Scientific fact na knowledge Thread

Scientific fact na knowledge Thread

Ndio space ilikuwepo na ndio maana big bang ilitokea. Big bang ilitokea baada ya particle ndogo zaidi kulipuka na kusambaa ikitoa gesi tofauti tofauti.
Kwa hiyo mpaka sasa tupo kwenye ile particle iliyolipuka ikatekengeneza space?

au tupo kwenye particle ambayo haina space
rejea maana ya spacei
 
Kwa hiyo mpaka sasa tupo kwenye ile particle iliyolipuka ikatekengeneza space?

au tupo kwenye particle ambayo haina space
rejea maana ya spacei
Space ni ule utupu uliopo, uliokuwepo na utakaokuepo. Hivo particle ilikuwepo ndani ya space yenyewe.
 
Back
Top Bottom