Wewe ndiyo umemaliza kila kitu..tv station zote ziko chini yako, redio station na magazeti mnataka yaanike habari kama mnavyotaka...
Wewe ulitaka waseme nini?
Au ulikua unasubili zile tetesi za Chibuda kurudisha card?
Kenge, ulitaka waandike ahadi za uongo wa Wasira wa kuanzisha mashamba makubwa ya mpunga Kilombero wakati ameshindwa kusafirisha mahindi kutoka Songea, Ludewa na Sumbawanga? kama alishindwa kuwapelekea wakulima mbolea kwa wakati muafaka anawezaje kuanzisha kilimo cha mpunga? Jamani acheni ushabiki wa kitoto hapa. Gazeti makini haliwezi kuandika upuuzi ulionadiwa na mawaziri wachovu kama wale wa jana pale Jangwani. Au ulitaka waandike MAGUFULI APOKEA KADI FEKI 450 za cdm?Ni ajabu kweli. Hivi fani hii ya uandishi wa habari siku hizi wanafundishwa siasa nini? Inawezekanaje waaandishi wa habari waende kwenye mkutano mkubwa kama ule na wakashindwa kuondoka na kitu cha kuripoti eti kwa sababu tui si wakereketwa wa chama hicho? Nini nafasi ya Waandishi wa habari katika maendeleo ya mtanzania?
Hasa kwenu Moshi.
Hakika sio siri tena kuwa gazeti la Mwananchi na TanzaniaDaima ni magezeti ya Chadema waziwazi na jana wamepata tabu sana kupata stori ya kuenda nayo leo.WameshIndwa kabisa kusema ukweli juu mkutano wa CCM jana jangwani....kwa gazeti kubwa kama Mwananchi hii ni aibu kubwa....
Hakika sio siri tena kuwa gazeti la Mwananchi na TanzaniaDaima ni magezeti ya Chadema waziwazi na jana wamepata tabu sana kupata stori ya kuenda nayo leo.WameshIndwa kabisa kusema ukweli juu mkutano wa CCM jana jangwani....kwa gazeti kubwa kama Mwananchi hii ni aibu kubwa....
Hakika sio siri tena kuwa gazeti la Mwananchi na TanzaniaDaima ni magezeti ya Chadema waziwazi na jana wamepata tabu sana kupata stori ya kuenda nayo leo.WameshIndwa kabisa kusema ukweli juu mkutano wa CCM jana jangwani....kwa gazeti kubwa kama Mwananchi hii ni aibu kubwa....
wewe ni mpuuzi, mjinga, mpumbavu na wa kupuuzwa................. na ntaamini hivyo hadi utoe vithibitisho (documents)
tena una shida kubwa sana ya mahangaiko
mambaff
Matusi ya nini sasa simjibu tu kwa hoja.Kama ndo ulivyo utakuwa mtumwa wa siasa na zitakuua wewe.
Hakika sio siri tena kuwa gazeti la Mwananchi na TanzaniaDaima ni magezeti ya Chadema waziwazi na jana wamepata tabu sana kupata stori ya kuenda nayo leo.WameshIndwa kabisa kusema ukweli juu mkutano wa CCM jana jangwani....kwa gazeti kubwa kama Mwananchi hii ni aibu kubwa....
Nicas Mtei, achana na huyu giza asituletee giza hapa!Gazeti litakalotegema kuweka pcha za mkutano wa jana ndo iwe habari kuu lazma leo wale hasara
Mkuu ww bado unasoma hili gazeti la tunao waits waandishi uchwara? Mie niliisha liacha na niliagiza ofisi yangu wasilinunue tena including my subordinates
hajatukanwa ila ameambiwa sifa zake
Kulikuwa na stori gani ya maana? Jangwani hadi iwe lead stori kwenye magazeti makini? ...