BAGAH
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 4,523
- 1,060
Sijambo shemeji...
Kakako ni mwana kwaya na anaimba sauti ya 6, pata picha mwenyewe!
hivi mstari wa mbele kwenye kwaya wanakaa sauti ya sita eeh?
Sijambo shemeji...
Kakako ni mwana kwaya na anaimba sauti ya 6, pata picha mwenyewe!
Hahaha! Wacha ninyamaze!weee...unamfaham deogratius riyunga?anaiga hapa...afu shem jiangalie sana...LOL
Ndio, kanisani kwetu tuko kinyume kidogo, wanaanza sauti ya 6, 5, 4, 3, 2 mwisho kabisa sauti ya kwanza...lolhivi mstari wa mbele kwenye kwaya wanakaa sauti ya sita eeh?
Khaaa, nareport abuse hakyanani..!Nikupe nini urdhke? Jtahd kula mayai ili sauti icwe na mikwaruzo
hii inatokana na ishu nzima ya hormones...za kike zinazidi...then anakua na higher pitched sounding voice!...ina uhusiano sana na suala zima la homosexuality!...
na hii hupelekea hata nywele kama ndevu kutokua kwa wingi kama huyo aliyeonekana TBC
ANAKOSA UJASIRI:kwanza kwa sababu tayari ana tabia za wadada (um not saying women are not confident...LOL)
pili sauti walio nayo inawafanya wasiwe comfortable kuzungumza!...
Shemeji naona twapishana tu bila salam...BAGAH , Nimekusoma , uko kitaaluma zaidi .
Khaaa, nareport abuse hakyanani..!
Lol, ngoja nikamuite nanilihii akuje tukuchangie...Punguza hasira wewe. Huo ni ushauri. Ki roho safi
BAGAH , Nimekusoma , uko kitaaluma zaidi .
Shemeji naona twapishana tu bila salam...
Zawadi yangu jamani..
Mwanaume akiwa na sauti nyembamba sana anatia huruma akiongea....inakuwa as if analazimishwa kuongea..
Mi nadhani inategemeana na mtu mwenyewe,wapo wenye sauti ndogo lakini wana roho ngumu na wako wenye sauti kubwa na ni waoga pia,ila wenye sauti kubwa huwa wakiongea wanapewa attention kutokana na sauti ndo mana.
Hivi baba wa taifa ana sauti ipi?
aisee mm nina sauti nzito balaa
Kongosho...
Ndio, kanisani kwetu tuko kinyume kidogo, wanaanza sauti ya 6, 5, 4, 3, 2 mwisho kabisa sauti ya kwanza...lol
Afu BAGAH umewahi kupigwa?
Ana sauti kama yangu tu.
Lol, ngoja nikamuite nanilihii akuje tukuchangie...
Mwanaume akiwa na sauti nyembamba sana anatia huruma akiongea....inakuwa as if analazimishwa kuongea..
anatia huruma eeeh?so akija kiivyo unaweza ukamuonea huruma sio?
Myner mamboz?