Sasha Obama

Sasha Obama

sasha-obama-purple-dress.jpg


Jamani minona hawa watoto hawafanani (phenotype) kabisa.

Mimi huwa nina wasiwasi na hako kabinti kadogo, huenda obama aliingizwa mkenge. ila kanafanana na mama yake.
A%20S%20103.gif

Angalieni wenyewe mapaji yao ya uso muone kama hawafanani.
 
nimependa wanavyovaa na kujipamba hawana makuu. ingekuwa wa kwetu bongo uzuri ni kuongeza nywele za bandia. lakini hawa watoto wako natural. Mungu awakuze wafanikiwe kama Wazazi wao. Msitelekeze watoto wakati wanawahitaji huwezi jua watakuwa nani baadaye.
Mama yake Obama na Familia yake walifanya kazi nzuri ya kulea Kijana wao japo baba yake Mzazi aliishia zake Kenya.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
mbongo kwanza ataambatana saa ngapi na watoto wake wakati wote wako bize na ufisadi huko...lol....
wamependeza hadi raha ila angekuwa mbongo hapo loh.........hapo anaangalia anachosoma baba yake.
 
Wazazi wao wanajitahidi sana kwa hilo na wazazi wote wawili wako karibu mno na watoto wao pamoja na majukumu mengi waliyokuwa nayo kama Rais na 1st lady na bibi yao kuishi WH kumesaidia sana katika malezi ya mabinti hawa.

nimependa wanavyovaa na kujipamba hawana makuu. ingekuwa wa kwetu bongo uzuri ni kuongeza nywele za bandia. lakini hawa watoto wako natural. Mungu awakuze wafanikiwe kama Wazazi wao. Msitelekeze watoto wakati wanawahitaji huwezi jua watakuwa nani baadaye.
Mama yake Obama na Familia yake walifanya kazi nzuri ya kulea Kijana wao japo baba yake Mzazi aliishia zake Kenya.
 
Niliwahi kusoma jarida moja na lilikuwa likimuelezea huyu binti kama mmoja wa wasichana wenye Leadership Skills za hali ya juu na kuna uwezekano mkubwa akaja kurithi nyayo za baba yake katika Siasa.Ukimtizama vizuri hata jinsi alivosomama amefuata protokali kwa kufunga mikono yake kwa adabu na yuko makini tofauti na dada yake.Kuhusu suala la sura,huyu binti anaonekana kwenda zaidi kwa mama yake japo hawjafanana kabisa tofauti na dada yake ambaye kafanana zaidi na baba yake...

kabla hujazungumzia hako kajarida nilipoiona hii picha nilitafsiri kitu kama hicho pia sura yake inaonyesha An earnest and sincere feeling
 
Hivi mahari inaweza kuwaje mwanangu akitaka kuoa moja wa hawa mabinti?
 
Siku Presidaa wetu akisema asimame na watoto wake sijui itakuaje,hivi anao wangapi vile?
 
Sara siyo mama mzazi wa wa baba yake Obama ila ni mama yake wa kambo. that means she is Obama's step grandmother
 
Siku Presidaa wetu akisema asimame na watoto wake sijui itakuaje,hivi anao wangapi vile?
huyu jamaa nakumbuka wkt wa kampeni 2010 alisema anao 8. sijui ni kweli??
 
...Huyo Binti Mdogo ... Ni type ya kutuoumiza fikra kwa tafakari, mambo ease, good-time all time... Can be a good social Celebrity

...Huyo Mkubwa ... Ni type ya deep thought, contemplative, Big mind ... Can be a serious Leader if she dream about it!!!
 
Dizaini hako Ka-sasha kamechoka kusimama, sasa hapo kalikuwa kanaangalia imebakia mistari mingapi hotuba iishe ili wasepe zao...
 
Back
Top Bottom