
 
So you asked Nguruvi3 kuhusu potential revenues za Zanzibar huku ukiwa na Jibu Kwamba ni "infinity"? What's the logic of your question? Naomba unifafanulie.

Sent from my iPhone using JamiiForums
Sijamuuliza Nguruvi3 ila the logic behind ni kuwa just because the Policy is poorly executed, it doesn't mean that it's a bad policy.

Zanzibar wanaweza kukusanya more than 10% ya Bara (If TRA executes well), na wakifanya hivyo - according the present agreement - nusu ya fedha hizo zitakuja kwenye muungano. na nusu (4.5%) zitarudi Zanzibar.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom