Afisa_Nkai
JF-Expert Member
- Jul 5, 2025
- 475
- 978
Nafatilia uzi kwa ukaribu
Kwa hiyo mpaka sasa tupo kwenye ile particle iliyolipuka ikatekengeneza space?Ndio space ilikuwepo na ndio maana big bang ilitokea. Big bang ilitokea baada ya particle ndogo zaidi kulipuka na kusambaa ikitoa gesi tofauti tofauti.
Space ni ule utupu uliopo, uliokuwepo na utakaokuepo. Hivo particle ilikuwepo ndani ya space yenyewe.Kwa hiyo mpaka sasa tupo kwenye ile particle iliyolipuka ikatekengeneza space?
au tupo kwenye particle ambayo haina space
rejea maana ya spacei