Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,920
- 33,358
Kisena akitoka gerezani itabidi akalime pamba huko Simiyu
Yuko huko kimyakimya!? Alifanya madudu gani?
Kisena akitoka gerezani itabidi akalime pamba huko Simiyu
Na walianza interview mda flani wakafukuza wale wote waliokwepo kablaWamechukua Yard zote ile ya Mbagala itakuwa stand kuu ya mwendokasi.
Mabasi yote mmiliki ni serikali. Mifumo yote mmliki ni serikali
Kutokana na taarifa ya wizara ya fedha.. serikali imeongeza umiliki wa shirika la.mabasi ya mwendo kasi (Udart) hadi kufikia 85%.
Kumbuka wakati wa Rais Mstaafu Kikwete Simon Group chini ya kisena, waliwahi kusema wanamiliki 100%.
Kisena akitoka gerezani itabidi akalime pamba huko Simiyu.
View attachment 1271614
Magufuli simuungi mkono kwenye baadhi ya mambo ila sehemu nyingi tuko pamoja...
Usafiri wa umma inabidi uendeshwe na serikali maana ni sehemu ya Huduma za serikali.
sijui kwanini watu wanashabikia umiliki wa serikali? Serikali haina historia ya kufanya biashara kwa ufanisi.. Mtakuja kushuhudia siku moja
Serikali iongeze magari kama inavyo ongeza ngege..Uendeshe na serikali chini ya watumishi vilaza wanaoshinda wakichati mitandaoni ?
Udart itakufa kibudu.
Hivi sasa hayo magari menyewe tia maji tia maji
Unajua sababu ya kukosa ufanisi ni viongozi legelege na tukisema tusubiri sekta binafsi ni kupoteza muda wakati tunaweza kufanya kupitia serikali mbona sects binafsi haikuweza kujenga viwanja vya ndege vikubwa tz wala kununua ndege za maana ? Kiongozi atakiwi kucheka na wafanyakazi wa serikali hata siku moja
Serikali iongeze magari kama inavyo ongeza ngege..
Au wachina nao wanakamata magari?
Cha pili ni kufanya mpango wachina waanze ku assemble mabasi hapa hapa nchini
Waswahili tuna tatizo la kutunza kumbu kumbu.Huyo mbia atatoa Huduma kibiashara ila sio kwa manufaa ya jamii, ukiambiwa nauli toka Kimara hadi kariakoo ni 1500 usiilalamikie serikali kwamba imewatelekeza wananchi.!
Uko sahihi sana,digirii 4 ni shida.Hii hii serikali inayoongozwa na watu wenye degree nne za kopi n pest?
Kwani mashirika ya umma yaliyoachwa na mwalimu yalikufaje?
Nauli inatakiwa isizidi 500 popote ninapo kwenda.. haijalishi nimetoka wapi..hata kama nimetoka maili moja hadi posta .Waswahili tuna tatizo la kutunza kumbu kumbu.
Tulikuwa na daladala nauli kutoka mbezi posta,mbezi kariakoo bei 600,leo usafiri huo unapanda basi 2 bei 1050.
Kulingana na mawazo yako nauli ya 600 ni kubwa kuliko 1050?
Mkuu usikariri,Monopoly kwenye huduma za jamii ndio chanzo cha huduma kuwa mbovu na bei ya juu,tujifunze hapo mwanzo wakati kuna posta na simu,kupiga simu tu ilikuwa shughuli pevu,ikaingia Tritel napo balaa katika kupiga simu baada ya kuingia makampuni mengine sasa ukiwa na buku unaweza kuongea mwezi mzima halichachi na mda wowote tu.Hivi unafikiri Huduma za Maji, umeme, afya na elimu zikimilikiwa na sekta binafsi kwa asillimia mia ni Watanzania Wangapi watakaomudu hizo gharama.?
Akiondolewa kodi kwwenye uendeshaji atatoa huduma bora kwa gharama ndogo tuHuyo mbia atatoa Huduma kibiashara ila sio kwa manufaa ya jamii, ukiambiwa nauli toka Kimara hadi kariakoo ni 1500 usiilalamikie serikali kwamba imewatelekeza wananchi.!
sijui kwanini watu wanashabikia umiliki wa serikali? Serikali haina historia ya kufanya biashara kwa ufanisi.. Mtakuja kushuhudia siku moja
Fuatilia huko ulaya suala la usafiri au uchukuzi kwenye majiji ukoje
Safi sana uyo mzee P siku hizi kama dishi limeyumba vileTofautisha boss.
Miundo mbinu ipo chini ya dart na tanroad na mabasi yapo chini ya udart.
Hapa tunazungumzia udart.
Uendeshe na serikali chini ya watumishi vilaza wanaoshinda wakichati mitandaoni ?
Udart itakufa kibudu.
Hivi sasa hayo magari menyewe tia maji tia maji
Mambo kama haya ndio yanafanya nisimame na JPM. Alafu habari kama hii comments hazitazidi 200 ila ndege ikamatwe sasa