mtoto wa mjini
JF-Expert Member
- Jan 18, 2010
- 1,754
- 903
Hivi hazina ikikauka ndio inakuwaje?. Hata hapa Tz tuliwahi kuambiwa hazina umekauka.
Sio Iran ndio No.1 Islamic State?Vyovyote iwavyo, lakini Saudia ndio No. 1 islamic state.
Sio Iran ndio No.1 Islamic State?
Yaa wameinvest ila kwa mafuta marekani sasa wanachimba zaid coz technological advancementhuo ndo ukweli,unadhani kwani marais wa marekani wanakuaga wanyenyekevu sana wakikutana na king wa saud?.
Uchumi wa marekani kwa kiasi kikubwa uko tied na mfumo wa petroldollar na unaitegemea sana saud.
Pia saud wameinvest sana marekani,
baada ya china nadhani anafuata saud kwa kuinvest hela yao marekani