Scorpion anayetoboa watu Macho Buguruni, akamatwa

Scorpion anayetoboa watu Macho Buguruni, akamatwa

Jamani hamkufanikiwa kupata picha yake? Mkiiweka public kila mtu atamjua kuwa jamaa ni jambaz hvyo kuwa makini nae
 
Duh, afadhali huyo fedhuli kakamatwa, watu kama hao haina haja ya ushaidi ni kuwapiga mvua tu iwe fundisho kwa wengine

Ngoja nikueleze kisa kimoja, Miaka ya nyuma kidogo katika Wilaya ya Kibondo, Kigoma kulikithiri sana mambo ya uhalifu, ubakaji, uuwaji na mambo mengine mabaya mabaya tena yakutisha. Serikali ilitafuta njia nzuri yakuwadhibiti hawa wahalifu kupitia mahakama. Akaletwa Hakimu mmoja anaitwa NGOVONGO- Bila shaka wakazi wa Kibondo wenye kaumri kidogo watakuwa wananmkumbuka vyema huyu bwana. Na inaonekana huyu alikuwa Muha wa kulekule kibondo au kasulu, yaani huyu alikuwa mwenyeji kabisa.

Mahakamani ilikuwa shuguli sana, kwanza hakuna kuchelewesha kesi, watu walikhukumia miaka hadi 200, 150, 80 aliyefungwa miaka michache ni 40. Vibaka walitia adabu sana. Unamkuta mtu amemuua mwenize kwa kesi ya mkungu wa ndizi, unaulizwa unamiaka mingapi, ukijibu 35 anakwambia zidisha mara 3, yaani mtu anafungwa miaka 100 na kidogo. Hali ilirudi katika utulivu baada ya manunda wengi kula mvua zakutisha kabisa.
 
Sipati picha hao wanaume wa buguruni walivyo yaan mtu anatolewa macho wao wanaangalia tu yaan hakukua Na mpini wa jembe, nondo, mawe, koleo nk hapo karibu na tukio.
Ukumbuke mafuta ya kukaangia kuku yalikuwepo walishindwa kumwagia?sisimami tena kununua kuku buguruni sio sehemu salaama
 
Kaka yangu alipolwa simu kituoni sokoni huku wakinyang'anyana watu Wa sokoni wanahangalia kituo kipo pale pale buguruni sio salaama police pale wanafanya nini pale kituoni lengo la police kukaa kaunta tu na kupokea tahalifa za ualifu au na kuzuia uhalifu natamani yaani dahaaa naogopa kuitwa mchochezi !
 
Tatizo wanaume wa Dar mmezidi uwoga! Inakuaje mtu mmoja akakalisha mtaa mzima kisa anajua ngumi!? Hivi mtaa mzima hakuna hata mwenye mshale au hata panga?? Kazi kuvaa suruali za dada zenu tu!!
 
nalishauri jeshi la polisi wafanye kitu kimoja,wamkabidhi huyo bwege anayejiita skopioni kwa JWTZ,wakamfiche ktk pori moja la mateso.wamtese sana tena sana,ila wasimue.baada ya mateso ya kijeshi ya wiki au mwezi mmoja,wamrudishe uraiani aje awasimulie wahuni wenzie.
 
Mbakaji anafungwa 50 yrs.. Hyo 7yrs. Uyo ni zaidi ya Mbakaji..
 
Angemfanyia hivo ndugu yang .......wallaah ningemloga yy na ukoo wake woooote.....nngeanzia kwa mzizi mkavu akimshindwa namkabiz mshana.....
 
huyu jambazi ana moyo mgumu sana yaani kumtoboa mtu macho, pamoja na kumuibia EeeeMwenyezi Mungu msaidie kaka aweze kuona Amin
 
nalishauri jeshi la polisi wafanye kitu kimoja,wamkabidhi huyo bwege anayejiita skopioni kwa JWTZ,wakamfiche ktk pori moja la mateso.wamtese sana tena sana,ila wasimue.baada ya mateso ya kijeshi ya wiki au mwezi mmoja,wamrudishe uraiani aje awasimulie wahuni wenzie.
Ushauri mzuri huyu kumpeleka magereza ataendeleza ubabe tu huko na kula bure dawa ni kumtiboa macho na kumvunja miguu alafu kumuacha huru ili aje awe mbabe uraiani.
 
Mbona polisi wamechelewa kumtia nguvuni,unataka mpaka awatoboe macho watu wengi zaidi?
Inasemekana polisi wa buguruni walikuwa wanamwendekeza. Siku ya tukio alikuwepo walipokwenda lakini hawakumkamata. Polisi wa Sitakishari ndiyo waliomkamata. Source Mtanzania ya leo.
 
Ushauri mzuri huyu kumpeleka magereza ataendeleza ubabe tu huko na kula bure dawa ni kumtiboa macho na kumvunja miguu alafu kumuacha huru ili aje awe mbabe uraiani.
Huko ndani ataipata fresh. Kuna wababe zaidi yake waliokubuhu maisha ya jela. Yeye si anawafanyia wananchi wasio na hatia na wapole wasiokuwa na nguvu kama yeye!!! Kwanza kesi yake haina dhamana na atakaa mahabusu mpaka akome. Baada ya miaka kadhaa kuwa mahabusu atahukumiwa kifungo cha kwenda jela miaka 30.
 
Huyo wanamlea harafu atashinda kesi kwa sababu ushahidi hakuna. Atolewe macho ateswe kwa kupigwa misumari miguuni na vibao kama viatu. Msosi awe anapewa uji kwa siku mbili na kutembezwa mita 200 kila siku mpk atakapo kufa.
 
Mimi binafsi nilitegemea hivi mkuu. Ana bahati sana huyo nyang'au. Maana kikosi kazi kilikuwa kazini. Eti mtaalamu wa ngumi anapendelea watu wakija wengi!!!! WTF!!??
Haina haja ya kupoteza hela ya walipa kodi....huyu jamaa ilibidi atumbukizwe kwenye cyanide kule mgodini.

Hapo bugurini inatakiwa pasafishwe. Maana inaonekana bado kuna hao wapolimpo wenzake.
Wanaume wa buguruni naona waoga yaan,namtamani angekuwa Arusha angetolewa macho pia kwa Pipe na raia wema hatutakagi ujinga kbs...nikuone unamchoma tu mtu visu nikuache ***** AK47 lazma ihusike
 
Mimi nihasira na wale wauza kuku na wafanya biashara wadogo wadogo pale Wa maji na viatu hawajui wanajialibia biashara waliowengi mmojawapo mimi sisimami tena pale kununua chochote kwa sasa ukiwauliza na kuwahohi ndio watakuadithia Siku zote mlikuwa wapi? Wananchi Wa buguruni hamkeni umoja ni nguvu utengano ni udhaifu nanyi Mmeonyesha udhaifu
 
Back
Top Bottom