Scorpion anayetoboa watu Macho Buguruni, akamatwa

Scorpion anayetoboa watu Macho Buguruni, akamatwa

MTU KAWA KIPOFU BILA KUTEGEMEA.....HONGERENI RC NA WENGINEI MLIYOMKOMALIA HADI JAMAA KUKAMATWA,
MAISHA YA UBABE ILIKUWA ZAMANI...


Ova
 
Kosa kubwa wakazi wa buguruni mmefanya kumuacha huyo jamaa akiendelea kipumua.
 
c20bdf0c4d2e3014cbe34ee420f8e939.jpg
 
Yaani ujinga huo aufanyie dar ingekuwa kwetu tungetenganisha kichwa na mwili
Naona kila mtu anasema huku kwetu!kuna story ya miaka kama 4 hivi nyuma Arusha kuna jamaa alimbaka mwanamke mfanyakazi wa UN mchana na wanaume wanaogopa kumfuata,yule mama nadhani alijiua baadae so acheni bla bla za kujifanya kuna sehemu kuna wanaume kweli kweli
 
Huyu makonda tumnyonge tu.lakini haki yake tumpe.anajitahidi sana kuwa karibu na raia
 
Na yeye atobolewe ili ajue inaradha gani kutokuwa na kutobolewa macho
 
Ukimskiliza hyu jamaa,ukavaa uhusika unaweza kumkufuru mwenyez Mungu!!
 
Kosa La Unyang'anyi Wakati Alipania Kuua?
Hawa Waendesha Mashtaka Waache Ujinga. Hilo Ni Jaribio La Kuua Apigwe Maisha Kabisa.
Unyan'ganyi wa kutumia silaha ni miaka thelathini ila jaribio la kutaka kuuwa haifiki hata miaka mitano. Waza kwa sauti
 
Huyo Angekuja kwetu Kimara Kwa Wanaume tuliojitoshekeza kwa mafunzo tukisapotiwa na manati ya Mzungu, angekiona huyo kollo
Mmmmm! Majigambo tu ! Kumara hii au nyingine? Unaibiwa hapo unapiga yoweee atoki mtu ndani wanakuja baada ya tukio kuisha na kukupa pole enhee! Masikini weee
 
Kosa La Unyang'anyi Wakati Alipania Kuua?
Hawa Waendesha Mashtaka Waache Ujinga. Hilo Ni Jaribio La Kuua Apigwe Maisha Kabisa.
Kosa la kutaka kuua angekuwa nje kwa dhamana. Huyu ameshtakiwa kosa la kunyang'anya kwa kutumia silaha yaani robbery. Hii haina dhamana na kifungo chake ni miaka 30 jela. Akitoka atakuwa mzee tayari kama atatoka salama. Nimemsikia Paul Makonda akiongea haya na kijana pamoja na ndugu zake alipomtembelea. Yaani watu wameuza roho zao kwa ibilisi!!!!! Unawezaje kumfanyia hivyo binadamu mwenzio? Msikilize kijana hapa
 
Amepewa robbery sio mbaya,,lazima asote ndani miaka 2,Angepewa na mada kesi kabisa,,,ila wananchi nao Waoga sana,,mtu mmoja anasumbua kitongoji kisa kucheza ngumi,,,sasa panga au shoka aliingii mwilini mwake au,,mwisho wa siku muhalifu kama huyo kama ana nyumba
mnamchoma umoumo ndani afilie mbali,ili mradi muhakikishe hamna watu wengine ndani,,

Kweli watu wa buguruni ni waoga kama wanawake haiwezekani mhalifu awe mfalme na wanaume wamuogope!!!!!
 
Mtu kama huyo anatakiw afungwe angalau miaka 20 akitok amezeeka vinginevyo akitok ataanz n geah
Mkuu atafungwa 30 mbona hiyo yako midogo!!! kwanza kosa la unyang'anyi kwa kutumia silaha halina dhamana. Atakaa ndani hadi kesi iishe (labda miaka miwili au minne). Baada ya hapo miaka 30 jela. 40 yake imefika. Yaani unamchoma mtu visu, unamvutia barabarani ili akanyagwe, magari yanamkwepa, unamvutia pembeni na kumtoboa macho!!!! Huyu ni shetani kabisa si binadamu!!!!
 
Utetezi usio na mashiko[/QUOT
Kisheria when attacked or provoked hutakiwi kuretaliate iyo ni kazi ya vyombo vya dola. Nadhan ndio maana watu wabugurun walisita kumchukulia hatua.

Pia kisheria ni polisi pekee yake mwenye uniform ndie anahusika kumtia nguvun mtuhumiwa.

Mbona polisi wamechelewa kumtia nguvuni,unataka mpaka awatoboe macho watu wengi zaidi?
 
Back
Top Bottom