Elevenn
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 7,640
- 15,251
Hakuna cha big bang wala nduguze it's one of the fake concept kuzuia na kutu Fanya tujione weakSasa hii inatuthibitishia big bang ilitokea.
Hakuna cha big bang wala nduguze it's one of the fake concept kuzuia na kutu Fanya tujione weakSasa hii inatuthibitishia big bang ilitokea.
Ndiyo, chukulia pangaboi la ndege ikiwa imetulia linaoneka kiwa yabisi (solid) lilianza kuzunguka kwa kasi unaanza kuona kilicho nyuma yake!Nothing rests ,everything moves ,everything vibrates.
Una point ila namna ulivyo iwasilisha hata mimi sijaelewaUkiwa umesinzia hasa wakati wa REM(Rapid eye movement) muda wa kuota ndoto kuna baadhi ya sehemu za ubongo huwa Zina chapa kazi(firing) kama vile hippocumpus( huchakata kumbukumbu), amygdala na limbic system(emotions), visual cortex( for visual dreams) lakini prefrontal context(logic) huwa inashutdown usije kuanza ubishi ndotoni ooh haiwezekani kupaa haha.
Na ndo maana ndoto hazimake sense, kama vile kutokujua ilipoanziaUkiwa umesinzia hasa wakati wa REM(Rapid eye movement) muda wa kuota ndoto kuna baadhi ya sehemu za ubongo huwa Zina chapa kazi(firing) kama vile hippocumpus( huchakata kumbukumbu), amygdala na limbic system(emotions), visual cortex( for visual dreams) lakini prefrontal context(logic) huwa inashutdown usije kuanza ubishi ndotoni ooh haiwezekani kupaa haha.
Yes, yes...Ndiyo, chukuliwa pangaboi la ndege ikiwa imetulia linaoneka kiwa yabisi (solid) lilianza kuzunguka kwa kasi unaanza kuona kilicho nyuma yake!
Enlightenment si kufuta uwepo wako, bali ni kuona uwepo wako bila upofu wa egoEnlightenment is knowing that you're nothing
Una point ila namna ulivyo iwasilisha hata mimi sijaelewa
Weak kivipi?Hakuna cha big bang wala nduguze it's one of the fake concept kuzuia na kutu Fanya tujione weak
Hapana, unaweza kuuona uwepo wako bila ego na bado usitambue the absurdity or the impeenance of it all...that you're basically nothing. EmptinessEnlightenment si kufuta uwepo wako, bali ni kuona uwepo wako bila upofu wa ego
Nafikiri ni coherence ya frequency ya pangaboi na mwangaYes, yes...
Why is that? Unakuwa umefanya particle za lile panga zitransform ama? Ile speed ya mwanga utokao kwenye surface ya panga inakuwa imezidiwa na kilichopo nyuma yake?
Ukishajua tu kuwa ulimwengu una mwanzo utajidogosha. Na hicho ndo kinasukumwaW
Weak kivipi?
Kwa hiyo kunauwezekano kuwa vitu tunavyoviona vikawa ni tofauti na uhalisia wake?Jambo la kushangaza kuhusu macho yako na jinsi unavyoiona dunia.
Kila kitu unachokiona duniani kinapitia macho yako, lakini kuna jambo moja la kushangaza sana, huwezi kujiona moja kwa moja kwa macho yako bila kutumia kioo au kamera.
Kwa nini?
Macho yako hufanya kazi kama kamera
Mwanga unaingia ndani ya jicho
Unagonga retina
Ubongo hutafsiri kile kilichoonekana kuwa picha
Lakini ili ujione wewe mwenyewe moja kwa moja, macho yako yangelazimika kujigeuza na kujitazama yenyewe , jambo ambalo haliwezekani kimaumbile.
Lakini hapa ndipo jambo linapozidi kushangaza zaidi
Ubongo wako hauoni dunia kama ilivyo moja kwa moja.
Kile unachokiona ni tafsiri ya ubongo wako ya mwanga unaoingia machoni.
Hii ina maana:
Rangi unazoziona si rangi halisi, bali tafsiri ya ubongo.
Umbali unaouona ni makadirio ya akili yako.
Hata mwili wako unaouona ni ,picha iliyojengwa ndani ya ubongo.
Hitimisho
Kwa namna ya kushangaza.
Wewe hauoni dunia moja kwa moja… unaona toleo la dunia lililotengenezwa na ubongo wako.
Na ndiyo maana:
Watu wawili wanaweza kuona kitu kimoja lakini wakakielewa tofauti
Au mtu mmoja akaona kitu kipo, mwingine asione kabisa.
Kwani mwanga una travel with respect ya motion ya hilo panga?Nafikiri ni coherence ya frequency ya pangaboi na mwanga
Unge iframe vizuri ninge soma tena wewe umeweka paragraph kama fungu la nyanyaSoma kwa utulivu utaelewa.
Ukisema “I am nothing,” umebadilisha ego tu umeipa jina la emptiness.Hapana, unaweza kuuona uwepo wako bila ego na bado usitambue the absurdity or the impeenance of it all...that you're basically nothing. Emptiness
Yeah, Tunachoona ni version ya dunia iliyojengwa na ubongo, si dunia yenyewe moja kwa moja.Kwa hiyo kunauwezekano kuwa vitu tunavyoviona vikawa ni tofauti na uhalisia wake?
Hahaha hapana na ndio maana pia kuna theory ya big crunch ambapo ulimwengu unacolapse na kurudi kwenye point kama ilivyokuwa Kabla ya big bang. Yaani nothing is created nor destroyed its just manifest and unmanifest and the circle continues until forever.Ukishajua tu kuwa ulimwengu una mwanzo utajidogosha. Na hicho ndo kinasukumwa