Scorpion anayetoboa watu Macho Buguruni, akamatwa

Scorpion anayetoboa watu Macho Buguruni, akamatwa

Moja kati ya matukio yaliyo nisikitisha hili ukimsikia anavyo elezea Mungu amsaidie sana Daah huyu sio akae ndani wampige sindano ya sumu matako ya shangazi yake shamba
 
Wanaume wa buguruni naona waoga yaan,namtamani angekuwa Arusha angetolewa macho pia kwa Pipe na raia wema hatutakagi ujinga kbs...nikuone unamchoma tu mtu visu nikuache ***** AK47 lazma ihusike


wana nidhamu ya uwoga hao tena matukio tofauti na mchana kweupe mnaangalia ***** wallah
 
Wangemtoa jicho moja na kidole ili asikie uchungu kiaina
 
Bondia hawezi kupambana na watu wengi.
Mi nawashangaa wakazi wa buguruni aisee,zama hizi za kurushiana ngumi tu?yule alitakiwa apigane ngumi na vitofa tu,hata uwe mbabe vp wananchi mkiamua lazima akae.....
 
MAMBO YA UBABE ILIKUWA ZAMANI....NA WENGI WAO WALITULIZWA NASHANGAA BADO
HUKO BUGURUNI KUNA UJINGA UJIBGA HUO..
ZAMANI WALIKUWEPO WAKINA SANTANA WA MANZESE....WAKINA STIBA,KINGEDERE,PAUL SIZA(HUYU ALIKUW BOXER HEAVY WEIGHT)NAKUMBUKA LANGATA ULIKUWA UKIENDA CHOONI ANAKUFATA ANAVIZIA CHENI WAKATI HUO WATU WATAMU WASAFIRI KUVAA CHENI NZITO SHINGONI SYO ISSUE)PAUL SIZA ALIKUWA ANAKUPIGA VITASA ANA CHUKUA CHENI NA HELA,ILA ALIUWAWA NA RAIAAA ALINGIA KWENYE RELI ZAO....ALIKUWEPO MBABE BOB CHURA HUYU RAIA WALIKUJA KULEGEZA VIUNGOOO HADI AKAWA KILEMAAA NAYE...ASHAJIFIAA...
SINZA ALIKUWEPO VAN DAME(A)YUBU NAYE ALIKUWA ANAKABA ANAKUPORA SIMU UKIWA LEGELEGE ......NAYE AKIINGIA KWENYE 18 ZA RAIA WAKAMLEGEZA SAHV KIDOGO ANA KILEMA.....
 
HUO UBABE NI WA KIZAMANI....NA MITAA NA SEHEMU WATU WANAOJIELEWA HUWEZI LETA UJINGA HUOO .....KAMA ULIYOFANYIKA BUGURUNI HUKO
 
Kuna video nimeiona facebook ya huyo scorpion wananchi wakiwa wamemkata miguu pamoja na mkono sasa sijui ni huyu aliekamatwa na polisi au mwingine
 
angekuwa wa mkoani angekuwa jehanamu muda huu
 
Kuna video nimeiona facebook ya huyo scorpion wananchi wakiwa wamemkata miguu pamoja na mkono sasa sijui ni huyu aliekamatwa na polisi au mwingine
Hata mimi nashindwa ielewa yupu ni yupi
 
SALIM NJWETE SALIM(SCOPION) alijisalimisha kituo cha polisi Buguruni mars baada ya kusikia kuwa anatafutwa na jeshi hilo baada ya kupita siku tano. Lakini kuna maswali yanahitaji majibu; 1. Inasemekana kuwa baada ya wafanyabiara ndogo ndogo wa eneo hilo kusikia taarifa za uwezo wake ktk mambo ya mchezo ya kujihami alifuatwa aliombwa asaidie ulinzi wa wafayabiasha hao dhidi ya vibaka na wakabaji na amekuwa akilipwa Tsh 10,000@ siku. 2. Scopion si mwenyeji sana ktk eneo hilo ila uwepo wake ktk eneo hilo polisi na wanyabiashara hao walikuwa wanafahamu. 3.Kwanini mtu ashambuliwe kiasi hicho bila wananchi kusaidia kunusuru mtu huyo hususani wafanyabiashara hao?. 4.Imesikika kutoka kwa wafanyabiashara na Polisi kuwa Scopion alitumia nguvu nyingi kumdhibiti ndugu yetu SAID ALLY aliyeumizwa.
 
Kitendo alichofanyiwa yule Bw Said kinauma sana na kwa kweli inasikitisha mpaka sasa ameongea kua amekata tamaa ya kuishi.

Pendekezo langu kwa serikali iache siasa kwa hili, Mtuhumiwa anatakiwa apate adhabu Kali zaidi ya maumivu Aliomsababishia Said, hivyo kabla ya hukumu atakayopewa ni vema kwanza na yeye macho yake yote yanyofolewe halafu ndio Hukumu ifuate, maana mtuhumiwa yasemekana huko nyuma alishawahi kumvunja mkono na kiunotena alikua mwanamke.

Sasa huyu ni mtu hatari ktk jamii na ana roho ya ukatili, Mimi namfananisha kabisa na wale wanaovamia vituo vya police na kuua askari wetu yaani ndio wale wale kweli napendekeza wapatikanapo watu kama huyu scorpion ni kuwamaliza kabisa tena kusifuate sijui demokrasia au haki za binadamu.

Hafai katika jamii ataangamiza wengi akiachwa katika jamii.
 
Acha mhemko bad things happen.Mtaani kuna makubwa zaidi ya kutobolewa macho.The thing is sheria ichukue mkondo wake na kuhusu mhanga huyo well ni mbaya kapoteza uwezo wa kuona na inasikitisha sana lakini despite all maisha lazima yaendelee....
 
Back
Top Bottom