Sayari nyingine saba sawa na Dunia zagunduliwa

Sayari nyingine saba sawa na Dunia zagunduliwa

tambua unaweza kuona kitu na usijue unachokiona ni kitu gani, hapo ndo linakuja suala la ugunduzi kwamba kumbe hiki ninachokiona ni ngedere sio nyau
Mkuu kuna utambuzi na ugunduzi. Utambuzi ni hali ya ufahamu zaidi , ugunduzi unaendana na utafiti unaopelekea kuzaa kitu kipya, mathalani ugunduzi wa simu za mkononi, computer n.k.
 
Ina maana zipo mbali zaidi ya Pluto? Mbona kuna kifaa kilishafika pluto kwa miaka minne na speed inayoizidi speed ya light.
Au wanadhani tumesahau?

Mkuu Pluto mbona karibu sana, hiyo ni 35 or 33 light years away, kwa technologia tuliyonayo sasa ni zaidi ya miaka 700000!!
 
acheni ujinga kama hamjui vitu ni bora mkawa wasikilizaji mimi ni msomi wa hayo mambo ya saikolojia na ubaharia wa anga za juu na kati nimepambana vita nyingi katikati ya miaka ya hvi karbuni kama hamuamini kamuulizeni john makitini ...kwa sababu chombo cha anga za juu kisayansi kinakimbia zaidi ya kl.120 kwa saa sasa hii ni speed kubwa mno zaid hata ya gari na ukumbuke huko juu kuna hydrographic gas oil ambayo gratuiter yake ni 9.8 amabyo inaunganishwa na pande mbili za ncha ya dunia mashariki nna kusini hvyo kwa hesabu za kisaikolojia chombo kitafika baada ya wiki 14
yani kwa comment yako umedhihirisha kuwa umeclaim vitu ila hakuna unachojua
 
sijakurazimisha and in fact n maoni yangu asante.

Na mimi ndo maana nimekwambia kuwa kama umekaririshwa kuimba mapambio usikatishe tamaa wanasayansi acha wafanye kazi ya ugunduzi. Maana bila ugunduzi dunia hii mpaka sasa tungekuwa na mawazo mgando kama ya zamani. Kwahiyo wewe endelea na mapambio yako na miujiza feki acha wanasayansi waendelee na kazi plz
Kasahau hata hiyo simu au kompyuta atumiyo kuandika huo ubishi ina mkono wa wana sayansi...
 
Halafu wengine wanasema hakuna Mungu, hayo madude yawepo na asiwepo muwekaji inawezekanaje?

Na huko sasa hakufikiki hata iweje, nani ataishi miaka bilioni 4? Hicho chombo kinaweza kwenda hadi kikaoza njiani hakijafika hata robo ya safari.
 
Sasa huko tunaweza kufika kwa speed ya mwanga kwa miaka 49? OK labda safari hiyo ianze sasa ili tusife kabla hawajafika huko!! Matumaini yangu ni kwamba sii muda mrefu maisha yatahamia ktk sayari nyingine!! Huko wataenda watu wa jinsi gani?
1. Matajiri
2. Wasomi.
3. Waafrica watapelekwa kwanza kusafisha njia ndipo wazuru waje kutawala

Natamani sana hiyo siku
 
Halafu wengine wanasema hakuna Mungu, hayo madude yawepo na asiwepo muwekaji inawezekanaje?

Na huko sasa hakufikiki hata iweje, nani ataishi miaka bilioni 4? Hicho chombo kinaweza kwenda hadi kikaoza njiani hakijafika hata robo ya safari.
kwani hayo madude yanathibitisha vipi uwepo wa Mungu. na ww una uhakika gani kama hakitatokea chombo cha kufika huko?
 
Ndio maana wanasema kwa teknolojia ya sasa, nani ajuaye vizazi vijavyo vinaweza vikawa na hii teknolojia ya kufika huko, kumbuka wenzetu hawalali kila siku ni utafiti mpaka kieleweke.
Hadi waje wagundue hiyo tech watakuta zipo sayari zinapatikana kwa safari ya 100billion years, kwa hasira watacheka tu na kunywa juice za baharesa (zinakuwa zinapatikana dunia nzima zama hizo)
 
kwani hayo madude yanathibitisha vipi uwepo wa Mungu. na ww una uhakika gani kama hakitatokea chombo cha kufika huko?
Mzee hujalazimishwa kuamini kuwa Mungu yupo, wala hatujasema kuwa hawatafika huko, watafika na siku wakifika watagundua zipo nyingine ni over 1000billion years kwenda huko. Kazi kwao.
 
Nilijua watu wa dini ntawakuta humu wakiletaleta skendo zao. Aisee ka huwezi elewa haya mambo jifunze, ka hutaki pita pembeni, madudu uliyojazwa usilete humu unajiaibisha bure. Unajifanya unamjua mungu vizuri huku una kimchepuko pembeni, nyambaf.
 
acheni ujinga kama hamjui vitu ni bora mkawa wasikilizaji mimi ni msomi wa hayo mambo ya saikolojia na ubaharia wa anga za juu na kati nimepambana vita nyingi katikati ya miaka ya hvi karbuni kama hamuamini kamuulizeni john makitini ...kwa sababu chombo cha anga za juu kisayansi kinakimbia zaidi ya kl.120 kwa saa sasa hii ni speed kubwa mno zaid hata ya gari na ukumbuke huko juu kuna hydrographic gas oil ambayo gratuiter yake ni 9.8 amabyo inaunganishwa na pande mbili za ncha ya dunia mashariki nna kusini hvyo kwa hesabu za kisaikolojia chombo kitafika baada ya wiki 14

Hehehe hapo utakamata wajinga tu.
Million light years kwa wiki 14? We jamaa niambie hiki chuo unachosema umesoma ili kama nina mdogo wangu nimuhamishe mapema.

Hata mtoto wa high school hili halimuumizi kichwa, rocket zetu sa hivi ni 11km/s, haijakaribia hata speed ya mwanga ambayo ni almost 300,000km/s. Kama sayari ipo 1 light year away itatuchukua miaka mingi sana kufika. Hiyo ni 1ly, ukiongelea 1million ly ndio kabisa hata hatujakaribia. Usitudanganye hujasoma haya mambo unapiga kelele tu
 
Back
Top Bottom