Chamoto
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 9,883
- 22,305
wamependeza hadi raha ila angekuwa mbongo hapo loh.........hapo anaangalia anachosoma baba yake.
nimependa wanavyovaa na kujipamba hawana makuu. ingekuwa wa kwetu bongo uzuri ni kuongeza nywele za bandia. lakini hawa watoto wako natural. Mungu awakuze wafanikiwe kama Wazazi wao. Msitelekeze watoto wakati wanawahitaji huwezi jua watakuwa nani baadaye.
Mama yake Obama na Familia yake walifanya kazi nzuri ya kulea Kijana wao japo baba yake Mzazi aliishia zake Kenya.
Mitoto ya Kijaluo inayoishi White House
mi nimependa nguo zao hata manzese unazipata,karume unazipata mwenge unazipata kwa bei poa za kawaida tu BongoView attachment 72049Anachochungulia Sasha wataalam wa kusoma picha mtatumwagia wino
Niliwahi kusoma jarida moja na lilikuwa likimuelezea huyu binti kama mmoja wa wasichana wenye Leadership Skills za hali ya juu na kuna uwezekano mkubwa akaja kurithi nyayo za baba yake katika Siasa.Ukimtizama vizuri hata jinsi alivosomama amefuata protokali kwa kufunga mikono yake kwa adabu na yuko makini tofauti na dada yake.Kuhusu suala la sura,huyu binti anaonekana kwenda zaidi kwa mama yake japo hawjafanana kabisa tofauti na dada yake ambaye kafanana zaidi na baba yake...
Huyo mdogo ndio SashaNaona mnamzungumzia Malia na sio Sashaa.
huyu jamaa nakumbuka wkt wa kampeni 2010 alisema anao 8. sijui ni kweli??Siku Presidaa wetu akisema asimame na watoto wake sijui itakuaje,hivi anao wangapi vile?
Nadhani kwa sasa wamezidihuyu jamaa nakumbuka wkt wa kampeni 2010 alisema anao 8. sijui ni kweli??
mmoja 'katawaliwa' na genes za baba na mwingine za mamaJamani minona hawa watoto hawafanani (phenotype) kabisa.