Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,072
- 18,258
Kutokana na taarifa ya wizara ya fedha Serikali imeongeza umiliki wa shirika la mabasi ya mwendo kasi (Udart) hadi kufikia 85%.
Kumbuka wakati wa Rais Mstaafu Kikwete Simon Group chini ya kisena, waliwahi kusema wanamiliki 100%.
Kisena akitoka gerezani itabidi akalime pamba huko Simiyu.
Kumbuka wakati wa Rais Mstaafu Kikwete Simon Group chini ya kisena, waliwahi kusema wanamiliki 100%.
Kisena akitoka gerezani itabidi akalime pamba huko Simiyu.