Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Nakubaliana na ww kwa hili mkuusijui kwanini watu wanashabikia umiliki wa serikali? Serikali haina historia ya kufanya biashara kwa ufanisi.. Mtakuja kushuhudia siku moja
Nakubaliana na ww kwa hili mkuusijui kwanini watu wanashabikia umiliki wa serikali? Serikali haina historia ya kufanya biashara kwa ufanisi.. Mtakuja kushuhudia siku moja
Kwa hiyo unataka shule, umeme, hospital na huduma za maji ziwe mikononi mwa sekta binafsi, maana nazo ni biashara kama biashara zingine.sijui kwanini watu wanashabikia umiliki wa serikali? Serikali haina historia ya kufanya biashara kwa ufanisi.. Mtakuja kushuhudia siku moja
Kabisa ruzuku inayopelekwa kwenye ndege ije kwenye usafiri wa umma maana unamgusa kila mmoja.Warudishe nauli 500
Hivi unafikiri Huduma za Maji, umeme, afya na elimu zikimilikiwa na sekta binafsi kwa asillimia mia ni Watanzania Wangapi watakaomudu hizo gharama.?sijui kwanini watu wanashabikia umiliki wa serikali? Serikali haina historia ya kufanya biashara kwa ufanisi.. Mtakuja kushuhudia siku moja
Huyo mbia atatoa Huduma kibiashara ila sio kwa manufaa ya jamii, ukiambiwa nauli toka Kimara hadi kariakoo ni 1500 usiilalamikie serikali kwamba imewatelekeza wananchi.!Tunarudia makosa ya nyerere,wabongo si watendaji blah blah nyingi ndio waliobugia mashirika ya soma ule (SU) leo twarudi kulekule.Heri angekabidhiwa mbia Wa nje aendeshe atoe huduma bora
15% ni za nani?
Ukiishakuwa unamiliki 85%, haiwezekani bado ukamiliki kila kitu, serikali inamiliki miundombinu, halafu mabasi yanamilikiwa kwa ubia.
P
Sio yote!, labda some. Kisena ni mmiliki wa UDA kwa 100%. alinunua baadhi ya mabasi na kuungana na wengine kuwa mbia Mkuu wa DART.Mabasi ni mali ya NMB
Kama ni hivyo nitakuwa nimepitwa sana.Unaishi nyuma ya wakati
Unajua sababu ya kukosa ufanisi ni viongozi legelege na tukisema tusubiri sekta binafsi ni kupoteza muda wakati tunaweza kufanya kupitia serikali mbona sects binafsi haikuweza kujenga viwanja vya ndege vikubwa tz wala kununua ndege za maana ? Kiongozi atakiwi kucheka na wafanyakazi wa serikali hata siku mojasijui kwanini watu wanashabikia umiliki wa serikali? Serikali haina historia ya kufanya biashara kwa ufanisi.. Mtakuja kushuhudia siku moja
Huyo jamaa ni chizi achaneni naye sisi tunataka kodi yetu ifanye mambo ya kujenga nchi na biashara hatuwezi kupoteza muda kusubiri sekta binafsi tena za kifisadi kama IPTLHivi unafikiri Huduma za Maji, umeme, afya na elimu zikimilikiwa na sekta binafsi kwa asillimia mia ni Watanzania Wangapi watakaomudu hizo gharama.?
Sio yote!, labda some. Kisena ni mmiliki wa UDA kwa 100%. alinunua baadhi ya mabasi na kuungana na wengine kuwa mbia Mkuu wa DART.
P
sijui kwanini watu wanashabikia umiliki wa serikali? Serikali haina historia ya kufanya biashara kwa ufanisi.. Mtakuja kushuhudia siku moja
Magufuli simuungi mkono kwenye baadhi ya mambo ila sehemu nyingi tuko pamoja...
Usafiri wa umma inabidi uendeshwe na serikali maana ni sehemu ya Huduma za serikali.
Kwa nchi hii isingekuwa hujuma tunazofanya wenyewe, serikali ndiyo the best. Tatizo la huduma za serikali waliokabidhiwa wanatafuta maslahi yao binafsi kwa hujumu.sijui kwanini watu wanashabikia umiliki wa serikali? Serikali haina historia ya kufanya biashara kwa ufanisi.. Mtakuja kushuhudia siku moja
Walitoka lini? Acha uongo!Kisena na mkewe walishatoka gerezani,mnaishi nchi gani nyie?