Scientific fact na knowledge Thread

Scientific fact na knowledge Thread

Bananas are radioactive:-
Thanks to their high potassium levels, bananas are slightly radioactive.

However, you would need to eat 10 million bananas at once to receive a lethal dose of radiation, according to McGill University’s Office for Science and Society
 
‎X ray machine ya kwanza kwa ajili ya Airport ilikuwa ni model ya kampuni moja ya boston iliyoitwa American science and engenering walitengeneza X ray detector kwa ajili ya kuweka kwenye satelite ku observe universe kwenye X ray
 
Pombe na bangi ukitumia kwa wingi vinaenda kuzuia sehemu ya ubongo inayohusika na ndoto hivyo ukitumia huwezi kuota mpaka masaa kama sita figo ichuje na kuondoa pombe mwilini kisha baada ya hapo sehemu ya rem sleep inafunguka na ukisha lala ubongo unafidishia yale masaa na ndio maana walevi mara nyingi huota ndoto za ajabu.

‎Na ukitumia kwa muda mrefu ukiwa unalewa sana kwa miaka mingi unasababisha ubongo usiingie kwenye rem sleep kwa muda mrefu hivyo kuna kipindi ubongo utaanza kutoa ndoto ukiwa upo macho (collision of two state of consciounes) Ambayo inaitwa Delirium , hapo ndio utaanza kuona mambo ya ajabu sababu ndoto inakuja ukiwa macho
 
Kwenye Pollinatio kati ya nyuki na maua sio tu kitendo cha ubadilishaji wa pollen na nectar bali kuna kitu cha ajabu maua yanafanya ili kufanya nyuki aende kwenye ua hilo na kuacha pollen ni kama vile chemical manipulation, baadhi ya maua yanatengeneza harufi ya sex horomes za nyuki hivyo nyuki huenda pale kwa sababu hiyo na mengine hutengeneza kitu kama dozi ya madawa ya kulevya kama opium,caffein, nicotine ili kufanya nyuki aliyetua hapo kuwa addicted na kurudi hapo mara nyingi hata kama hakuna chakula chochote kwenye ua hilo, ni kama vile maua yanashindana kupata pollen
 
Kwenye Pollinatio kati ya nyuki na maua sio tu kitendo cha ubadilishaji wa pollen na nectar bali kuna kitu cha ajabu maua yanafanya ili kufanya nyuki aende kwenye ua hilo na kuacha pollen ni kama vile chemical manipulation, baadhi ya maua yanatengeneza harufi ya sex horomes za nyuki hivyo nyuki huenda pale kwa sababu hiyo na mengine hutengeneza kitu kama dozi ya madawa ya kulevya kama opium,caffein, nicotine ili kufanya nyuki aliyetua hapo kuwa addicted na kurudi hapo mara nyingi hata kama hakuna chakula chochote kwenye ua hilo, ni kama vile maua yanashindana kupata pollen
The beauty of God's creation
 
‎Kuna ndege anayeweza kulala,kula na kunywa maji akiwa anapaa angani, swift [ mbayuwayu] ni ndege anayewa kukaa mpaka miezi kumi angani na hushuka ili kuzaa/kujamiiana au kutengeneza kiota, swali je anawezaje kulala angani bila kudondoka, wanasayansi wamegundua kuwa anatumia kitu kinaitwa hemispheric sleep kumanisha upande mmoja wa ubongo unalala na mwingine unakuwa macho kwa ajili ya kupaa na kuwa alert kwa ajili ya tukio lolote litalotokea akiwa angani, akiwa kwenye usingizi huruka juu sana ambapo hewa imetulia
 
Back
Top Bottom