Kyalow
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,563
- 2,612
Ningekabidhiwa rungu la hukumu ningehakikisha Skopion haukumiwi hadi pale atakapojutia makosa yake.
2. kesi yake ingeendeshwa kwa takribani miaka tisa hadi kumi, katika kipindi chote hichi "skopioni" angekua anakuja mahakamani na kurudishwa mahabusu hadi kesi itakapotajwa tena.
3. Dhumuni la kufanya hivi ni kumpa muda wa kujutia aliyoyafanya, katika kipindi hiki "skopioni" angekua kwenye dilemma asijue atahukumiwa nini na lini. Ningemjengea shauku ya kutamani siku ya hukumu ifike (lakini siku hiyo haiji), "Skopioni" angesubiri na kusubiri lakini wapi.
4. Ningekusanya orodha ya watu wote ambao waliwahi kuibiwa na "skopioni" au watu waliosababishiwa ulemavu kutokana na matukio ya uhalifu, watu hawa ningewakutanisha na na "skopioni" apate kuzungumza nao atambue mateso wanayopitia, atambue ni kwa kiasi gani ameharibu maisha na ndoto za watu. Hii ingemshusha "skopioni" na kujutia aliyoyafanya (kwa sasa haonekani kujutia chochote).
5 . Baada ya kuridhika "skopioni" is no longer "skopioni", Skopioni ningemuhukumu kifungo cha maisha jela.
6. ningehakikisha skopioni anapata ujuzi akiwa huko jela wa kuzalisha mali yoyote ambayo ingeuzwa na fedha zote zingeenda kwa muhathirika wa tukio lile.
7. "Skopioni" angegharamia kwa namna yoyote ile gharama za maisha ya ndugu yetu kwa kipindi chote atakachokua huko jela. Ningehakikisha "skopioni" anakua mtumwa wa ndugu yetu katika kipindi chote kilichobaki cha uhai wake.
# NingekabidhiwaRungu
2. kesi yake ingeendeshwa kwa takribani miaka tisa hadi kumi, katika kipindi chote hichi "skopioni" angekua anakuja mahakamani na kurudishwa mahabusu hadi kesi itakapotajwa tena.
3. Dhumuni la kufanya hivi ni kumpa muda wa kujutia aliyoyafanya, katika kipindi hiki "skopioni" angekua kwenye dilemma asijue atahukumiwa nini na lini. Ningemjengea shauku ya kutamani siku ya hukumu ifike (lakini siku hiyo haiji), "Skopioni" angesubiri na kusubiri lakini wapi.
4. Ningekusanya orodha ya watu wote ambao waliwahi kuibiwa na "skopioni" au watu waliosababishiwa ulemavu kutokana na matukio ya uhalifu, watu hawa ningewakutanisha na na "skopioni" apate kuzungumza nao atambue mateso wanayopitia, atambue ni kwa kiasi gani ameharibu maisha na ndoto za watu. Hii ingemshusha "skopioni" na kujutia aliyoyafanya (kwa sasa haonekani kujutia chochote).
5 . Baada ya kuridhika "skopioni" is no longer "skopioni", Skopioni ningemuhukumu kifungo cha maisha jela.
6. ningehakikisha skopioni anapata ujuzi akiwa huko jela wa kuzalisha mali yoyote ambayo ingeuzwa na fedha zote zingeenda kwa muhathirika wa tukio lile.
7. "Skopioni" angegharamia kwa namna yoyote ile gharama za maisha ya ndugu yetu kwa kipindi chote atakachokua huko jela. Ningehakikisha "skopioni" anakua mtumwa wa ndugu yetu katika kipindi chote kilichobaki cha uhai wake.
# NingekabidhiwaRungu