ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,076
- 49,774
Kwa mujibu wa maelezo ya gazeti la Mwananchi wakinukuu maoni ya Luqman Moloto anasema Sekretarieti ya CCM Imejaa Watu "Machawa" au Tegemezi ambao wanakitegemea chama kuliko Chama kuwategemea wao ukilinganisha na Wapinzani.
View: https://www.instagram.com/p/C1oAZelIWG7/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
My Take
Ccm ni chama Pendwa,maoni haya yanaonesha Mwananchi ni Mwanachama wa ccm hivyo kuelekea Uchaguzi angependa kwenye Sekretarieti ya chama wajae watu wenye majina.
Maoni haya yachukuliwe Kwa tahadhari.
View: https://www.instagram.com/p/C1oAZelIWG7/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
My Take
Ccm ni chama Pendwa,maoni haya yanaonesha Mwananchi ni Mwanachama wa ccm hivyo kuelekea Uchaguzi angependa kwenye Sekretarieti ya chama wajae watu wenye majina.
Maoni haya yachukuliwe Kwa tahadhari.