Scotland: 'No vote' haina maana 'No change'

Scotland: 'No vote' haina maana 'No change'

Aaaah mkuu wangu PC yangu ina mashetani huzima nikiandika maelezo taratibu hapa JF, lazima niandike haraka na ku post kisha ndio nipitie taratibu!.
maswali gani ulouliza mkuu wangu kuhusu Jina la Tanganyika na nafasi za kazi 21? mbona nilikujibu huko nyuma ya kwamba ni wajibu wa kila kundi la watu kudai haya. Nani alowarudishia Zanzibar jina hilo? Hoja ya kutoimeza Zanzibar ilikuwepo toka tumeungana sielewi hili la kurudishiwa jina unalipoata wapi?

2. Unaweza kuidai Tanganyika yakoTRA wamejaa wachagga ukisema wewe kutaka makabila mengine yaajiriwe kosa?.
Chukulia kuna makabila mawili tu nchini moja limeajiriwa zaidi kuna kosa kwa kabila jingine kudai nafasi za kazi lazima itazamwe kwanza wingi wao ama ni ajira ni haki ya kila mtu. Hata wanawake wanadai ajira zaidi sii kwa sababu ya wingi wao bali ajira ni ya kila mtu acha mbali muungano wetu uloingia ubaguzi baina ya Watanganyika na Wazanzibar.

Inapofikia mahala watu mkaanza kujitazama na kutoa ajira kwa rangi zetu, Uraia wenu, basi ndio haya hutokea. Labda Wazenj wameona ajira serikali ya muungano imejaa Wabara tu kwa hiyo wanataka fursa hii nao wapewe ili kujihakikishia kuwa nao ni sehemu ya muungano.
Swali ni kuwa tulikuwa na tz bara na tz visiwani. Baada ya muda tz visiwani ikatoweka tena kwa kutumia katiba(rejea Mchambuzi). Vipi TZ imebaki kwa msingi gani.

Pili, hilo la kuajiriwa watu wa kabila au aina fulani ni eneo ulilo na ufundi nalo, najua unaelekea wapi, huko siendi.

Ninachotaka kukuambia ni kuwa wazanzibar wanakataa muungano hawataki Utanzania, isipokuwa, narudia pale tu watakapokuwa na Invoice au watakapoambiwa cheque imekamilika Dar es Salaam.
Hawataki Utanzania kwa katiba yao.

Kuhusu ajira, ni wznz hawa hawa wanalalamika kuwa wafanyakazi wasio wa muungano wanalipwa na muungano.
Wana hoja kuwa kama mfanyakazi wa halmashauri, wizara ya afya au kilimo kwanini wawe wa Tanzania?
Kinyume chake huko wanakolalamika ndiko walipopewa asilimia 21 na wanafurahi.

Maana yake ni kuwa wanakataa haramu lakini matunda ya haramu ni halali.
Sisi tunasema ni kweli kuhusu malalamiko yao, tunachotaka ajira zitengwe na njia muafaka ni uwepo wa Tanganyika.

Lakini pia wanapokuja kudai fursa ili wawe sehemu ya muungano kwa mujibu wako, unadhihirisha pasi na shaka ile kauli yetu kuwa wanachokitaka ni jina Tanzania ili wanufaike tu,si kuhudumia au kuwajibika.

Kumbuka, kule kwao nchini znz, Mtanganyika hapati ajira kwa ubaguzi wa kutumia kitambulisho cha uzanzibar ukaazi.
Hakuna kitambulisho hicho Kigoma, Tanga au Mbeya. Hili lina maana hawa watu ni wabaguzi wakubwa.

Naweza kusema kwa dhati kabisa kuwa kama kuna watu wanaligawa taifa hili kwa ubaguzi ni wazanzibar.
Hizi favor wanazopewa tena wakiwa hawana mchango wa aina yoyote zinawafanya wajione ni sehemu muhimu na watu special sana. Mbegu hiyo inaweza kusambaa kama hawatadhibitiwa. Wanajenga mbegu ya ubora ambayo hatuitaki hata kidogo. Hawana ubora, ni raia kama wengine tu

Kuwadhibiti ni huku kunakoendelea, kuwaambi ukweli bila haya tena tukiwasota madole ya macho. ZNZ ni tatizo,znz ni mzigo kwetu.

Hatuwahitaji kwa lolote, na hivyo ni wakati sasa, kwanza waambiwe ukweli ambao wanausoma na unawaingia.
Ukweli huo wanauita chuki lakini sisi tutawaambia bila haya. Tumechoka kujadili namna ya kusihi nao, wao wanapaswa na kulazimika kujadili namna ya kusihi nasi.

Kama hawaridhiki, njia nyeupee hakuna anayewashikilia. Wapo Dodoma na kamati za S2 zinaundwa na wznz.
 
Wanajamvi,

Jana nimeuliza swali moja. Hivio ni formula gani imetumika kwa zanzibar kupewa asilimia 21 ya ajira za muungano? a.k.a Tanganyika?

Mkandara kajitahidi kuwa mkweli jana kwa kusema hakuna formula inayotumika(Ahsante mkuu)

Hii maana yake wzan kwa kutumia makamu wa Rais wa JMT(mznz) makamu wa pili wa Rais znz(mzn), waziri muungano(znz) waziri wa fedha (znz) walikaa na kuamua tu wanataka kiasi fulani cha asilimia.

Ni kwa msingi huo asilimia 5 ya Tanzania inapewa 21% ya ajira, tena zisizowahusu.

Hili sasa lipo wazi Watanganyika wameliona. Unless mtu mwingine aje na maelezo tofauti, tunabaki kuamini kuwa huu ni wizi

Tutauliza, Kigoma wana asilimia ngapi, Tanga wana asilimia ngapi.
Mbegu ya ubaguzi imesafiri kutoka Unguja, inaingizwa bara na wazanzibar.
Labda kuna mwenye maelezo ya FORMULA Iliyotumika.

Sasa hivi tunauliza tena, hivi 4.5% ya znz ambayo inatoka muungano wasiochangia, in other words Tanganyika, imepatikana kwa formula gani.

Tunauliza hivi kwasababu wznz wanasubiri TRA ifanye kazi kuwakamua Watanganyika, wao ni neema.

Fikiria hivi, TRA ikikusanya kodi za Watanganyika kiasi cha Trilioni 30, znz haitahitaji kukusanya kodi au watu wake kufanya kazi kwa mwaka mzima. 4.5% ya Trilioni 30 ni takribani bilioni 700 ambazo ni bajeti nzima ya 2014

TRA wakikaza uzi na kukusanya Trilioni 60 znz ni kicheko tu.

Swali la pili, wanaojua watueleze ni FORMULA GANI imetumika.

Ngongo (mada yako iliyawhi kugusia hili)

Kobello Mchambuzi Mkandara EMT Bongolander Mag3 Happy Feet JokaKuu Alinda gfsonwin Mwigulu Nchemba John Mnyika Ritz Nyamizi Kichuguu Mzee Mwanakijiji

Wakubwa nisaidieni, haya mambo yananichanganya kidogo na kaelimu kangu ka std 7D(nilikuwa classs monitor hata hivyo)
 
Last edited by a moderator:
Sijakuuliza kuhusu tofauti ya tax and non tax revenues.

Kuhusu singida, bado hauna uelewa na kitu ninacho kuuliza. Let me rephrase the question and may be add a few more:

•Do you know why data reveals Kwamba Singida has a much higher GDP contribution kwa taifa than tax revenues contribution kwa taifa?

• Do you know why data shows Kwamba Zanzibar has much higher tax revenues than Singida?

Kumbuka mjadala wetu wa centralization of tax system (1964) kwa manufaa ya "Tanzania". Kwa maana nyingine nyepesi Kabisa, centralization of taxation and expenditure powers all over Tanganyika in the name of Tanzania, but on the other hand decentralization of tax and expenditure powers kwa mshirika mwingine wa muungano in the name of Zanzibar. Tafiti Mapato ya Zanzibar yalikuwa vipi Kabla ya kuanzishwa kwa ZRB.

Tuanze na haya kwanza.






Sent from my iPhone using JamiiForums
Jibu kwa maswali yako:
kwanza, Singida hupata on average 1billion Shs kwa mwezi kutoka tresury, kwa mwaka almost 12 billion Shs

[TD="colspan: 7"] Singida Region

[/TD]
[TD="width: 17%, colspan: 8"] -

[/TD]
[TD="width: 17%, colspan: 8"] -

[/TD]
[TD="width: 17%, colspan: 9"] -

[/TD]
[TD="width: 17%, colspan: 8"] -

[/TD]
[TD="width: 17%, colspan: 7"] -

[/TD]

[TD="width: 6%"] 842014

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] Singida

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 4"] MC

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] 1,674,000

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] 4,453,000

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 2"] 14,162,000

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] 31,351,600

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] 26,607,500

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] 6,722,000

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] 8,455,000

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] -

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 2"] 900,000

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] 19,975,000

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] 1,884,000

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 4"] 2,407,000

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] 12,551,000

[/TD]
[TD="width: 6%"] 131,142,100

[/TD]

[TD="width: 6%"] 843062

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] Singida

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 4"] DC

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] 5,860,000

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] 9,734,000

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 2"] 27,011,000

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] 9,935,100

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] 20,790,000

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] 17,958,000

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] 30,188,000

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] 2,240,000

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 2"] 2,400,000

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] 58,862,000

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] 5,765,000

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 4"] 10,555,000

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] 25,943,000

[/TD]
[TD="width: 6%"] 227,241,100

[/TD]

[TD="width: 7%, colspan: 2"] 843063

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 3"] Iramba

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 4"] DC

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 3"] 5,526,000

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 3"] 7,198,000

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 3"] 22,405,000

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 3"] 22,638,700

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 5"] 23,226,000

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 3"] 27,049,000

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 3"] 11,700,000

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 3"] 57,621,000

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 3"] 5,244,000

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 4"] 6,708,000

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 3"] 21,628,000

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 2"] 210,943,700

[/TD]

[TD="width: 7%, colspan: 2"] 843064

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 3"] Manyoni

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 4"] DC

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 3"] 5,539,000

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 3"] 4,372,000

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 3"] 15,256,000

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 3"] 10,098,200

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 5"] 10,880,000

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 3"] 15,191,000

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 3"] 9,900,000

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 3"] 34,125,000

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 3"] 5,109,000

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 4"] 6,000,000

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 3"] 16,804,500

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 2"] 133,274,700

[/TD]

[TD="width: 6%"] 843121

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] Ikungi

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 4"] DC

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] -

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] -

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 2"] -

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] -

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] -

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] -

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] -

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] 1,730,000

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 2"] 11,100,000

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] -

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] -

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 4"] -

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] 15,000,000

[/TD]
[TD="width: 6%"] 27,830,000

[/TD]

[TD="width: 6%"] 843122

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] Mkalama

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 4"] DC

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] -

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] -

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 2"] -

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] -

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] 35,096,900

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] -

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] -

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] 27,224,000

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 2"] -

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] -

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] -

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 4"] -

[/TD]
[TD="width: 6%, colspan: 3"] 15,000,000

[/TD]
[TD="width: 6%"] 77,320,900

[/TD]

[TD="width: 7%, colspan: 3"] 18,599,000

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 3"] 25,757,000

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 4"] 78,834,000

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 3"] 74,023,600

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 4"] 82,494,400

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 3"] 58,786,000

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 4"] 80,883,000

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 3"] 31,194,000

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 3"] 36,000,000

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 4"] 170,583,000

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 3"] 18,002,000

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 4"] 25,670,000

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 3"] 106,926,500

[/TD]
[TD="width: 7%, colspan: 3"] 807,752,500

[/TD]

Mkoa wa singida unaleta kodi ya Shilingi Bilioni 4 kwa mwaka.

Zanzibar on average wanapata 6-8 billion Shs kwa quarter moja, kwa hiyo kwa mwaka hupata 30-32 billion Shs kutoka TRA transfers. Zanzibar ina mikoa 5 kwa hiyo kila mkoa hupata kama 6 billion Shs kwa mwaka.

kwa hiyo, Singida ni mzigo zaidi kwa taifa.

Swali la pili,
zanibar ina vyanzo vingi na bora zaidi vya kodi kuliko Singida.
 
Kobello, tunaposema znz ichangie hatuna maana ichangie sawa. Tunajua ukubwa wa uchumi wake.
Msome Bongolander kaeleza kinaga ubaga kuhusu dhana halisi. kama hawezi ku raise 1 trillioni,

Kuchangia kwa namna nyingine kunaweza kuwa kupunguza gharama anazobeba Mtanganyika.

Mfano, znz ina Maritime organization yake, hakuna sababu ada zake kule International maritime (IMO) zilipwe na solely Tanganyika huku znz ikikusanya mapato yasiyoingia muungano.

@Bongolander pia kazungumzia dhana ya wazanzibar kudai haki bila kuangalia uwiano au uwajibikaji.

Wznz wanataka fursa sawa, wanataka haki katika mgao. Je, wanawajibika kiasi gani katika muungano?

Mfano, kama miaka 30 Mchambuzi) kaonyesha na gavana kathibitisha hawachangii hata ile sehemu wanayopaswa, wapi wanapata haki ya kudai wasichochangia tena kwa usawa. Kumbuka kauli yao ya muungano wa haki na usawa

Leo wamedai asilimia 21 ya ajira, labda mtueleze ni formula gani imetumika kuwapa na kwanini formula hiyo isitumikekuchangia muungano.

Imefika mahali kwamba wanadai haki hata zisizowahusu.
Kwanini shirika lao la umeme likusanye kodi, bill ya umeme wa znz alipe Mtanganyika kwa kutumia jina la JMT. Hivi kama wangelipa bill zao, huo si mchango katika muungano kwa kumpungiza mtanganyika zigo nene analohema nalo mgongoni.

Na mwisho, Kobello, kama unaamini znz hawawezi kuchangia muungano, ni kwanini basi tumeungana.
Nianze la mwisho, Zanzibar na Tanganyika hazijaungana kwa ajili ya mambo ya fedha, bali ziliungana ili ziwe nchi moja.
"Binadamu wote ni sawa na Afrika ni moja" thats TANU's philosophy.
SWAPO has the same philosophy, na ina wimbo wa Taifa la Africa pia. Wether it's practical or not, hiyo ndiyo "Imani' na ndiyo sababu. money was not a thing.
Ila hiyo haimaanishi kuwa basi tuwe irresponsible. no!, ila tujatibu kuweka policies za kushirikiana bila kuvunja haki ya upande wowote.
mimi kama Mtanzania sina tatizo na kuisaidia zanzibar as long as they want us to be united as one country. if they don't, mimi sina tatizo lolote wakianza. tena wala wasilete za kuleta.
Lakini naamini kuwa tupo wengi tunaotaka tuwe pamoja na tuafikiane kuhusu masuala ya muungano, bila hatred. kama hatupo wengi, na sababu zetu haziresonate, basi walio wengi wafuatwe.
nguvu hii itoke kwa wananchi na siyo wanasiasa. Tutakuwa na refferrendum, hatuna haja ya kuanzisha ugomvi usio na maana sasa hivi, tuwe wavumilivu kama scotland walivyofanya.

kodi zanzibar inaweza kukusanywa hata 1 trillion, wakapewa 500 million, muungano ukachukua 500million. Sijui kwanini hili haliwezekani. tatizo siyo mfumo, bali ni sisi wenyewe kazi kupiga kelel badala ya kuchapa mzigo.
 
Swali ni kuwa tulikuwa na tz bara na tz visiwani. Baada ya muda tz visiwani ikatoweka tena kwa kutumia katiba(rejea Mchambuzi). Vipi TZ imebaki kwa msingi gani.

Pili, hilo la kuajiriwa watu wa kabila au aina fulani ni eneo ulilo na ufundi nalo, najua unaelekea wapi, huko siendi.

Ninachotaka kukuambia ni kuwa wazanzibar wanakataa muungano hawataki Utanzania, isipokuwa, narudia pale tu watakapokuwa na Invoice au watakapoambiwa cheque imekamilika Dar es Salaam.
Hawataki Utanzania kwa katiba yao.

Kuhusu ajira, ni wznz hawa hawa wanalalamika kuwa wafanyakazi wasio wa muungano wanalipwa na muungano.
Wana hoja kuwa kama mfanyakazi wa halmashauri, wizara ya afya au kilimo kwanini wawe wa Tanzania?
Kinyume chake huko wanakolalamika ndiko walipopewa asilimia 21 na wanafurahi.

Maana yake ni kuwa wanakataa haramu lakini matunda ya haramu ni halali.
Sisi tunasema ni kweli kuhusu malalamiko yao, tunachotaka ajira zitengwe na njia muafaka ni uwepo wa Tanganyika.

Lakini pia wanapokuja kudai fursa ili wawe sehemu ya muungano kwa mujibu wako, unadhihirisha pasi na shaka ile kauli yetu kuwa wanachokitaka ni jina Tanzania ili wanufaike tu,si kuhudumia au kuwajibika.

Kumbuka, kule kwao nchini znz, Mtanganyika hapati ajira kwa ubaguzi wa kutumia kitambulisho cha uzanzibar ukaazi.
Hakuna kitambulisho hicho Kigoma, Tanga au Mbeya. Hili lina maana hawa watu ni wabaguzi wakubwa.

Naweza kusema kwa dhati kabisa kuwa kama kuna watu wanaligawa taifa hili kwa ubaguzi ni wazanzibar.
Hizi favor wanazopewa tena wakiwa hawana mchango wa aina yoyote zinawafanya wajione ni sehemu muhimu na watu special sana. Mbegu hiyo inaweza kusambaa kama hawatadhibitiwa. Wanajenga mbegu ya ubora ambayo hatuitaki hata kidogo. Hawana ubora, ni raia kama wengine tu

Kuwadhibiti ni huku kunakoendelea, kuwaambi ukweli bila haya tena tukiwasota madole ya macho. ZNZ ni tatizo,znz ni mzigo kwetu.

Hatuwahitaji kwa lolote, na hivyo ni wakati sasa, kwanza waambiwe ukweli ambao wanausoma na unawaingia.
Ukweli huo wanauita chuki lakini sisi tutawaambia bila haya. Tumechoka kujadili namna ya kusihi nao, wao wanapaswa na kulazimika kujadili namna ya kusihi nasi.

Kama hawaridhiki, njia nyeupee hakuna anayewashikilia. Wapo Dodoma na kamati za S2 zinaundwa na wznz.
Mkuu nijuavyo mimi kuna serikali ya Zanzibar toka wakati wa Nyerere lakini sijaona mahala kwenye katiba ikizungumzia nchi ya Zanzbar ama kurudishwa kwake ndani ya katiba, pengne nionyesheni mimi ndio sijaisoma vizuri. Au hujui tofauti baina ya nchi na serikali? Maana hata Kilimanjaro ni nchi wengi tunasema naenda Moshi, lakini bado Kilimanjaro inajitangaza yenyewe haijafa.

Kuhusu Wazanzibar ni sawa kabisa na Wascotland miaka yote wao wamejiita Wascot na kuukana Uingereza ama kuitwa UK. Wenzatu waliweza kuendeleza kujiita majina ya asili zao pasipo kuathiri muungano wala Katiba kwa miaka 300, sisi ndio kwanza miaka 50, WaZanzibar kijiita hivyo tayari imetuchosha, hivi kweli tumeunganisa majina tu kuwa ndio kigezo kikubwa cha muungano wetu.

Hata hainiingii akilini kuu wangu samahani sana naona ujinga tu maana tunaweza kujiita sisi wenyewe Watanganyika na ikafahamika hivyo. Hata wewe ukiulizwa na watu jija lako inategemea na ulowapa ukisema Mkandara watakuzoea kama Mkandara na sii Nguruvi3. Mimi nilipewa jina langu na wazazi wangu ambalo leo silitumii na wengi hawajui jina langu asili kwa saabu hujitambulisha kwa jina jingine. Dar iliitwa Mzizima kwa mkarne lakini lilipokuja jina la Dar leo tunaiita Bongo ipo kwenye katiba? haya Mzizima ikafa na sio kwa sababu nyingine zaidi ya sisi wenyewe kuitumia. nikupeni mifano mingapi mkuu wangu upate kuelewa! Jiite Mtanganyika itarudi haina mchawi nje bali mchawi ni sisi wenyewe.
 
Nianze la mwisho, Zanzibar na Tanganyika hazijaungana kwa ajili ya mambo ya fedha, bali ziliungana ili ziwe nchi moja.
"Binadamu wote ni sawa na Afrika ni moja" thats TANU's philosophy.
SWAPO has the same philosophy, na ina wimbo wa Taifa la Africa pia. Wether it's practical or not, hiyo ndiyo "Imani' na ndiyo sababu. money was not a thing.
Ila hiyo haimaanishi kuwa basi tuwe irresponsible. no!, ila tujatibu kuweka policies za kushirikiana bila kuvunja haki ya upande wowote.
mimi kama Mtanzania sina tatizo na kuisaidia zanzibar as long as they want us to be united as one country. if they don't, mimi sina tatizo lolote wakianza. tena wala wasilete za kuleta.
Lakini naamini kuwa tupo wengi tunaotaka tuwe pamoja na tuafikiane kuhusu masuala ya muungano, bila hatred. kama hatupo wengi, na sababu zetu haziresonate, basi walio wengi wafuatwe.
nguvu hii itoke kwa wananchi na siyo wanasiasa. Tutakuwa na refferrendum, hatuna haja ya kuanzisha ugomvi usio na maana sasa hivi, tuwe wavumilivu kama scotland walivyofanya.

kodi zanzibar inaweza kukusanywa hata 1 trillion, wakapewa 500 million, muungano ukachukua 500million. Sijui kwanini hili haliwezekani. tatizo siyo mfumo, bali ni sisi wenyewe kazi kupiga kelel badala ya kuchapa mzigo.
Hoja ya Panafiricanism ilikwenda na akina Nyerere, Kaunda, Nkrumah, Nasser, Boumedien n.k.

Hoja iliyopo ni muungano katika usalama, na usalama siku hizi si magobero ni uchumi.
Hata hivyo, Panafricanism haiwezekani kukiwa na ubinafsi na umimi.
Ndicho kilichotokea kwa EAC ya 1977

Kwa miaka mingi tulifahamu tunawasaidia wazanzibar. Hakuna aliyepiga kelele hata pale walipopata zaidi ya walichostahili.

Unatambua waliwasha taa mchana kutwa bill zikaletwa Tanganyika.
Mishahara inatoka Tanganyika tangu wajanja waanze kulima karafuu maabara. Na mambo kadha wa kadha.

Tatizo limeanza pale wznz wamedhani ni sehemu muhimu sana na bila wao Tanganyika haipo.

Walichoshindwa kuelewa,Kenya walitutupa mwaka 1977 na leo tunakwenda nao sambamba licha ya ugoigoi wa awamu hii ya uongozi.

Wazanzibar wakageuza misaada na ukimya wa Watanganyika kama haki yao.

Hawaji tena kwa mashauriano bali kiburi cha 'nataka, nipe, namimi''.

Tumeonyesha asilimia 21 ya ajira kama mfano wa mengi tusiyoeleza maana ni aibu tupu.

Huwezi kuomba 4.5% kama haki ukijua ni mali ya mtu. Leo wanaweza kulala tu kwasababu yupo Jombi Tanganyika ku-foot bill zao.

Ni kwa kiburi hicho ndipo wakaanza kusema hovyo, tena wakitukana wakoloni na matusi mengine.
Walisahau wapo mgongoni mwa Watanganyika wakaamua kucheza msewe hovyo.

Leo Watanganyika wameamka na kujua hata waliyokuwa hawayajui.

Hapo juu nimeuliza nani anaweza kutupa 'rationale'' ya znz kuchukua 4.5 ya Tanganyika.

Nasema Tanganyika kwasababu hakuna hata mwendawazimu mmoja asiyekubali kuwa hawana mchango katika muungano.

Kuhusu kuchangia Trilioni 1 na muungano kuchukua 500 na wao kubaki na 500 kisha kupata 98%, hilo ndilo lilikuwa linafanyika.

Walioanzisha mgogoro wa kutaka TRA ikusanye na kuacha znz ikiwa ni pamoja na ile ZRB ni wazanzibar.

Leo Watanganyika wakitaka Tanganyika yao baada ya wenzao kuwasusa wanaonekana wabaya.

Hatuwezi kuendelea kama mambo yanafanywa gizani tu.

Tunataka tujue ni kwanini asilimia 5 ya population ipewe 21% ya ajira na 4.5% ya pato la Tanganyika.

Tunauliza kwasababu wao si Watanzania na ni nchi yenye kila kitu (mkandara), sasa wapi nchi inayosimamia mambo ya Tanganyika.

Na tunauliza kwanini rasilimali za Tanganyika ndizo ziwe za muungano na wao kubaki na chao?

Kuhusu kuwa nchi moja, wznz hawataki kusikia hilo, wanachosema nchi yao ni ndogo na ina watu wachache hivyo ni rahisi kufanya management ya mambo yao.

Hicho ndicho kiliwakimbiza kuondoa rasilimali kama mafuta na gesi baada ya kusikia yapo madebe 47.
Ni umimi, ubinafsi, uchoyo na roho mbaya dhidi ya Watanganyika. Hatuwezi kuwa taifa moja katika hali hiyo.

Fikiria hivi, wznz wanataka ardhi iwe ya pamoja, halafu mafuta na gesi ambayo yapo ardhini yawe yao peke yao si ya taifa. Unawezaje kujenga taifa mmoja kukiwa na hali mbovu kama hiyo
 
Mkuu nijuavyo mimi kuna serikali ya Zanzibar toka wakati wa Nyerere lakini sijaona mahala kwenye katiba ikizungumzia nchi ya Zanzbar ama kurudishwa kwake ndani ya katiba, pengne nionyesheni mimi ndio sijaisoma vizuri. Au hujui tofauti baina ya nchi na serikali? Maana hata Kilimanjaro ni nchi wengi tunasema naenda Moshi, lakini bado Kilimanjaro inajitangaza yenyewe haijafa.

Kuhusu Wazanzibar ni sawa kabisa na Wascotland miaka yote wao wamejiita Wascot na kuukana Uingereza ama kuitwa UK. Wenzatu waliweza kuendeleza kujiita majina ya asili zao pasipo kuathiri muungano wala Katiba kwa miaka 300, sisi ndio kwanza miaka 50, WaZanzibar kijiita hivyo tayari imetuchosha, hivi kweli tumeunganisa majina tu kuwa ndio kigezo kikubwa cha muungano wetu.

Hata hainiingii akilini kuu wangu samahani sana naona ujinga tu maana tunaweza kujiita sisi wenyewe Watanganyika na ikafahamika hivyo. Hata wewe ukiulizwa na watu jija lako inategemea na ulowapa ukisema Mkandara watakuzoea kama Mkandara na sii Nguruvi3. Mimi nilipewa jina langu na wazazi wangu ambalo leo silitumii na wengi hawajui jina langu asili kwa saabu hujitambulisha kwa jina jingine. Dar iliitwa Mzizima kwa mkarne lakini lilipokuja jina la Dar, Mzizima ikafa na sio kwa sababu nyingine zaidi ya sisi wenyewe kuitumia. nikupeni mifano mingapi mkuu wangu upate kuelewa! Jiite Mtanganyika itarudi haina mchawi nje bali mchawi ni sisi wenyewe.
Mkuu hiyo nchi ya Kilimanjaro sijui ipo wapi.
Hatuwahi kusikia katiba, bunge, mahakama aua Rais wa Kilimanjaro. Rais wa Kilimanjaro anateuliwa magogoni na mpangaji wa jengo hilo. Hapa nasoma zaidi ulivyoanza na uchaga na sasa ukilimanjaro. Huko siendi kwasababu nina akili njema kabis.

Pili, Mchambuzi , mkuu anahitaji kujua Tanzania visiwani ilianza na kutoweka vipi. Tusaidie muungwana!

Kuhusu wascot na Uingereza, umeongea vema sana. Kama wameweza kubaki na majina yao kwa miaka 300, tukiwa na England, Wales, Ireland na Scotland kama nchi na taifa moja, kwanini sisi tuone tabu kubakisha zanzibar na Tanganyika?
Uhalali wa kubaki znz na ule wa kutoweka Tanganyika unatoka wapi na kwasababu gani.

Kuhusu jina, tumekueleza mara nyingi kuwa tunataka tutenganishe mambo ya Tanganyika na ya znz. Wlaioanzisha hivyo si Watanganyika ni wazanzibar. In fact kuna vijana walikuwa hawajui hata neno hilo, waliolipigia ngoma na debe ni Zanzibar. Nasi tunaona ipo haja, na hii ndiyo sababu.
1. Ili tuwe na utamaduni na utaifa wetu kama walivyo England na Scotland
2. Tuzuie matumizi mabaya wanayofanya wznz kwa jina la Tanzania.
3. Tanganyika ipate fiscal autonomy ya kufanya mambo yao
4. Zanzibar ipate fursa za kujulikana duniani, kwenda kukopa IMF, WB na kupata mgao huko EAC n.k
5. Tuweze kutenga nini deni la Tanganyika lisilowahusu wznz, nini rasilimali za znz zisizowahusu Watanganyika

Orodha ni ndefu inaendela.

Hatuwezi kufanya hivyo na kuondokana na malalamiko ya kuvaa koti kama bado tu Tanzania.
Tanzania ni Tanganyika na zanzibar, na hapo ni kutoa mwanya kwa wazanzibar kutumia jina hilo wakati wanaleta invoice na kuchukua cheque wakituachia madeni na bill. Hatuwezi kuwakataza kwasababu nao ni Tanzania.

Mfano, wewe umeunga mkono znz kuondoa mafuta na gesi ili waweze kumiliki rasilimali zao(nukuu ipo mkuu)
Leo mznz akibafuliwa Tanganyika ni kosa kwasababu ni Mtanzania.

Na hapo hapo ardhi ya Tanganyika imekuwa ya Tanzania wznz wakiwemo. Sasa jiulize mafuta na gesi yapo ardhini, unawezaje kuwa na uhalali wa kuondoa mafuta kama rasilimali za wznz ukabaki na ardhi kama rasilimali ya Tanzania.

Hili jina hutaki liwepo, unafahamu ukweli kuwa litaondoa utegemezi na ujambazi unaofanywa na wazanzibar.
Sisi runasema hatutaki kunyonya znz(kwanza ni ng'ombe asiye na kiwele) na wala hatuhitaji kuwakwamisha.
Njia rahisi na muafaka ni wao kuwa na yao na sisi yetu, kama ipo haja tuwe na ya pamoja ya kuwasaidia.

Hatuwezi kuweka madeni na rasilimali za Tanganyika kama za muungano. Ni unfair kwa pande zote mbili
 
Hoja ya Panafiricanism ilikwenda na akina Nyerere, Kaunda, Nkrumah, Nasser, Boumedien n.k.

Hoja iliyopo ni muungano katika usalama, na usalama siku hizi si magobero ni uchumi.
Hata hivyo, Panafricanism haiwezekani kukiwa na ubinafsi na umimi.
Ndicho kilichotokea kwa EAC ya 1977

Kwa miaka mingi tulifahamu tunawasaidia wazanzibar. Hakuna aliyepiga kelele hata pale walipopata zaidi ya walichostahili.

Unatambua waliwasha taa mchana kutwa bill zikaletwa Tanganyika.
Mishahara inatoka Tanganyika tangu wajanja waanze kulima karafuu maabara. Na mambo kadha wa kadha.

Tatizo limeanza pale wznz wamedhani ni sehemu muhimu sana na bila wao Tanganyika haipo.

Walichoshindwa kuelewa,Kenya walitutupa mwaka 1977 na leo tunakwenda nao sambamba licha ya ugoigoi wa awamu hii ya uongozi.

Wazanzibar wakageuza misaada na ukimya wa Watanganyika kama haki yao.

Hawaji tena kwa mashauriano bali kiburi cha 'nataka, nipe, namimi''.

Tumeonyesha asilimia 21 ya ajira kama mfano wa mengi tusiyoeleza maana ni aibu tupu.

Huwezi kuomba 4.5% kama haki ukijua ni mali ya mtu. Leo wanaweza kulala tu kwasababu yupo Jombi Tanganyika ku-foot bill zao.

Ni kwa kiburi hicho ndipo wakaanza kusema hovyo, tena wakitukana wakoloni na matusi mengine.
Walisahau wapo mgongoni mwa Watanganyika wakaamua kucheza msewe hovyo.

Leo Watanganyika wameamka na kujua hata waliyokuwa hawayajui.

Hapo juu nimeuliza nani anaweza kutupa 'rationale'' ya znz kuchukua 4.5 ya Tanganyika.

Nasema Tanganyika kwasababu hakuna hata mwendawazimu mmoja asiyekubali kuwa hawana mchango katika muungano.

Kuhusu kuchangia Trilioni 1 na muungano kuchukua 500 na wao kubaki na 500 kisha kupata 98%, hilo ndilo lilikuwa linafanyika.

Walioanzisha mgogoro wa kutaka TRA ikusanye na kuacha znz ikiwa ni pamoja na ile ZRB ni wazanzibar.

Leo Watanganyika wakitaka Tanganyika yao baada ya wenzao kuwasusa wanaonekana wabaya.

Hatuwezi kuendelea kama mambo yanafanywa gizani tu.

Tunataka tujue ni kwanini asilimia 5 ya population ipewe 21% ya ajira na 4.5% ya pato la Tanganyika.

Tunauliza kwasababu wao si Watanzania na ni nchi yenye kila kitu (mkandara), sasa wapi nchi inayosimamia mambo ya Tanganyika.

Na tunauliza kwanini rasilimali za Tanganyika ndizo ziwe za muungano na wao kubaki na chao?

Kuhusu kuwa nchi moja, wznz hawataki kusikia hilo, wanachosema nchi yao ni ndogo na ina watu wachache hivyo ni rahisi kufanya management ya mambo yao.

Hicho ndicho kiliwakimbiza kuondoa rasilimali kama mafuta na gesi baada ya kusikia yapo madebe 47.
Ni umimi, ubinafsi, uchoyo na roho mbaya dhidi ya Watanganyika. Hatuwezi kuwa taifa moja katika hali hiyo.

Fikiria hivi, wznz wanataka ardhi iwe ya pamoja, halafu mafuta na gesi ambayo yapo ardhini yawe yao peke yao si ya taifa. Unawezaje kujenga taifa mmoja kukiwa na hali mbovu kama hiyo
Kwanini Turkey haikubaliwi EU? Wakati nch kama Spain, portugal na Greece zipo EU? Na umasikini wao?
Hotuba na maandishi mengi, yanchosha na yanakera. Afadhali ungetumia bullets na uweke points chache kwa bandiko.

The post is too long!, halafu ni hotuba tu ya kihisia.
 
Happy feet , kwanza nianze na ulipomalizia.
Kwamba, wazanzibarwapewe fursa ili uone kama wanataka muungano au la. Hoja hii ni hafifu sanakwasababu sisi hatuwahitaji kwa maendeleo yetu na hivyo muda wa kuwabembelezahaupo.

Mkuu nilipoiona hii post particularly the point above the first thing that came into my mind ni kwamba hapa sijadiliani na mtu ambae anapigania maslahi ya bara ndani ya muungano; bali ni mtoa hoja asietaka kusikia habari za muungano. Sasa basi kutochanganya madawa na hili kujitendea haki ni bora kuweka msimamo na viewpoints zako wazi ili zijibiwe stahiki kwa minajili ya kutetea muungano maana wengine tunajadili jinsi ya kuuboresha as opposed to uwepo wake. Ilihali wewe hoja zako zime elekea kutokuwepo weka msimamo unaoeleweka upate majibu yanayo stahili; kwa sasa niendelee na namna za kuuboresha.

While we are in the same line of reasoning jumlisha na kichwa cha habari ya mada yako its only fair nikupe quote of the day kutoka kwa 'Ruth Davidson' Conservative leader in Scotland' wakati anahutubia kwenye mkutano wao asubuhi ya leo "Hivi tunaposema hela ya serikari tunamaana gani? Alex Salmond amekuwa mwepesi sana kuikashifu West Minister kwamba awatoi mgao sawa kwenye 'block grant' wakati mapato ya serikari ni kodi zinazotokana na viwanda na hela za walipa kodi. Hela hizo hizo zinapofanya vizuri kwenye miradi ya serikari anataka SNP wachukue sifa kunapokuwa na malalamiko utamsikia West Minister inatunyonya. Tunanyonywa vipi wakati na sisi tuna viwanda vyetu na tunaweza pata mapato yetu na sasa tuna negotiate kupata mikopo yetu wenyewe ya maendeleo na kuamua tunawekeza vipi. Ndugu zangu hoja za wenzetu azipo kutaka muungano bali ni za utaifa hivyo basi tusije shangaa baada ya miaka mitano au kumi mbele wakaja tena na malalamiko mapya baada ya kutatuliwa ya leo na kudai taifa huru kwa sababu muungano is not in their interest at heart lakini wajue kabisa huko mbele watakutana na watu kama sisi tena kuwapinga na kutetea muungano bila yakuacha maslahi ya Scotland".

Huyo mdada kwa upande wangu kamaliza kila kitu mapato ya bandari ya ZnZ uitaji kupewa kitabu chao kujua si lolote si chochote kutokana na hali ya uchumi wao na makusanyo yao ZRA yatakuwa ndio yale yale kuna industry gani ZnZ mpaka hao ZRA wapate enough to run the government na mgao wa hela za Visa ukoje?

Sasa basi kwakuwa ni part of this nation Tanzania bara imekuwa ikichukua majukumu makubwa ya kufidia uendeshwaji wa serikari yao, utegemei eti wapate sawa na mkoa wakati kama nchi wana baraza la mawaziri, bunge lao na government agencies inayofanya administration iwe kubwa as opposite na ofisi ya mkuu wa mkoa sijui wilaya jumlisha serikari za mitaa (tena ambazo bado zina primary carer kama wizara zinazopata budget kubwa tu) hivi kweli Bandari na Mapato ya Zanzibar kwa sasa yatweza endesha serikari yao; ni hadithi kuweza kumudu gharama. Kwasasa ata ukiangalia kwenye figures za GDP yetu nationally private sector mchango wake ni hafifu sana kwenye PAYE na asilimia kubwa ya wafanyakazi wa Tanzania ni government empoyees. Kwa maana hiyo kidogo tunachopata kinarudi serikarini kuendesha serikari kote bara na visiwani; why it is important to enlarge the private sector.

Sasa basi kwakuwa serikari ya bara aitoi hela za miradi mikubwa ZnZ, na wenyewe wana lalamika awapati fursa za kuweza kutoka kama taifa na kuinada nchi yao kama bara inavyoweza fanya uwanja wa kimataifa, awapati fursa za kuweza kukopa na kupanga mikakati yao ya uwekezaji hakuna mtu mwenye akili timamu asieweza ona hili ni tatizo, ata huko Scotland, Wales na N.I hoja ya msingi ni hii. Hawawezi subiri wapangiwe na westminister wakati wapo responsible na wananchi wao na hakuna sababu ya kuwa na mabunge ambayo mapato yake largerly ni kutoka west minister. Hii ni legitimate quarry kwenye miungano ndio maana kuna umuhimu wa Zanzibar kupewa further economic devolution waweze ridhika na muungano na wachangie proportionately for what they receive in the union kwa perspective ya kuboresha muungano si ya kuvunja muungano.

Considering hali halisi na mazingira ya ZnZ investment is necessary kuchochea maendeleo hawana option furthermore a flexible fiscal autonomy is also necessary to boost its economic position, sidhani kama wanaitaji mlolongo wa maraisi na madai ya kutaka 21% ya ajira serikarini yanaweza kuwa chanzo chake hapahapa ukosefu wa ajira ZnZ na kukosa mbinu za kutengeneza kutokana na koti la muungano kuvaliwa na bara.
_77876521_ruth.jpg


Scottish Conservative leader Ruth Davidson has promised her party will help "re-shape" the United Kingdom.

Ruth Davidson was given a thumbs up by the Prime Minister and a standing ovation as she concluded her speech to the party's autumn conference in Birmingham.
She said it was important not to ignore the 1.6 million voters who supported independence.

She added that the referendum showed Scotland wanted change.

"The status quo is smashed. A new settlement is not just for Scotland," she told representatives. "We will reshape our nation, we will recraft our Union, we will make it fit for the next 300 years."

Ms Davidson said Holyrood should become less reliant on a block grant and more fiscally responsible and be able to look "taxpayers in the eye".

But she said it was right that the Prime Minister considered change across the constituent parts of the UK and criticised Labour and the Lib Dems for lacking the "clarity of vision" of the Tories.

Ms Davidson said: "I want a Scottish Parliament that is in charge of raising more of the money it spends. I want the working people of Scotland to know - when they look at their monthly paycheck - that the right hand column is going straight to Holyrood.

"A more direct link between what is raised in Scotland and what is spent in Scotland.

"Less reliance on a block grant, and a more rigorous and fiscally responsible administration in Edinburgh."

She added: "People across the UK are hungry for change. Now.

"They want power driven out of Whitehall and into their communities. They want decisions taken not just at Westminster, but closer to home.
"That desire, that demand, must be what drives us on."
http://www.bbc.co.uk/news/uk-scotland-scotland-politics-29403075 relate to what I had been saying all along prior to this speech, ndio utaelewa siasa azitaki hisia bali ufahamu.
 
Thats not what "Union" means.
Sorry ila hilo halipo kwenye muungano wowote ule, hata confederations kama EU bado kuna mataifa kama Germany yanazibeba nchi nyingine kwa ku-zibailout etc...
Nilijua wapi unasimamia, nia yangu uji-expose mwenyewe. Dhana yako kuhusu muungano ndiyo tatizo linaloathiri theory yako kuhusu muungano. You are completely wrong.

well umenifurahisha sana mkuu.....inatakiwa tuseme wazi kabisa kuwa we are bailing them out. But i t has to be very clear, that we do not have the economy of bailing out other country while we have loads of our own troubles. and we are bailing out someone who is not thankful at all. Tunakuwa kama tuna upendo wa mshumaa kwa Zanzibar.

Just for the record. Msimamo wangu ni serikali moja ya Tanzania, siungi mkono mfumo wa sasa wa serikali mbili in whatever exploitative form. My question has always been, kwanini CCM imeshindwa kupiga hatua ya kuunganisha nchi kuwa moja, imejaribu kutuleta kwenye hatua nzuri kuelekea Umoja kwa kuwa na Rais na makamu mmoja, lakini sasa inaturudisha nyuma kwa kuongeza makamu wanne.

Ninaposema naunga mkono serikali tatu, kwa kuwa naona hili la kubail out nchi nyingine halifai, it is better we have three government tier sytem, which will be fairer to both parties. sio ya sasa ambayo ni unfair. Au kama kweli tuko makini tukibali wazi kabisa kuwa Unguja ni watu wa kuwa-bail out wawe mkoa kama Singida na Kigoma au mkoa mwingine wa TZ. They can not have it both ways.
 
Kwanini Turkey haikubaliwi EU? Wakati nch kama Spain, portugal na Greece zipo EU? Na umasikini wao?
Hotuba na maandishi mengi, yanchosha na yanakera. Afadhali ungetumia bullets na uweke points chache kwa bandiko.

The post is too long!, halafu ni hotuba tu ya kihisia.
Mkuu huna ulazima wa kusoma nilichoandika.
Unaweza kuachakusoma tu, wengine watasoma. Kila mmoja ana namna yake ya kuwakilisha mawazo.


Kinachokuumiza si maandishi ni uzito wa hoja ambazo hamtaki kuzisikia.
Nimeuliza formula iliyotumika kupata asilimia 21 ya ajira na4.5% ya mapato ya Tanganyika ni ipi?

Nina uhakika kabisa wengine hamna majibu na mnauona ukweli, hilo linawachoma.
EU na muungano wa Tanzania ni vitu viwili tofauti kabisamkuu.

Kunajumuiya na muungano ingawa unaweza kuchukua union kwa tafsiri unayotaka,ni hiari kutafuta weledi au kubaki


EU ina matatizo, Ujerumani wanataka ‘dotch Mark'' irudi,wamechoka ku bailout akina Italy na Spain. Uingereza wana kura ya maoni, naowamechoka ku bailout wategemezi.

Ndivyo ilivyo Tanzania, tumechoka ku bail outznz kwa miaka 50 kwa jina la Tanzania.


Swali lako la Turky, kwa maelezo hayo machache linakuwaredundant, umeelewa mkuu Kobelo
 
Happy Feet;10753542]Mkuu nilipoiona hii post particularlythe point above the first thing that came into my mind ni kwamba hapasijadiliani na mtu ambae anapigania maslahi ya bara ndani ya muungano; bali nimtoa hoja asietaka kusikia habari za muungano. Sasa basi kutochanganya madawana hili kujitendea haki ni bora kuweka msimamo na viewpoints zako wazi ilizijibiwe stahiki kwa minajili ya kutetea muungano maana wengine tunajadilijinsi ya kuuboresha as opposed to uwepo wake. Ilihali wewe hoja zako zimeelekea kutokuwepo weka msimamo unaoeleweka upate majibu yanayo stahili; kwasasa niendelee na namna za kuuboresha.
Ninashaka na ugeni wako hapa jamvini maanamsimamo wangu unafahamika, rekodi zipo .
Kwa faida yako, ninaamini katika muungano ulio na tija, usio na usumbufu wala kelele zisizokwisha. Kwa muungano wetu, ninaamini S2 ni upuuzi na wanaodhani inawezekana wapo katika denial state, psychiatry consultation ina hitajika


Ninaamini katika S3 kwa sababu zilizowazi . Kwamba S1 haiwezekani chini ya kiburi, narcissism, egoism and ufahamu kutoka huko.
Naamini Tanganyika inahitaji nafasi ya kupanga nankuamuahatima yake bila kubeba mizigo. Kama S3 haiwezekani naamini katika kuvunja jahazina kugawana mbao. Nimesema maneno haya miaka 4 sasa bila kubadilika.

Wapo wanaoamini S2 maboresho, hawa nao wanahitaji serous mental examkwasababu miaka 50 na tume 48 hakuna maboresho bado wanaamini maajabu yaponjiani.

Ni wewe na akina Sitta, na hilo sitajadili kwasababu kujadili ni kutoauhalali kwa mzoga , hilo endelea kujadiliana na Nape na Sitta. Vipi hapo Dodoma mnaendeleaje ?



 
[Happy Feet;10753542]Hela hizo hizo zinapofanyavizuri kwenye miradi ya serikari anataka SNP wachukue sifa kunapokuwa namalalamiko utamsikia West Minister inatunyonya. Kuna tofauti gani na znz?Wakifanya vema SMZ inafanya kazi, wakibofoa muungano unatuumiza. Mvuvi akikosasamaki ni sababu ya muungano.
Tunanyonywa vipi wakati na sisi tuna viwanda vyetu natunaweza pata mapato yetu na sasa tuna negotiate kupata mikopo yetu wenyewe yamaendeleo na kuamua tunawekeza vipi.
Kila kilichopo ni cha muungano, nitajiekimoja tu ambacho znz haruhusiwi ima kushirika au kupata ndani ya ''Tanzania bara'' nchi unayoijua wewe maana haijawahi kuwepo
Ndugu zangu hojaza wenzetu azipo kutaka muungano bali ni za utaifa hivyo basi tusije shangaabaada ya miaka mitano au kumi mbele wakaja tena na malalamiko mapya baada yakutatuliwa ya leo na kudai taifa huru kwa sababu muungano is not in theirinterest at heart lakini wajue kabisa huko mbele watakutana na watu kama sisitena kuwapinga na kutetea muungano bila yakuacha maslahi ya Scotland".
Hapana mzanzibar si Mtanganyika, utaifa gani unaongelea wewe!! Wznz ni wazanzibar siWatanzania unless ana invoice au cheque ya kuchukua Hazina Dar
Huyo mdada kwa upande wangu kamaliza kila kitu mapato ya bandari ya ZnZ uitajikupewa kitabu chao kujua si lolote si chochote kutokana na hali ya uchumi waona makusanyo yao ZRA yatakuwa ndio yale yale kuna industry gani ZnZ mpaka haoZRA wapate enough to run the government na mgao wa hela za Visa ukoje?Kilichowakimbiza kuondoa katika muungano ni kitu gani?

Sasa basi kwakuwa ni part of this nation Tanzania bara imekuwa ikichukuamajukumu makubwa ya kufidia uendeshwaji wa serikari yao, utegemei eti wapatesawa na mkoa wakati kama nchi wana baraza la mawaziri, bunge lao na governmentagencies inayofanya administration iwe kubwa as opposite na ofisi ya mkuu wamkoa sijui wilaya jumlisha serikari za mitaa (tena ambazo bado zina primarycarer kama wizara zinazopata budget kubwa tu) hivi kweli Bandari na Mapato yaZanzibar kwa sasa yatweza endesha serikari yao; ni hadithi kuweza kumudugharama. Kwasasa ata ukiangalia kwenye figures za GDP yetu nationally private sectormchango wake ni hafifu sana kwenye PAYE na asilimia kubwa ya wafanyakazi waTanzania ni government empoyees. Kwa maana hiyo kidogo tunachopata kinarudiserikarini kuendesha serikari kote bara na visiwani; why it is important toenlarge the private sector. Wataweza kabisa, wasingeweza basi tusingeonautitiri wa makamu wa Rais na vyeo viingi kwa kanchi kadogo kama znz
. Inakuwajewakiwa katika muungano wanaweza ,wakiwa wenyewe hawawezi
Sasa basi kwakuwa serikari ya bara aitoi hela za miradi mikubwa ZnZ, na wenyewewana lalamika awapati fursa za kuweza kutoka kama taifa na kuinada nchi yaokama bara
Hakuna kitu kinachoitwa serika ya Tanzania bara.

Ndio maana nimesema ukijitoa ufahamu kidogo tu utajikuta unasema hovyo.
Huwezi kuwa na JMT ukaitaTanzania bara, please unachosha ndugu yangu.

Hatujwahi kuwa na taifa laTanzania bara, wala serikali ya Tanzania bara.
Unless useme Tanganyika. Unaona kwanini nasema wanaotete S2 waangalie afya zao.

Hapa serikali ya Tanzania bara ni ipi? Very strange halafu unadai una ufahamu na si hisia. Please hizi nihisia tu, ufahamu hauruhusu kabisa kusema serikali ya Tanzania bara maanahaijawahi kuwepo. Kama una maana ya JMT basi ujue si ya Tanzania bara.

inavyoweza fanya uwanja wa kimataifa, awapati fursa zakuweza kukopa na kupanga mikakati yao ya uwekezaji hakuna mtu mwenye akilitimamu asieweza ona hili ni tatizo, ata huko Scotland, Wales na N.I hoja yamsingi ni hii. Hawawezi subiri wapangiwe na westminister wakati waporesponsible na wananchi wao na hakuna sababu ya kuwa na mabunge ambayo mapatoyake largerly ni kutoka west minister. Hii ni legitimate quarry kwenye miunganondio maana kuna umuhimu wa Zanzibar kupewa further economic devolution wawezeridhika na muungano na wachangie proportionately for what they receive in theunion kwa perspective ya kuboresha muungano si ya kuvunja muungano.
Njekimataifa ipo Tanzania, hakuna serikali ya Tanzania bara. Ukishakwepa nenoTanganyika unabaki kuwa kicheko. Mkuu hoja zako hazijibiki kwasababu unaongeleakitu kisichokuwepo, hizo ni hisia na matatizo ya kusoma headline za BBC. Tafadhallilinda heshima ya jamvi, hakuna kitu kinaitwa serikali ya Tanzania bara, na walahaijawahi kuwa katika mataifa ya dunia hii.
Considering hali halisi na mazingira ya ZnZ investment is necessary kuchocheamaendeleo hawana option furthermore a flexible fiscal autonomy is alsonecessary to boost its economic position, sidhani kama wanaitaji mlolongo wamaraisi na madai ya kutaka 21% ya ajira serikarini yanaweza kuwa chanzo chakehapahapa ukosefu wa ajira ZnZ na kukosa mbinu za kutengeneza kutokana na kotila muungano kuvaliwa na bara.
True color! Kama tumevaa koti la muungano, huonikuna umuhimu wa kulivua? Huwezi kuwa na JMT na Zanzibar ukaepuka koti lamuungano. Unaposema wapewe zaidi, hiyo ndio tunakataa. Nimekuuliza rationale yawao kupata 4.5% ya pato la Tanganyika, huna jibu. Nikakuuliza rationale ya 21huna jibu. Nimekuuliza ulinzi na usalama, mambo ya ndani na nje, bajeti ya SMZinasemaje, huna jibu, sasa unataka waendelee kulala ufukweni tuu tukiwalipiabill. Hadi sasa hivi hawahitaji kufanya kazi, wanachotakiwa ni kuomba dua TRATanganyika wakusanye zaidi, zao zipo tayari. No way hilo linahitajipunguani kidogo, mtu mwenye kujalivizazi vijavyo hatalifikiria achilia mbali kulikubali
http://www.bbc.co.uk/news/uk-scotland-scotland-politics-29403075relate to what I had been saying all along prior to this speech, ndio utaelewasiasa azitaki hisia bali ufahamu.
Kwanza, nikushukuru sana kwa link ya BBC.Nimekuwa napoteza muda wangu kusoma Hauffington Post, Times,The mail na vitabukumbe ningeweza kupata ufahamu kwa headin za BBC. Leo ningekuwa najua serikaliya Tanzania bara ipo na iafanya kazi kwa nchi ya Tanzania bara.

Happy feet nimependa mchango wako kwasababu moja kubwa,unafanana sana na michango ya swahiba wangu Mkandara. Sijui mumewahi kusomapamoja au mpo wote huko. Ahsante


cc Bongolander Kobello Mchambuzi



 
Last edited by a moderator:
Sijamuuliza Nguruvi3 ila the logic behind ni kuwa just because the Policy is poorly executed, it doesn't mean that it's a bad policy.

Zanzibar wanaweza kukusanya more than 10% ya Bara (If TRA executes well), na wakifanya hivyo - according the present agreement - nusu ya fedha hizo zitakuja kwenye muungano. na nusu (4.5%) zitarudi Zanzibar.


Nilipo red naomba ufafanuzi wako kwani pamenipa mushkira kidogo kuelewa
 
Sijamuuliza Nguruvi3 ila the logic behind ni kuwa just because the Policy is poorly executed, it doesn't mean that it's a bad policy.

Zanzibar wanaweza kukusanya more than 10% ya Bara (If TRA executes well), na wakifanya hivyo - according the present agreement - nusu ya fedha hizo zitakuja kwenye muungano. na nusu (4.5%) zitarudi Zanzibar.


Nilipo RED

Naomba ufafanuzi wako kwa kina katika statement hiyo kwani inanipa mushkira kukufahamu.

Nilipo Underline

Hilo haliwezekanni hata siku moja hata TRA wawakamue mpaka mavi tumboni haiwezekani kabisa kutokana na uchumi wa Znz ambao zaidi unategemea zaidi bandari, utalii, biashara na kilimo ukilinganisha na TGK ambayo imesheheni mengi sana ukijumlisha na ukubwa wake na idadi yake ya watu.

Mara zote nakuhasa unapozungumza mambo ya uchumi kama haya ni laazima uangalie population na ukubwa wa nchi ndio ujikite vyanzo mbalimbali vya mapato na matumizi katika kupata mapato hayo.

Siku njema
 
Nguruvi3

Amazing unaita watu wana hisia na denial kwa kutumia neno Tanzania bara wakati in the real world ndio uhalisia wenyewe. Sasa ni sehemu gani kwenye katiba yetu, taasisi za serikari au kwenye elimu yetu neno Tanganyika kama reference ya bara inatumika? Jibu lake utajua ni nani mwenye denial na mwenye kuitaji kukalishwa kwenye 'psychiatrist chair' or be given some form of adjustment treatment; clinging to Tanganyika name is more than a shock understood by experts which derives with negative significant event that is if we give the benefit of the doubt surely a name can not override principles in fighting for the course.

Principles it is kwa upande wangu na uhalisia si fikira za mtu ambazo hazina ukweli mmekuwa mkileta madai ya kuwa Zanzibar imekuwa ikibebwa na bara my last post nimukuwekea elements zinazoifanya ZnZ iwe tegemezi sasa basi nilitegemea labda uje ukosoe au ufafanue tools ambazo serikari zinatumia kwenye dunia kujiendeleza na kama kweli ZnZ wanazo hili wasipate hizo hela za madini na utajiri wa bara directly. Utuletee ukweli wa kuwa labda kuna kitengo huko BoT kinacho facilitate madeni ya ZnZ, kama wanaweza kwenda IMF world bank kwa siasa za sasa na kupata treatment za taifa hili nikubali hoja zenu maana ka Rwanda kaduchu kana daiwa almost equal to Tanzania if not more na wanajitapa kuendelea je ZnZ bado wanazo hizo nafasi na kwanini hawazitumii kama hawana solution ni zipi au wajiendeleze vipi bila ya kutegemea bara.

Habari za jina embu tuziache kwanza tuwekane sawa kwenye hoja yenu maana Singida aiwezi kujitenga na wala aikuwahi kutambulika kama taifa so kamwe aiwezi kuwa na madai ya ZnZ.
 
well umenifurahisha sana mkuu.....inatakiwa tuseme wazi kabisa kuwa we are bailing them out. But i t has to be very clear, that we do not have the economy of bailing out other country while we have loads of our own troubles. and we are bailing out someone who is not thankful at all. Tunakuwa kama tuna upendo wa mshumaa kwa Zanzibar.

Just for the record. Msimamo wangu ni serikali moja ya Tanzania, siungi mkono mfumo wa sasa wa serikali mbili in whatever exploitative form. My question has always been, kwanini CCM imeshindwa kupiga hatua ya kuunganisha nchi kuwa moja, imejaribu kutuleta kwenye hatua nzuri kuelekea Umoja kwa kuwa na Rais na makamu mmoja, lakini sasa inaturudisha nyuma kwa kuongeza makamu wanne.

Ninaposema naunga mkono serikali tatu, kwa kuwa naona hili la kubail out nchi nyingine halifai, it is better we have three government tier sytem, which will be fairer to both parties. sio ya sasa ambayo ni unfair. Au kama kweli tuko makini tukibali wazi kabisa kuwa Unguja ni watu wa kuwa-bail out wawe mkoa kama Singida na Kigoma au mkoa mwingine wa TZ. They can not have it both ways.
Hakuna uhusiano wowote kati ya idadi za serikali na ku-bail out.
Kama nilivyosema, achilia mbali federations, hata confederations kuna bail-out (As you'd like it to be called).
Kwa hiyo, hapo tena umekosea (kosa lako ni dhana, siyo hisia kama wengine) kwa sababu miungano na bailouts ni sawa na korosho na bibo.
 
Nilipo RED

Naomba ufafanuzi wako kwa kina katika statement hiyo kwani inanipa mushkira kukufahamu.

Nilipo Underline

Hilo haliwezekanni hata siku moja hata TRA wawakamue mpaka mavi tumboni haiwezekani kabisa kutokana na uchumi wa Znz ambao zaidi unategemea zaidi bandari, utalii, biashara na kilimo ukilinganisha na TGK ambayo imesheheni mengi sana ukijumlisha na ukubwa wake na idadi yake ya watu.

Mara zote nakuhasa unapozungumza mambo ya uchumi kama haya ni laazima uangalie population na ukubwa wa nchi ndio ujikite vyanzo mbalimbali vya mapato na matumizi katika kupata mapato hayo.

Siku njema
Mimi huwa siandiki mambo kwa papara.
Kwa sababu nakuheshimu na sikuoni wewe kama mjinga au mpumbavu, basi fuatilia hii nchi ndogo inaitwa Mauritius
Utuambie GDP,source yake ya income, % below poverty line, kodi inayokusanywa etc ...
Hii nchi ni kisiwa kama unguja na kina watu 1.3 million. Siyo suala la kukamuliwa bali ni suala la sheria na haki.
 
Hakuna uhusiano wowote kati ya idadi za serikali na ku-bail out.
Kama nilivyosema, achilia mbali federations, hata confederations kuna bail-out (As you'd like it to be called).
Kwa hiyo, hapo tena umekosea (kosa lako ni dhana, siyo hisia kama wengine) kwa sababu miungano na bailouts ni sawa na korosho na bibo.
mkuu hapo nilipobold naomba ufafanuzi imeandikwa wapi kwenye makubaliano ya muungano wetu!!!!
 
Nguruvi3

Amazing unaita watu wana hisia na denial kwa kutumia neno Tanzania bara wakati in the real world ndio uhalisia wenyewe. Sasa ni sehemu gani kwenye katiba yetu, taasisi za serikari au kwenye elimu yetu neno Tanganyika kama reference ya bara inatumika? .

Principles it is kwa upande wangu na uhalisia si fikira za mtu ambazo hazina ukweli mmekuwa mkileta madai ya kuwa Zanzibar imekuwa ikibebwa na bara my last post nimukuwekea elements zinazoifanya ZnZ iwe tegemezi sasa basi nilitegemea labda uje ukosoe au ufafanue tools ambazo serikari zinatumia kwenye dunia kujiendeleza na kama kweli ZnZ wanazo hili wasipate hizo hela za madini na utajiri wa bara directly. Utuletee ukweli wa kuwa labda kuna kitengo huko BoT kinacho facilitate madeni ya ZnZ, kama wanaweza kwenda IMF world bank kwa siasa za sasa na kupata treatment za taifa hili nikubali hoja zenu maana ka Rwanda kaduchu kana daiwa almost equal to Tanzania if not more na wanajitapa kuendelea je ZnZ bado wanazo hizo nafasi na kwanini hawazitumii kama hawana solution ni zipi au wajiendeleze vipi bila ya kutegemea bara.
Hakuna mahali ambapo Tanganyika imetajwa kama reference. Na pia hakuna mahali ambapo pametajwa serikali ya Tanzania bara. Ni lazima twende na ukweli na wala si fikra au hisia zetu.

1.Sasa kama Tanganyika ndiyo Serikali ya Tanzania bara, JMT ni serikali ya nani?
2. Kama Tanzania bara ndio Tanganyika wapi znz inapata uhalali wa kudai 21% ya ajira za Tanzania bara?
Wapi kuna uhalali wa znz kupata 4.5 ya Tanzania bara kwa mujibu wako
3. Hiyo Tanzania bara inaendeshwa na katiba gani tusioijua? Kama ni ya JMT, znz unaiweka wapi.

Baada ya maswali hayo nirudi sehemu ya mwisho.
Nadhani unaungana nasi tunaposema kuwa na Tanganyika ili znz iweze kwenda IMF, WB kujitafutia mafao ya.
Haiwezekani znz kwenda huko kwa kutumia jina la Zanzibar tukiwa na JMT.

Pili, kuhusu nafasi za kujiendeleza, znz wanazo sana
1. Hawana bajeti ya ulinzi na usalama, mambo ya ndani na nje, zikiwemo taasisi zake
2. Wanapata ruzuku ya 4.5 bila kutoa jasho na TRA wanavyokusanya ndivyo wanavyopata
3. Wanafidiwa bajeti na Tanganyika, wanalipwa mishahara hadi ya wawakilishi wa kata zao(Watalii, a.k.a wabunge)
4. Hawana gharama za kuendesha muungano unaowapa 1-3 hapo juu
5. Wanapata soko la bidhaa zao ikiwemo soko la ajira bila gharama

Kwa maana hiyo, znz wanaelekeza pesa zao katika maendeleo yao na si gharama as compared to Tanganyika.

Znz wana fursa za kutumia rasilimali zao kujiendeleza. Utalii ni jukumu lao, kama wanamwagia watalii tindikali kwasababu wamevaa vimini huo ni upumbavu wao ambao Mtanganyika hapaswi kulaumiwa au kubeba gharama zake.

Wameondoa bandari kama sehemu ya uchumi wao. Wanaweza kuifanya iwe huru kama Dubai(kwa mujibu wao) bila kumuumiza Mtanganyika kwa kuingiza bidhaa zao katika soko tulilowapa bure bila ushuru

Znz wana fursa za kutumia rasilimali za Tanganyika. Hawana gharama za elimu ya juu wala hawajui mishahara ya wafanyakazi wao wa SMZ inatoka wapi. Pamoja na hayo wana access ya ardhi, fursa asiyokuwa nayo Mtanganyika kule kwao. Hivyo wana added advantage, the question is, do they know how to take advantage of that ?

Kwasasa it is over, Tanganyika imeshtuka na itazinduka tu na kubana matumizi kwa nchi jirani isiyoongeza tija bali mzigo kwa Mtanganyika. Kama wakikataa, basi Raia wa znz ndani ya JMT watakuwa na hadhi ya kudumu ya raia daraja la II.
Huwezi kubebwa halafu unacheza ngoma mgongoni.

So wana choice, Tanganyika irudi tukubaliane wapi tutawasaidia au tubaki na S2 na wao wawe Raia daraka la II kwa merit kabisa.
 
Back
Top Bottom