40 light years away kwa wiki 14 haiwezekani Hata ukijenga chombo kinachosafiri kwa speed ya mwanga bado itachukua miaka 40 kufika. Na hatuna uwezo wa kufikia hata asilimia 5 ya speed ya mwanga kwa teknolojia ya sasaacheni ujinga kama hamjui vitu ni bora mkawa wasikilizaji mimi ni msomi wa hayo mambo ya saikolojia na ubaharia wa anga za juu na kati nimepambana vita nyingi katikati ya miaka ya hvi karbuni kama hamuamini kamuulizeni john makitini ...kwa sababu chombo cha anga za juu kisayansi kinakimbia zaidi ya kl.120 kwa saa sasa hii ni speed kubwa mno zaid hata ya gari na ukumbuke huko juu kuna hydrographic gas oil ambayo gratuiter yake ni 9.8 amabyo inaunganishwa na pande mbili za ncha ya dunia mashariki nna kusini hvyo kwa hesabu za kisaikolojia chombo kitafika baada ya wiki 14
Pluto ipo katika galaxy yetu.. Or let say, kwenye soler system yetu. But kwa hizo mpya.. It seems zipo kwenye galaxy nyingine..yenye solar system yake..ndo mana wanasema zenyewe pia zinaizunguka nyota kama vile sisi tunavoizunguka jua.. Ni mbali sana kufika.. Kama ni nje ya galaxy yetu.Itakuwa ipo mbali zaidi ya pluto kwa maana pluto ipo ndani ya solar system yetu...
Ila hii ipo kwenye system ya nyota nyengine na tunaambiwa nyota tuliyokaribu nayo zaidi ya "alpha centauri" ipo umbali wa miaka minne na nusu ya mwanga.
Uu ugunduz mbona niliusikia muda sana kama five years nyuma, ila kiukwel hata mm naamini kuna second earth kwenye uulimwengu,
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]mkuu...mbona mimi..sisikii..hebu toungezee sauti. ....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mimi pia.Mbavu zangu jameni nimecheka sana