Nokla
JF-Expert Member
- Aug 12, 2012
- 3,192
- 1,766
Wacha wakione
Maana hawajawai kuonja joto la ugumu WA maisha kama Afrika
Wivu wa kike
Wacha wakione
Maana hawajawai kuonja joto la ugumu WA maisha kama Afrika
Kila mtu anamtazamo wake kama ni faida basi sawa mi cna pingamiz naweSasa hizi ulizotaja hapa mbona ni faida zaidi kuliko hasara? We huoni kama mwanamke hapo anathaminiwa? Kubeba gunia la viazi kariakoo ndo unaona sawa kwa mwanamke, au pale uwanja wa fisi ndio unaona Mungu anapenda??
Sawa tuWivu wa kike
kumbe wewe shida yako sio kujadili hii mambo kwa hoja.naona shida yako tu ni kubishana na uonekane uko sahihi.haya basi ngoja nikupe ushindi.U have won sir/madamVyovyote iwavyo, lakini Saudia ndio No. 1 islamic state.
Sio saudia tu na Uchina uchumi umeanza kudorora WB wameanza kujadili ili nchi zinazotegemea uchina kwa uchumi zipate nafuu ya maumivu.Wachumi wanasema baada ya miaka mitano hazina ya Saudi Arabia itakuwa imekauka.
Kutokana na kushuka kwa bei ya mafuta, Saudi imekopa dolla billioni 10 kutoka kwenye masoko ya kimataifa wiki hii.Hii ni mara ya kwanza katika miaka 25 iliyopita.
- Kuanzia mwaka jana Saudi imetumia dollar bilioni 100 kutokana kwenye hazina yake.
-Kubalance bajeti bei ya mafuta inatakiwa iwe zaidi ya dollar 100 kwa pipa, kwa sasa pipa moja ni dola 40. Wataalamu wanasema pipa kufika dola 60 tu itakuwa ni muujiza.
-Kwa sababu hiyo Magufulinism ( kubana mtumizi) ya serikali kumeshaanza kodi za petrol n.k
Hii hali ni hatari hapo mbeleni , kuna wasiwasi wa kutokea instability hasa middle east kutokana na ugumu wa maisha kwa sababu ya kushuka kwa bei ya petroli.
...Chanzo kinachofahamika rasmi cha kushuka kwa bei ya mafuta, ni Marekani kuanza kuzalisha shale oil kwa wingi. Baada ya kuona hivyo, Saudia akaongeza uzalishaji ili bei ishuke zaidi na kuua uzalishaji wa shale oil Marekani.Iran baadaa ya kuondelewa vikwazo vya kiuchumi yeye anauza mafuta yake kwa bei anayotakaa na ukumbuke nayeye anahazina kubwa ya mafuta....kagoma kujiunga na opec ili waweze kushirikiana kupanga bei ya mafuta sasa hii inamuwia vigumu waarabu wadubai
So hana ujanja inabidii sasa kishusha bei yake kwa pipa coz bithaa imekuwaa nyingi sokoni na technology imekuarahisi...
...Labda alikuwa hajaisoma game vizuri, au his talk was meant to a different audience.Siku za mwanzo za utawala wa Obama aliwaambia live kama wanaleta nyodo na mafuta yao dunia itatafuta alternative source ya nishati au mafuta. Marekani kaanza kujichimbia yake, Norway, Russia, China, n.k. Ya Uganda yataanza kumiminika miaka miwili ijayo kupitia Bandari ya Tanga hivyo soko la ukanda huu wa Mashariki na Kusini mwa Afrika litaachana na mafuta ghali kutoka Middle East.
...Prince Mohammed anafanya hayo sasa. Kuna post hapo juu, kama hutajali unaweza isoma, ina link ya mambo hayo.Kama waliendekeza starehe wakaacha kutumia mapato ya mafuta kuwekeza kwenye brains za watu wao ili wazalishe bidhaa na huduma mbadala na badala yake wakawekeza kwenye dini yao ya taifa kwenye mataifa ya ng'ambo imekula kwao. Dunia imebadilika sana; hivi kwa mfano vile viwanda vya Uswisi vya kutengeneza saa ghali aina ya Oris enzi hizo siku hizi bado vipo? Maana hata hizo saa sijui kama zina soko tena siku hizi baada ya dunia kutawaliwa na digital.
Oris watakuwa walibadili bidhaa zao ili kuendana na mahitaji yanayobadilika kwa kasi ya ajabu kila uchao. Saudia waendelee kukandamiza wanawake na kuwaweka misukule ndani simply wana pesa za mafuta kuna siku watawatafutia wanaume overseas hayo mafuta yatakapokuwa priceless siku sio nyingi zijazo.
Kama technologia itazidi kukua hamna muarab atapata shida kama msaudi kutokana na lifestyle yao.Ngoja na sisi tuanze kuchimba yetu...
...Dah!Akili ya mswahili mbaya sana eti unafurahia Saudia ifilisike ili wote muwe sawa...dah kweli ubinadamu kazi....kwa taarifa yenu Saudia kama akifilisika mtakaoadhirika ni nyie wabongo maana ugaidi utaongezeka na watakuja kubanana hapa hapa bongo na mademu zenu wawagongee
...Tatizo mChina hataki kukiri na kuweka mambo wazi. Hivi sasa, ana finance growth kwa mikopo. Worse enough, makampuni ya maana kwenye sekta mbalimbali, yana madeni yasiyolipika.S
Sio saudia tu na Uchina uchumi umeanza kudorora WB wameanza kujadili ili nchi zinazotegemea uchina kwa uchumi zipate nafuu ya maumivu.
Inahusiana nini na kushuka/kupanda kwa bei ya mafuta?Saudi wana nyodo sana Mungu anawaadhibu.Ujue katika nchi zote za Khalij ni Saudi pekee wanasheria ya kuchinja watu.??Mwanamke saudi hathaminiwi kabisa mwanaume ndo kila kitu Saudi Arabia.Yani kuna vitu ukisikia unaweza kuhisi kama masihara lakin ni kwel
1.Mwanamke haruhusikii kula ice cream hadharani
2.Mwanamke haruhusiwi kukimbia hadharani hata uwe na haraka vip.
3.Mwanamke haruhusiwi kusalimiana hata na kaka yake wa damu hadharani kwa kushikana mikono au kugusana kwa style yoyote
4.Mwanamke haruhusiwi kudai talaka kama nchi zngne wanawake wanavyopewa kipaumbele.
5.Mwanamke harusiwi kushout hadharani yani upuuz puuz tu
Mkuu nakushauri kwanza ukaipitie historia ya Hijaz(now saudi arabia).unafahamu kwanini ikabidilishwa jina.unaifahamu vizuri Saudi family,Asili yao na historia yao na jinsi walivyoweza kuitawala hyo inchi.Alafu nenda kasome ujue uongozi wa kiislamu unatakiwa uweje.kwa kukusaidia tu zipo nchi nyingi pamoja na majimbo ya nchii.(i.e naigeria) ambazo zina abide by Sheria law lakini sio nchi za kiislamu.
Pia inawezekana nikawa sijui baadhi ya maswala kuhusu hii dini,kwahiyo si vibaya nikadurusu mawili matatu kutoka kwako.
Nmekuelewa mkuu ila sisi tunaelekea kule wakti wa ibada regardless nani anatawala lile eneo.Point yangu kuu ni kuwa the saudi kingdom sio sehemu ya kuitolea mfano kama utawala wa kiislamu.wale ni madhalimu wa kutupwa afadhali hata ya kikweteMkuu unaweza kuwa uko sahihi, ila point ya dudus hapa ni kuwa huwezi kuutofautisha uislamu na Hijaz, kwa kuwa mkuu (His majesty) wa formerly Hijaz ndio mkuu wa Nyumba Kuu za Ibada (The Holy Mosques) za waislamu duniani na ndio maana wote mnasali kuelekea Kule.
So uko sahihi on your perspective, and dudus is also right on his.
Suala hili la kuporomoka kwa uchumi wa Saudia una uhusiano gani na hizo sheria za saudia....??Saudi wana nyodo sana Mungu anawaadhibu.Ujue katika nchi zote za Khalij ni Saudi pekee wanasheria ya kuchinja watu.??Mwanamke saudi hathaminiwi kabisa mwanaume ndo kila kitu Saudi Arabia.Yani kuna vitu ukisikia unaweza kuhisi kama masihara lakin ni kwel
1.Mwanamke haruhusikii kula ice cream hadharani
2.Mwanamke haruhusiwi kukimbia hadharani hata uwe na haraka vip.
3.Mwanamke haruhusiwi kusalimiana hata na kaka yake wa damu hadharani kwa kushikana mikono au kugusana kwa style yoyote
4.Mwanamke haruhusiwi kudai talaka kama nchi zngne wanawake wanavyopewa kipaumbele.
5.Mwanamke harusiwi kushout hadharani yani upuuz puuz tu
Hahahaaa wee jamaa eti afadhali ya kikweteNmekuelewa mkuu ila sisi tunaelekea kule wakti wa ibada regardless nani anatawala lile eneo.Point yangu kuu ni kuwa the saudi kingdom sio sehemu ya kuitolea mfano kama utawala wa kiislamu.wale ni madhalimu wa kutupwa afadhali hata ya kikwete
fanya research utakuja kuamini maneno yanguHahahaaa wee jamaa eti afadhali ya kikwete
Kwani kikwete kawakosea nini mzee wa watu? Aliwafanya mkaangalia bunge live mpaka wabunge wakawa na hofu ya kusinzia? Mpeni heshima yake bwanafanya research utakuja kuamini maneno yangu